mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Kweli kabisa.Chadema nao muda mwingine wanataka tabu, kuna Instagram Live, Facebook Live, Youtube Live, Twitter Live. Shida iko wapi, weka vitu kwa mtandao, uwakwepe watesi wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa.Chadema nao muda mwingine wanataka tabu, kuna Instagram Live, Facebook Live, Youtube Live, Twitter Live. Shida iko wapi, weka vitu kwa mtandao, uwakwepe watesi wako
Musiba, yuko smart kuliko MboweKuna mwanaccm mwenye akili kumzidi Lema mtaje.....Yote majitu ya hovyo machumia tumbo tu
Au alitaka kujitangaza kuwa anahitaji msaada wa kupelekwa mloganzila!?Unafikiri anataongea nini ana nini Cha kuongea
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Hasara waliyoipata wazazi wako haipimiki ! Ni vema serikali ikaruhusu utoaji mimba ili kuwaruhusu wazazi kuchagua aina ya watoto wawatakaoHakuna kifungu Cha katiba kinachompa uhalali wa uhuni anaoufanya
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Hapo umeshakiri kakupiga gape kubwa mno!Wewe una uwezo wa kula ruzuku?Shwain kabisa,lamba viatu vya wakubwa zako upate kula,acha kujifananisha na huyo Mbowe unayemdhihaki!Kwa hatua zipi alizopiga atakacho nizidi ni kula ruzuku na uenyekiti wake wa kudumu tu hakuna kingine alichonizidi
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Wewe ni wa kuhurumiwa sana !Chadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hujui kitu wewe kapuku , Tulia !Asee hivi Mbowe na wenzake walishindwa kujua kuwa kwa hali iliyopo sasa hivi ingekuwa vyema watumie mitandao?
Au wana agenda gani sasa kwa hili siwaelewi kabisa.Au Wamelogwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuki yako dhidi Mbowe haitakusaidia chochote zaidi ya kukupa msongo wa mawazo!Kinachoogopwa ni corona lake mbowe lilloko nyumbani kwake asije ambukiza wengine
Nilichogundua wewe ni mpumbav!Katoka karantini unajuaje kama hajakutana tena na mkewe kumkumbatia au mtoto akadaka tena masmbukizi dababu sio rahidi kumtenga MTU na familia Hugo ni corona victim tena current sio Wa kumchukulia kirahirahisi ataua watu wengi Hugo
Hivi hawala yake Joyce mukya Naye alikuwa karantini naye? Kuna chain kaeni mbali na mbowe
Ng'ombe takataka nyie maccmIku siku atakamatwa
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Hahahaaaa.....Umetisha km jamaa aliyejichimbiaa chato
Inawezekana kuna sababu ya wao (CHADEMA) kung'ang'ania njia hii..., lakini isingekuwa taabu kutumia njia hizo ulizotaja hapa ili kufikisha taarifa waliyonuia kuifikisha kwa wananchi hata kama njia hizi zinamapungufu yake.Chadema nao muda mwingine wanataka tabu, kuna Instagram Live, Facebook Live, Youtube Live, Twitter Live. Shida iko wapi, weka vitu kwa mtandao, uwakwepe watesi wako
Mkuu hata hao waliowaita hapo watumia mitandao hiyo hiyo kufikisha ujumbe. Traditional media haziwezi kutangaza huo mkutano. Wajifunze pia kwenda na wakati na kusoma mazingira.Inawezekana kuna sababu ya wao (CHADEMA) kung'ang'ania njia hii..., lakini isingekuwa taabu kutumia njia hizo ulizotaja hapa ili kufikisha taarifa waliyonuia kuifikisha kwa wananchi hata kama njia hizi zinamapungufu yake.
Lakini jambo linalojitokeza wazi sasa ni kwamba CHADEMA watapata wakati mgumu sana tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Sina hakika kama hili wanalijua.
Hebu nyie wavuta bangi wa Chadema tuacheni kwa sasa tuko busy na mapambano dhidi ya Corona. Hivi Mwenyekiti wenu alishamaliza SELF ISOLATION?Muda huu hapa ofisi ya Chadema kamda ya kati Dodoma... polisi wamezuia viongozi wote wa Chadema na kufunga ofisi yetu...
Hii yote ni kuhofia press conference ya Mwenyekiti tu.
Jana nilikua naangalia documentary ya Mobutu Seseseko. Tuko kwenye kipindi kibaya sana. John Heche on Twitter
Makengeza ni maumbile we panya. Kama unamkosoa mtu,mkosoe kwa hoja na si kwa maumbile yake.Nimekimbia nikijua ntakuta ata umeandika 'wamenyukwa hadi wakachakaaa[emoji1][emoji28]'.
Makengeza na ng'ombe wake hawana akili mbwa hao. Yaani kipindi kigumu namna hii wanataka kufanya siasa?
Sent using Jamii Forums mobile app