Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Hao wanaojiita makamanda ni waoga balaa
Magwanda nao wanafeli wapi jamani? Mbona kuna YouTube live
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magwanda nao wanafeli wapi jamani? Mbona kuna YouTube live
Kumbe wewe ni wale wanaoishi kwenye grey area, wengine tulishajitoa kwenye hilo.Hawanitawali, siishi kwenye hilo Taifa linasomekana kubarikiwa vitu vingi sana kuliko mataifa mengine cha ajabu umasikini lilionao hauelezeki kwa maandiko.
Iku siku atakamatwaSerikali yenu dhaifu na ya kishetani kwa nn haikamati wezi mbwa nyei......Mnashirikiana na wezi na mafisadi ndio maana mnasema hivo
Itakuwa ni msukule wewe bila shakaHawanitawali, siishi kwenye hilo Taifa linasomekana kubarikiwa vitu vingi sana kuliko mataifa mengine cha ajabu umasikini lilionao hauelezeki kwa maandiko.
@kkkt @romanikatoliki@bakwataMungu tuliyemuomba siku 3 za maombi ndiye Mungu huyo huyo aliyemuumba Freeman mbowe na wanachadema?
Kama ndiye mbona tunafunga na kuomba alfu tunawafanyia wenzetu matendo maovu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo muhuni yeye na ka kikundi kake ka wahuni ni uzao wa shetani sio bure ameona kuna Jambo huyo kajipenyeza Kama kawaida ya wahuniTaarifa za viongozi wakuu wa dini kufanya maombi ya pamoja kuliombea taifa dhidi ya janga la Corona zilitolewa tangu last week.
Jana jioni akaibuka mwenyekiti wa Chadema na tangazo kwamba leo ataongea na taifa kupitia press conference.
Cha ajabu akuweka mkutano wake katika muda ule ule ambao taifa zima litakuwa kwenye maombi.
Sijaelewa mantiki yake lakini vitabu vitakatifu vinaniambia hii ni kazi ya shetani.
Katika hili Mbowe anapaswa kukemewa.
Maendeleo hayana vyama!
PUMBAVUChadema ni chama cha wapumbavu kabisa eti mkutano wa waandishi wa habari
Sent from my iPhone using Tapatalk
Wanatafuta Kiki kwa pikipiki
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Usimfananishe waziri wa afya huyo muhuni
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Kwa comment hizi, nina wasiwasi ulitoroka mirembe kabla hujapona.Kwa hiyo dj nae ni waziri wa afya?
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Muhuni anaogopwa? Kila siku wahuni wanakamatwa Kuna tofauti gani ya uhuni wa mbowe na wahuni walio mitaani