Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mazingaombwe ya CCM tu hayo.Mkutano wa hadhara ni nini na mkusanyiko ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazingaombwe ya CCM tu hayo.Mkutano wa hadhara ni nini na mkusanyiko ni nini?
Unaruhusu mkutano ila unapiga marufuku kukusanyika huo mkutano unafanyika vipi? Make hata kama ni online bado ni kusanyiko!
Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa, halijapiga marufuku kufanyika mikutano ya nje ya hadhara na ile ya ndani ili mradi inafuata matakwa ya sheria za nchi.
Kilichopigwa marufuku ni mkusanyiko uliokuwa umeitishwa na Viongozi wa Chadema huko Jijini Mbeya kwa kivuli cha kuadhimisha Siku ya Vijana Duniani.
Mikutano itafanyikaje bila kukusanyika?Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa, halijapiga marufuku kufanya mikutano ya nje ya hadhara na ile ya ndani ili mradi inafuata matakwa ya sheria za nchi.
Kilicho pigwa marufuku ni mkusanyiko uliokuwa umeitishwa na Viongozi wa Chadema huko Jijini Mbeya kwa kivuli cha kuadhimisha Siku ya Vijana Duniani.
Soma Pia:
- John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
- Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Hivi ni kweli kwamba wanaoajiriwa polisi ni wale waliofeli masomo?Mazingaombwe ya CCM tu hayo.
Hiyo statement ya Policcm ni upuuzi mtupu Kuna barua mitandaoni ikwaambia ACT Wazalendo mikutano yote imezuiwa 😡Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa, halijapiga marufuku kufanya mikutano ya nje ya hadhara na ile ya ndani ili mradi inafuata matakwa ya sheria za nchi.
Kilicho pigwa marufuku ni mkusanyiko uliokuwa umeitishwa na Viongozi wa Chadema huko Jijini Mbeya kwa kivuli cha kuadhimisha Siku ya Vijana Duniani.
Soma Pia:
- John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
- Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa, halijapiga marufuku kufanya mikutano ya nje ya hadhara na ile ya ndani ili mradi inafuata matakwa ya sheria za nchi.
Kilicho pigwa marufuku ni mkusanyiko uliokuwa umeitishwa na Viongozi wa Chadema huko Jijini Mbeya kwa kivuli cha kuadhimisha Siku ya Vijana Duniani.
Soma Pia:
- John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
- Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
Mkusanyiko maana yake ni tofauti na mkutano mbona sielewiJeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa, halijapiga marufuku kufanya mikutano ya nje ya hadhara na ile ya ndani ili mradi inafuata matakwa ya sheria za nchi.
Kilicho pigwa marufuku ni mkusanyiko uliokuwa umeitishwa na Viongozi wa Chadema huko Jijini Mbeya kwa kivuli cha kuadhimisha Siku ya Vijana Duniani.
Soma Pia:
- John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427
- Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
- Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
MabumundaaaaaaaaqqHivi
Mkusanyiko maana yake ni tofauti na mkutano mbona sielewi
Definitely wewe ndio utakuwa failure, muulize IGP wa Kenya.Huyu IGP naona atakuwa wa ovyo Toka ulimwengu kuumbwa, ndio tatizo la kuajiri form failure.