Ramon Sanchez
JF-Expert Member
- Oct 9, 2022
- 767
- 1,850
- Thread starter
- #21
Ndio hivyo mkuu. Mtuhumiwa wa uhalifu sio mhalifu.AISEEEEEEEEE!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo mkuu. Mtuhumiwa wa uhalifu sio mhalifu.AISEEEEEEEEE!
Inasikitisha sana mkuu. Banana republics. Walinibambikizia kesi ya wizi hawa jamaa.Akili zao ziko mat*koni ndio maana,na Sio baadhi,karibia wote.
Au ww ndio tapeli mwenyeweGood Morning jamiiforums.
Ujumbe niliopokea kupitia mtandao wa Halotel.
POLISI.
Usifuate maelekezo kuhusu huduma unazozitumia kutoka kwenye namba usiyoifahamu. Halotel itawasiliana nawe kwa namba 100 pekee.Ripoti namba ya tapeli kwenda 15040
View attachment 2729173
Jifunze professionalism. Mnatia aibu kwa wageni waliopo nchini.Au ww ndio tapeli mwenyewe
Unazungumzia jinai alafu unatoa mfano wa ajali (limb amputation)?? Are you serious?? Kwa hiyo mimi nikigombana na wewe kisha nikakupigia kelele za wizi ni kweli wewe ni mwizi??kasome maana ya "tapeli"katika penal code then yeyote utakayeona anamatendo sawa na yalivyomaanishwa kwenye tafsiri ya tapeli basi ripoti.
Kwa unavyohoji ni sawa na kuona mtu amekatwa mkono,kiganja kimetenganishwa alafu uhoji kwanini tuseme amekatwa mkono wakat doctor hajathibitisha kama mkono umekatwa.
Tufanye umeshindaJifunze professionalism. Mnatia aibu kwa wageni waliopo nchini.
Umeshinda wewe afande.Tufanye umeshinda
Au atakua ndiyo wale ma Wakili wa Mchongo anaetetea matapeli kwa kuangalia vi point vidogo vidogo ili amshawishi Hakimu kushinda kesi, wakati tatizo kuu ni wizi kws njia ya utapeli! Mwizi ni Mwizi tu!!Huyo atakuwa mojawapo bila shaka
Professionalism in Public CommunicationAu atakua ndiyo wale ma Wakili wa Mchongo anaetetea matapeli kwa kuangalia vi point vidogo vidogo ili amshawishi Hakimu kushinda kesi, wakati tatizo kuu ni wizi kws njia ya utapeli! Mwizi ni Mwizi tu!!
Huko dunia ya kwanza wanaita hivyo haya wewe wa Mat..ni mwa dunia unataka watumie neno gani?Good Morning jamiiforums.
Ujumbe niliopokea kupitia mtandao wa Halotel.
POLISI.
Usifuate maelekezo kuhusu huduma unazozitumia kutoka kwenye namba usiyoifahamu. Halotel itawasiliana nawe kwa namba 100 pekee.Ripoti namba ya tapeli kwenda 15040
View attachment 2729173
Mtuhumiwa wa utapeliHuko dunia ya kwanza wanaita hivyo haya wewe wa Mat..ni mwa dunia unataka watumie neno gani?
Mkuu umeanzisha gumzo hili ili kupima uwezo wa watu wa kufikiri?Good Morning jamiiforums.
Ujumbe niliopokea kupitia mtandao wa Halotel.
POLISI.
Usifuate maelekezo kuhusu huduma unazozitumia kutoka kwenye namba usiyoifahamu. Halotel itawasiliana nawe kwa namba 100 pekee.Ripoti namba ya tapeli kwenda 15040
View attachment 2729173
Ilipaswe iwe hivi;Mkuu umeanzisha gumzo hili ili kupima uwezo wa watu wa kufikiri?
Wezi wa kimtandao ulitaka waitwe jina gani labda?
Halafu tangazo toka Halo tel linawahusuje Polisi?
Kwa sababu tunaelimishana, embu jaribu kutuandikia skelton ya tangazo hilo ambavyo ulitaka liwe.
Huyo unayemuita mwizi amethibitishwa na mahakama ipi?? Tangia lini mtuhumiwa akawa ni convict??Wezi wa kimtandao ulitaka waitwe jina gani labda?
Ipo hivi wametoa namba hapo unatuma ujumbe wa namba iliyokutumia taarifa za kitapeli kwenye simu yako alafu wao kule kwenye mfumo wao watafanya checking ya kuona huyo mtu amekutumia wewe tu kwa bahati mbaya au ametuma kwa watu wengi? wakicheck wakagundua kwamba ametuma kwa watu wengi basi wanam-block asiendelee kutuma ujumbe alafu wanaanza kumfuatilia na mwisho wanamkamataHow is it even possible for law enforcement agency to break the law?
Polisi imewasiliana na general public kupitia mtandao wa Halotel.Halafu tangazo toka Halo tel linawahusuje Polisi?
Hata huyo dogo anayedaiwa kuingilia mfumo wa bank ya CRDB bado ni mtuhumiwa mpaka mahakama itakapomtia hatiani sasa ndio atakuwa ni criminal. Kwa sasa he's just a suspect.Ipo hivi wametoa namba hapo unatuma ujumbe wa namba iliyokutumia taarifa za kitapeli kwenye simu yako alafu wao kule kwenye mfumo wao watafanya checking ya kuona huyo mtu amekutumia wewe tu kwa bahati mbaya au ametuma kwa watu wengi? wakicheck wakagundua kwamba ametuma kwa watu wengi basi wanam-block asiendelee kutuma ujumbe alafu wanaanza kumfuatilia na mwisho wanamkamata
Rejea:- dogo wa miaka 22 aliedukua mfumo wa CRDB na kuiba million 13 na kumtumia mpenzi wake million 5, unajua alifanyaje?
Sasa kinachomfunga si ushahidi uliopo au unafikiri waliibuka tu wakamdaka?, dogo aliacha fingerprints kule baba haya Mambo ya tech ukicheza fyongo tu umedakwa maana unaweza ukawa unacheza na watu wenye uzito kukuzidi yaan ulichofanya na unachofanya ndio michezo yaoHata huyo dogo anayedaiwa kuingilia mfumo wa bank ya CRDB bado ni mtuhumiwa mpaka mahakama itakapomtia hatiani sasa ndio atakuwa ni criminal. Kwa sasa he's just a suspect.