Sasa kinachomfunga si ushahidi uliopo au unafikiri waliibuka tu wakamdaka?, dogo aliacha fingerprints kule baba haya Mambo ya tech ukicheza fyongo tu umedakwa maana unaweza ukawa unacheza na watu wenye uzito kukuzidi yaan ulichofanya na unachofanya ndio michezo yao
Dogo ametumia mbinu ya kawaida sana ambayo hata wewe unaweza ukaitumia ni kuweza kunakiri na kukariri password tu na kutambua kiasi gani kipo kwenye akaunti ya mtu fulani kwisha habari
Unafungua line mpya ya mtu husika hii wanachezeshaga wale wanaoandikisha line baada ya hapo unalinganisha password alioitumia kufungulia Mobile money wengi hutumia password moja hawawezi wakatumia password zaidi ya moja kwa akaunti tofauti baada ya hapo play store unapakua app ya bank husika ukimaliza unaingiza password unacheck salio unatoa Pesa
Boom!