Polisi mpaka sasa wananizungusha naombeni msaada

Polisi mpaka sasa wananizungusha naombeni msaada

Mboju

Member
Joined
May 4, 2021
Posts
78
Reaction score
178
Imepita kama miezi miwili na ushee tangu niibiwe tv yangu inch 43 na subwufa kwa bahati mbaya mtu aliyeiba alipigwa na wananchi wenye hasira kali na kupoteza maisha ila kabla ya kupoteza maisha nilikuwa tayari nimetoa taarifa ya kuibiwa kwa vitu vyangu na miongoni mwa suspect nilio wataja na huyo jamaa aliyepigwa na kufariki alikuwemo kibaya zaidia au kizuri zaidi ni kuwa alifia njiani akiwa anapelekwa hospitali.

Nimejaribu kufatilia ili nipewe vitu vyangu kwa maana hakuna kesi iliyopelekwa mahakamani kwamba vitu vitatumika kama ushahidi hapana pia mimi mwenyewe niliwambia polisi kuwa sitaki kuendeleza kesi kwasababu nimeshavipata vitu vyangu lakini cha ajabu mpaka sasa sijapewa vitu vyangu na kila nikienda kuulizia naambiwa nisubiri

Je nikweli sheria ndo iko hivo au nazungushwa tu maana kuna watu wengine washaanza kysema kuwa vitu vikipelekwa polisi ni ngumu kuvipata kwanni na ni mali yangu
 
Imepita kama miezi miwili na ushee tangu niibiwe tv yangu inch 43 na subwufa kwa bahati mbaya mtu aliyeiba alipigwa na wananchi wenye hasira kali na kupoteza maisha ila kabla ya kupoteza maisha nilikuwa tayari nimetoa taarifa ya kuibiwa kwa vitu vyangu na miongoni mwa suspect nilio wataja na huyo jamaa aliyepigwa na kufariki alikuwemo kibaya zaidia au kizuri zaidi ni kuwa alifia njiani akiwa anapelekwa hospitali.

Nimejaribu kufatilia ili nipewe vitu vyangu kwa maana hakuna kesi iliyopelekwa mahakamani kwamba vitu vitatumika kama ushahidi hapana pia mimi mwenyewe niliwambia polisi kuwa sitaki kuendeleza kesi kwasababu nimeshavipata vitu vyangu lakini cha ajabu mpaka sasa sijapewa vitu vyangu na kila nikienda kuulizia naambiwa nisubiri

Je nikweli sheria ndo iko hivo au nazungushwa tu maana kuna watu wengine washaanza kysema kuwa vitu vikipelekwa polisi ni ngumu kuvipata kwanni na ni mali yangu
Omba kuonana na Mkuu wa kituo nae usikie anasemaje!?
 
Imepita kama miezi miwili na ushee tangu niibiwe tv yangu inch 43 na subwufa kwa bahati mbaya mtu aliyeiba alipigwa na wananchi wenye hasira kali na kupoteza maisha ila kabla ya kupoteza maisha nilikuwa tayari nimetoa taarifa ya kuibiwa kwa vitu vyangu na miongoni mwa suspect nilio wataja na huyo jamaa aliyepigwa na kufariki alikuwemo kibaya zaidia au kizuri zaidi ni kuwa alifia njiani akiwa anapelekwa hospitali.

Nimejaribu kufatilia ili nipewe vitu vyangu kwa maana hakuna kesi iliyopelekwa mahakamani kwamba vitu vitatumika kama ushahidi hapana pia mimi mwenyewe niliwambia polisi kuwa sitaki kuendeleza kesi kwasababu nimeshavipata vitu vyangu lakini cha ajabu mpaka sasa sijapewa vitu vyangu na kila nikienda kuulizia naambiwa nisubiri

Je nikweli sheria ndo iko hivo au nazungushwa tu maana kuna watu wengine washaanza kysema kuwa vitu vikipelekwa polisi ni ngumu kuvipata kwanni na ni mali yangu
Duuuuuh....
 
Imepita kama miezi miwili na ushee tangu niibiwe tv yangu inch 43 na subwufa kwa bahati mbaya mtu aliyeiba alipigwa na wananchi wenye hasira kali na kupoteza maisha ila kabla ya kupoteza maisha nilikuwa tayari nimetoa taarifa ya kuibiwa kwa vitu vyangu na miongoni mwa suspect nilio wataja na huyo jamaa aliyepigwa na kufariki alikuwemo kibaya zaidia au kizuri zaidi ni kuwa alifia njiani akiwa anapelekwa hospitali.

Nimejaribu kufatilia ili nipewe vitu vyangu kwa maana hakuna kesi iliyopelekwa mahakamani kwamba vitu vitatumika kama ushahidi hapana pia mimi mwenyewe niliwambia polisi kuwa sitaki kuendeleza kesi kwasababu nimeshavipata vitu vyangu lakini cha ajabu mpaka sasa sijapewa vitu vyangu na kila nikienda kuulizia naambiwa nisubiri

Je nikweli sheria ndo iko hivo au nazungushwa tu maana kuna watu wengine washaanza kysema kuwa vitu vikipelekwa polisi ni ngumu kuvipata kwanni na ni mali yangu
Pole kwa matatizo mkuu. Shida imeanzia uliposema vitu umeshavipata, wakati vitu bado vipo mikononi mwa polisi. Kama hakukuwa na kesi (jalada lililofunguliwa) imekuaje vitu vyako kuwa mikononi mwa polisi? Kuna kitu unakifumbia macho (kukipotezea) ndio maana hupigi hatua. Ushauri, rudi tena polisi wakuelezee kiundani, nina uhakika utaelewa na itakuwa rahisi kwako kufuata taratibu sahihi zilizowekwa kupata vitu vyako.
 
Pole kwa matatizo mkuu. Shida imeanzia uliposema vitu umeshavipata, wakati vitu bado vipo mikononi mwa polisi. Kama hakukuwa na kesi (jalada lililofunguliwa) imekuaje vitu vyako kuwa mikononi mwa polisi? Kuna kitu unakifumbia macho (kukipotezea) ndio maana hupigi hatua. Ushauri, rudi tena polisi wakuelezee kiundani, nina uhakika utaelewa na itakuwa rahisi kwako kufuata taratibu sahihi zilizowekwa kupata vitu vyako.
Asante mkuu wenda mimi ndo nakosea process ngoja kesho niulize nini nifanye
 
Pole kwa matatizo mkuu. Shida imeanzia uliposema vitu umeshavipata, wakati vitu bado vipo mikononi mwa polisi. Kama hakukuwa na kesi (jalada lililofunguliwa) imekuaje vitu vyako kuwa mikononi mwa polisi? Kuna kitu unakifumbia macho (kukipotezea) ndio maana hupigi hatua. Ushauri, rudi tena polisi wakuelezee kiundani, nina uhakika utaelewa na itakuwa rahisi kwako kufuata taratibu sahihi zilizowekwa kupata vitu vyako.
Elezea hatua kwa hatua huo utaratibu ambao anapaswa kuufuata ili aweze kuvipata hivyo vitu vyake ambavyo vipo mikononi mwa Polisi.
 
Sasa ndugu hutaki kuendelea na kesi lakini mshukiwa amekufa!!!kwamba basi tu sababu hutaki kuendelea na kesi upewe vitu vyako mambo yaishie hivyo!!!hapana.

Utazungushwa zaidi,sio kwamba wanataka kukupiga,ni kwamba mazingira ya kesi yako ni tata.

unawezapewa tv na sabufa,kesho vikahitajika kama kielelezo kwenye kesi ya mauaji hayo.
 
Back
Top Bottom