Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye, huyo anaonekana kuwa ni Polisi mswahili-swahili dhulumati kama hao Polisi wanaolalamikiwa.Hapa sijakuelewa mkuu
Naona umeleta hii stori hapa kupiga soga nenda kwa watu wa sheria watakusaidia!Imepita kama miezi miwili na ushee tangu niibiwe tv yangu inch 43 na subwufa kwa bahati mbaya mtu aliyeiba alipigwa na wananchi wenye hasira kali na kupoteza maisha ila kabla ya kupoteza maisha nilikuwa tayari nimetoa taarifa ya kuibiwa kwa vitu vyangu na miongoni mwa suspect nilio wataja na huyo jamaa aliyepigwa na kufariki alikuwemo kibaya zaidia au kizuri zaidi ni kuwa alifia njiani akiwa anapelekwa hospitali.
Nimejaribu kufatilia ili nipewe vitu vyangu kwa maana hakuna kesi iliyopelekwa mahakamani kwamba vitu vitatumika kama ushahidi hapana pia mimi mwenyewe niliwambia polisi kuwa sitaki kuendeleza kesi kwasababu nimeshavipata vitu vyangu lakini cha ajabu mpaka sasa sijapewa vitu vyangu na kila nikienda kuulizia naambiwa nisubiri
Je nikweli sheria ndo iko hivo au nazungushwa tu maana kuna watu wengine washaanza kysema kuwa vitu vikipelekwa polisi ni ngumu kuvipata kwanni na ni mali yangu
Hii taarifa kwa kuwa umesha iweka mtandaon nakushauri usirudi tena kituoni utakuja kunishukuru baadae..Mkuu wa kituo kwa maana osiesi au maana kama ni huyo nishaonana naye mara kibao tena ye ndo ananizungusha sijajua wanata pesa au vipi
Wasiliana na madeleka atakusaidia bureee kibatala hutomuweza!Mkuu kama unajuana na watu hao niunganishe basi
Ahahahah 😂 😂 😂.🤣🤣🤣🤣🙌
Risiti ya EFD unayo?Imepita kama miezi miwili na ushee tangu niibiwe tv yangu inch 43 na subwufa kwa bahati mbaya mtu aliyeiba alipigwa na wananchi wenye hasira kali na kupoteza maisha ila kabla ya kupoteza maisha nilikuwa tayari nimetoa taarifa ya kuibiwa kwa vitu vyangu na miongoni mwa suspect nilio wataja na huyo jamaa aliyepigwa na kufariki alikuwemo kibaya zaidia au kizuri zaidi ni kuwa alifia njiani akiwa anapelekwa hospitali.
Nimejaribu kufatilia ili nipewe vitu vyangu kwa maana hakuna kesi iliyopelekwa mahakamani kwamba vitu vitatumika kama ushahidi hapana pia mimi mwenyewe niliwambia polisi kuwa sitaki kuendeleza kesi kwasababu nimeshavipata vitu vyangu lakini cha ajabu mpaka sasa sijapewa vitu vyangu na kila nikienda kuulizia naambiwa nisubiri
Je nikweli sheria ndo iko hivo au nazungushwa tu maana kuna watu wengine washaanza kysema kuwa vitu vikipelekwa polisi ni ngumu kuvipata kwanni na ni mali yangu
Hapana,police wamepiga.Sasa ndugu hutaki kuendelea na kesi lakini mshukiwa amekufa!!!kwamba basi tu sababu hutaki kuendelea na kesi upewe vitu vyako mambo yaishie hivyo!!!hapana.
Utazungushwa zaidi,sio kwamba wanataka kukupiga,ni kwamba mazingira ya kesi yako ni tata.
unawezapewa tv na sabufa,kesho vikahitajika kama kielelezo kwenye kesi ya mauaji hayo.
Njoo private nikupe ushauriKagera
Hao hamna wanachofanyaHuko Kwa mapolisi Kuna viongozi wao umeshawaona? au ni hulka ya majungu kukimbilia huku.
Mtafute OCD mueleze utapewa vitu vyako.Mkuu wa kituo kwa maana osiesi au maana kama ni huyo nishaonana naye mara kibao tena ye ndo ananizungusha sijajua wanata pesa au vipi
risiti ya hivyo vitu unazo?Mkuu sijakurupuka nilianza na aliyepokea kesi yangu akanidirect kwa mkuu wa kituo huyo ndo kila kukicha ni kusema subiri
DuuhNunua vipya