FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Actually, hao polisi chukulia wameviiba kwa mara ya pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nishapoteza kka
hapo itakuwa changamoto kidogo.Nishapoteza kka
Una utani kabsa mkuu kwa huo mfano hadi kuja kuthibitisha kwamba hukua apo waki kumbambikia case utakaa ndani sio chini ya 3 years kwenye case za mauaji, hii ni njee ya lengo..Bahati mbaya au nzuri alikamatiwa kijiji cha pili na sikuwepo huko pia mwenyekiti wa kijiji alikuwa eneo la tukio
uliripoti kituo gani hapo Kagera?aiseee
Nenda Kwa rpc!Mkuu wa kituo kwa maana osiesi au maana kama ni huyo nishaonana naye mara kibao tena ye ndo ananizungusha sijajua wanata pesa au vipi
naomba uje pm ili nipate maelezo zaidi ikiwemo rb nambakituo cha polisi kaisho mkuu