Polisi mpaka sasa wananizungusha naombeni msaada

Polisi hata ikitoke umeingia selo, ukasagula mkanda wa karume pale kaunta, viatu na soksi wanapita navyo..,
Sitaki kuzungumzia simu, polisi ya bongo ukiitwa vaa msuli na lapa badili..
 
Naona umeleta hii stori hapa kupiga soga nenda kwa watu wa sheria watakusaidia!
 
Risiti ya EFD unayo?
 
Nyinyi mmempiga na kumuua huyo anayeshukiwa wizi, ukiwasumbua sana polisi kudai hako ka TV wanakuangushia kesi ya mauaji
 
Hapana,police wamepiga.

Mimi wamepita na vitu vyangu,nimefatilia hadi huko juu kabisa,ila wanalindana.

Haina mbaya,tutakutana tu.
 
Nyinyi mmepimpiga na kumuua huyo anayeshukiwa wizi, ukiwasumbua sana polisi kudai hako ka TV wanakuangushia kesi ya mauaji
Bahati mbaya au nzuri alikamatiwa kijiji cha pili na sikuwepo huko pia mwenyekiti wa kijiji alikuwa eneo la tukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…