Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi


sirro ni wa kumpuuza mda mwingi anakuwa amelewa
 
Labda walkua wana sikilizia kama ata fufuka
 
Hii ni sera ya Wayahudi kwa wapalestina.ndugu yenu akijilipua na nyie adhabu kali inawakuta aidha mbolewe nyumba yote ili mkaishi makambini.
 
Bila shaka ni kwa ajili ya usalama tu na si vinginevyo,si unajua ndugu zetu hawa wenye asili ya Somalia,wangeweza kufanya aliyofanya Kamanda Hamza halafu ikawa balaa zaidi.
 
Sema umeshangilia wewe! Waliokuwa kwenye tukio pale Salender walishangilia sana baada ya kupigwa gaidi Hamza ya kichwa na ndiyo waliokuwa wanawasaidia wale polisi. Ila wewe Gaidi nafikiri ndiyo ulimshangilia Gaidi Hamza
Unaweza ukashangilia bila kujua lolote halafu mwisho siku ukaishia kujutia ulichokifanya.
 
Kuufanyia kazi labda ni zile risasi za makalio walizompiga baada ya kuwa amekwisha kufa.
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
 
Be careful what you name you children. Ukimwita mtoto Zirro kweli anakuwa zero.
 
Inawezekana magaidi wenzake au wafanyabiashara ya madini wenzake.
 
Kufanyia kazi ni pamoja na kutoa Risasi zote, kuzichunguza kama zimetoka kwa Police wetu au Kwa Gaidi mwenzake.
Yawezekana Askari wetu walitaka kumkamata tuu, Gaidi mwenzake akammalizia. Lazima achunguzwe pia kama ni Mla opium.
Good thinking afande, Is it possible kugundua risasi iliyomuua imetoka wapi bila ganda la risasi? Ama liliiingia pia???
 
Ni risasi moja tu aliyopigwa akiwa amesimama ikamwangusha. Hauihitaji risasi 2 kwenye mwili ili kuanguka chini. Nyingine zile walikuwa wanampiga maiti tu.
Ule mwili uko riddled with bullets.

Alipigwa si chini ya risasi 30 akiwa chini ukiachia zile alipokua amesimama.

Poleni ndugu na jamaa ila Hamza alikua Gaidi.
 

Hivi IGP Umeshindwa kulifukia huko baharini hilo limnyama?

Ujue unazidi kututia hasira watanzania ,Polisi wetu wameuliwa bila kosa.

Litupeni baharini hukn
Acheni chuki na uislamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…