Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi

Mimi ningekuwa ndugu yake ningeenda .. huku nikijitangaza ili wakose cha kufanya
 
Jina hamza tu na dini yake inatosha na kusema ni ndugu wa kila muislamu hivyo ningetoa tu wito kwa waislamu wote wa upanga hasa masjid maaamur kujitokeza kwenda kumpumzisha mwenzetu kwa taratibu za dini.
inna lilah wa inna lilah rajuun
Kuna kitu nakifikiria nje ya box...asante Mkuu kwa ufafanuzi
 
Rejea wiki mbili polisi walipotangaza ajira.
Qualification Ni div foo
 
Post mortem kwa maiti isiyojulikana chanzo cha kifo. Kwa aliyeuwawa kwa risasi nyingi tena na wao wenyewe post mortem ya nini??!!
Huyo jamaa ni mkurupukaji sana hadi aibu aisee.

🤣🤣🤣🤣
 
Au unaweza kuta hamza ni part ya plan na zile risasi hazikumuua ila ilikua maigizo. Na baada ya tukio hamza akanyanyuka akaenda kupewa chake akasepa somalia. End of the game[emoji12].
 
Huyo jamaa ni mkurupukaji sana hadi aibu aisee.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au unaweza kuta hamza ni part ya plan na zile risasi hazikumuua ila ilikua maigizo. Na baada ya tukio hamza akanyanyuka akaenda kupewa chake akasepa somalia. End of the game[emoji12].
 
So wakienda kuchukuwa huo Mwili ...do you know Nini Kitatokea...Community Impact..

Fikiria nje ya box
Au unaweza kuta hamza ni part ya plan na zile risasi hazikumuua ila ilikua maigizo. Na baada ya tukio hamza akanyanyuka akaenda kupewa chake akasepa somalia. End of the game[emoji12].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…