mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Lazima.kuna mtu pembeni alikuwa anammega mme wake akawa anambaniakumbe marehemu alikuwa na makosa,
Kama mmesha anza kumtetea mapema hivi,hata adhabu yake itakuwa ndogo sana.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima.kuna mtu pembeni alikuwa anammega mme wake akawa anambaniakumbe marehemu alikuwa na makosa,
Kama mmesha anza kumtetea mapema hivi,hata adhabu yake itakuwa ndogo sana.
Huyu ameshatengenezewa mazingira ya kifungo kidogo aachiwe hapelekwi popote.Baada ya wiki, mtasikia mtuhumiwa amefariki.
😂😁😁Kabisa Kuna siku nilimkunja beki tatu aisee baadae niliomba hadi msamaha nashangaa eti baadae ananiambia alipata Raha usiombe msamaha chazUpwiru noma
Naunga mkono hoja dada NifahKwa utetezi wa uwezo mdogo wa kufikiri na uchunguzi wa kidaktari, muuaji atapewa kifungo kidogo tofauti na kosa alilolifanya.
Inasikitisha sanaAisee
Sana yaanInasikitisha sana
Sasa huyu yeye,si bora angebaka hata mke wa jirani kuliko kuua? Hivi,mpaka anaamua atoe shingo,akate vipande,apeleke kutupa huko mtoni,mnadhani hakujua anachokifanya? Si alitaka kupoteza ushahidi? Sasa itakuwaje waseme hakudhamilia!😂😁😁Kabisa Kuna siku nilimkunja beki tatu aisee baadae niliomba hadi msamaha nashangaa eti baadae ananiambia alipata Raha usiombe msamaha chaz
Huyo jela yake haitakuwa kama angekuwa ameuwa mtu tofauti na mkewe.Hata kama katoka kuliwa ndo amkate Kate ona sasa jela nje nje
Yaani kunyimwa U-House ndiyo amuue mtu? Tena kinyama vile? Mke wake?Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Mahamoud Hassan Banga amesema Tumaini Luvanda (35) Mkazi wa Dombwela Wilaya ya Makete Mkoani Njombe aliyeuawa kwa kukatwakatwa na panga vipande na kisha kutenganishwa kichwa na kiwiliwili, na baadhi ya viungo vyake kutupwa Mtoni katika eneo la Kabinda Wilayani humo, ameuawa kutokana mgogoro wa ndoa na Mume wake kwasababu ya kumnyima unyumba Mumewe.
Amesema mara baada ya kumkamata Mtuhumiwa Juma Kyando (36) ambaye ni Mume wa Tumaini (Marehemu) kwa kuhusika na mauaji hayo wamebaini kuwa Familia yao ilikuwa na matatizo ya ndoa kwa muda mrefu ambapo Mwanaume amekuwa akinyimwa unyumba lakini pia siku aliyotekeleza mauaji hayo Mke wake alichelewa kurudi nyumbani.
“Familia hii ilikuwa na tatizo la ndoa kwa muda mrefu na Mwanaume amekuwa akinyimwa unyumba na siku hiyo ya tukio Mwanamke aliondoka nyumbani na alichelewa kurudi alipohojiwa na Mume wake hakuwa na maelezo mazuri jambo ambalo lilimpandisha hasira Mumewe na kutekeleza tukio hilo, niueleze tu umma Mtu huyu tumemkamata na tunakamilisha upelelezi ili tuweze kumifikisha Mahakamani”
Hata hivyo Kamanda Banga amesema kwa namna Mtuhumiwa alivyokuwa akitekeleza tukio hilo imeonesha uwezo wake wa kufikiri ulikuwa ni mdogo hali inayowafanya waendeleee na uchunguzi wa kidaktari ili kuona kama alikuwa mzima wa afya wakati akitekeleza tukio hilo.
Ndio nini??Upwiru noma
Ulibaka eee😂😁😁Kabisa Kuna siku nilimkunja beki tatu aisee baadae niliomba hadi msamaha nashangaa eti baadae ananiambia alipata Raha usiombe msamaha chaz
Naunga mkono hojaSasa huyu yeye,si bora angebaka hata mke wa jirani kuliko kuua? Hivi,mpaka anaamua atoe shingo,akate vipande,apeleke kutupa huko mtoni,mnadhani hakujua anachokifanya? Si alitaka kupoteza ushahidi? Sasa itakuwaje waseme hakudhamilia!
Ila kama anatokea kwenye familia inayojiweza, hapo kesi ndo itakuwa kama kamanda anavyotaka
We nae wa wapi?Ndio nini??
Hamna nilifosi yaani nilimlazimisha na akakibali kunipa ila nilijutia kwanini nilifosi baadae naenda kumuomba msamaha ananiambia hamna shida sema roho yangu ilijutia sana niliogopa maana asije sema kwa mke wangu aiseeUlibaka eee
Duh baba ulizingua. Kwani wife alikunyima au tamaa zako tu?Hamna nilifosi yaani nilimlazimisha na akakibali kunipa ila nilijutia kwanini nilifosi baadae naenda kumuomba msamaha ananiambia hamna shida sema roho yangu ilijutia sana niliogopa maana asije sema kwa mke wangu aisee