Polisi Njombe: Mwanaume aliyeua Mkewe na Kumkata Vipande Vipande Alinyimwa Unyumba

Polisi Njombe: Mwanaume aliyeua Mkewe na Kumkata Vipande Vipande Alinyimwa Unyumba

kumbe marehemu alikuwa na makosa,
Kama mmesha anza kumtetea mapema hivi,hata adhabu yake itakuwa ndogo sana.
Lazima.kuna mtu pembeni alikuwa anammega mme wake akawa anambania

Ova
 
Sasa,huyo kiongozi anaeongea,taarifa amepata za upande mmoja. Mbona hajatuletea alichoongea na marehemu tusikie na upande mwingine? Kama uwezekano huo haupo,anatuaminishaje kwamba chanzo ndo hicho! Kisa mwanaume kasema. Yeye ti nchii hii ndo alikataliwa? Wanaokataliwa mbona hawachukui maamzi hayo!
Roho ya ukatili ndo chanzo cha hayo yote! Ameua, ahukumiwe. Mbona kamanda hachauliza chanzo cha kutopewa sasa?
 
😂😁😁Kabisa Kuna siku nilimkunja beki tatu aisee baadae niliomba hadi msamaha nashangaa eti baadae ananiambia alipata Raha usiombe msamaha chaz
Sasa huyu yeye,si bora angebaka hata mke wa jirani kuliko kuua? Hivi,mpaka anaamua atoe shingo,akate vipande,apeleke kutupa huko mtoni,mnadhani hakujua anachokifanya? Si alitaka kupoteza ushahidi? Sasa itakuwaje waseme hakudhamilia!
Ila kama anatokea kwenye familia inayojiweza, hapo kesi ndo itakuwa kama kamanda anavyotaka
 
Hata kama katoka kuliwa ndo amkate Kate ona sasa jela nje nje
Huyo jela yake haitakuwa kama angekuwa ameuwa mtu tofauti na mkewe.

Busara ya kawaida tu ikitumika iweje mke amnyime mumewe unyumba halafu atoke arudi akiwa hana maelezo yaliyonyooka na hakuna anayejua alimjibu nini mumewe alipoulizwa alikotoka,anaweza akawa alimwambia nimetoka kugongwa na wanaojua kugonga.

Usicheze na wanawake wa kizazi hiki anaweza akakupa jibu moja ukaomba ardhi ipasuke.
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Mahamoud Hassan Banga amesema Tumaini Luvanda (35) Mkazi wa Dombwela Wilaya ya Makete Mkoani Njombe aliyeuawa kwa kukatwakatwa na panga vipande na kisha kutenganishwa kichwa na kiwiliwili, na baadhi ya viungo vyake kutupwa Mtoni katika eneo la Kabinda Wilayani humo, ameuawa kutokana mgogoro wa ndoa na Mume wake kwasababu ya kumnyima unyumba Mumewe.

Amesema mara baada ya kumkamata Mtuhumiwa Juma Kyando (36) ambaye ni Mume wa Tumaini (Marehemu) kwa kuhusika na mauaji hayo wamebaini kuwa Familia yao ilikuwa na matatizo ya ndoa kwa muda mrefu ambapo Mwanaume amekuwa akinyimwa unyumba lakini pia siku aliyotekeleza mauaji hayo Mke wake alichelewa kurudi nyumbani.

“Familia hii ilikuwa na tatizo la ndoa kwa muda mrefu na Mwanaume amekuwa akinyimwa unyumba na siku hiyo ya tukio Mwanamke aliondoka nyumbani na alichelewa kurudi alipohojiwa na Mume wake hakuwa na maelezo mazuri jambo ambalo lilimpandisha hasira Mumewe na kutekeleza tukio hilo, niueleze tu umma Mtu huyu tumemkamata na tunakamilisha upelelezi ili tuweze kumifikisha Mahakamani”

Hata hivyo Kamanda Banga amesema kwa namna Mtuhumiwa alivyokuwa akitekeleza tukio hilo imeonesha uwezo wake wa kufikiri ulikuwa ni mdogo hali inayowafanya waendeleee na uchunguzi wa kidaktari ili kuona kama alikuwa mzima wa afya wakati akitekeleza tukio hilo.
Yaani kunyimwa U-House ndiyo amuue mtu? Tena kinyama vile? Mke wake?
 
Sasa huyu yeye,si bora angebaka hata mke wa jirani kuliko kuua? Hivi,mpaka anaamua atoe shingo,akate vipande,apeleke kutupa huko mtoni,mnadhani hakujua anachokifanya? Si alitaka kupoteza ushahidi? Sasa itakuwaje waseme hakudhamilia!
Ila kama anatokea kwenye familia inayojiweza, hapo kesi ndo itakuwa kama kamanda anavyotaka
Naunga mkono hoja
 
Ulibaka eee
Hamna nilifosi yaani nilimlazimisha na akakibali kunipa ila nilijutia kwanini nilifosi baadae naenda kumuomba msamaha ananiambia hamna shida sema roho yangu ilijutia sana niliogopa maana asije sema kwa mke wangu aisee
 
Back
Top Bottom