Polisi Njombe: Mwanaume aliyeua Mkewe na Kumkata Vipande Vipande Alinyimwa Unyumba

Polisi Njombe: Mwanaume aliyeua Mkewe na Kumkata Vipande Vipande Alinyimwa Unyumba

Hii itakuwa ni bora tukose wote, yawezekana Kuna jamaa huko nje ndo alikuwa kashikilia usukani basi kutwa kucha mwanamke kumdharau mwanaume.....ndo yakatokea ya kutokea.
 
Duh baba ulizingua. Kwani wife alikunyima au tamaa zako tu?
Nilinyimwa wiki nzima kisa eti sijamnunulia saa ya Silva wakati ana Silva shingoni anataka na kwenye mkono lol ila baadae nikaja kumnunulia na nikawa napewa everyday morning and night 🔥
 
Hkuna kichaa kibaya Kwa masela kama nyege,dada zangu usimnyime mumeo papuchi sio vyema.
 
Kunyimwa sio ishu, ishu ni kunyimwa halafu ukajua au ukahisi kuna mhuni anapewa kiulaini huku nje. Tena ukute anapewa ambavyo hujawahi kupewa.
 
Kati ya vitu vinavyohangaisha ndoa nyingi ni mwanaume kunyimwa! Inakera ila masela ukishaona hupewi tafuta plan B
 
Kutokana na maelezo ya awali ya polisi, chanzo ilikua mume kunyimwa unyumba na mke wake mara kwa mara na siku ya tukio, mke alichelewa kurudi nyumbani na alipoulizwa na mumewe akawa hana majibu ya kuridhisha ndo kupelekea mume kupata hasira na kutekeleza mauaji hayo ya kinyama kabisa!

Angalia video hyo kuanzia dk 2.16 kusikia maelezo ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe

NB: Binadamu wote tuna ukichaa ila tumezidiana!


View: https://youtu.be/uDrERGLYXyk

Source-Millard Ayo
 
Acheni ujinga wanaume hivi mnadhani kila mwanamke akikataa kukupa analiwa nje?? Wanawake wanaweza kaa na upwiru hata miaka 2...usikute janaume malaya,halitunzi familia lilevi linanuka mdomo unalipaje sasa...
 
Acheni ujinga wanaume hivi mnadhani kila mwanamke akikataa kukupa analiwa nje?? Wanawake wanaweza kaa na upwiru hata miaka 2...usikute janaume malaya,halitunzi familia lilevi linanuka mdomo unalipaje sasa...
Heeee
 
Acheni ujinga wanaume hivi mnadhani kila mwanamke akikataa kukupa analiwa nje?? Wanawake wanaweza kaa na upwiru hata miaka 2...usikute janaume malaya,halitunzi familia lilevi linanuka mdomo unalipaje sasa...

Ukiona hivyo rudi kwa wazazi wako, kukaa na mwanaume aliyejaa shahawa ni hatari zaidi ya simba
 
BAADHI ya wanawake wa nyanda za juu kusini wapo busy na. Biashara ya ukahaba hadi wanadharau waume, mauaji ya USALITI WA MAPENZI YATAZIDI sana.
 
Wanawake wanatia hasira muda mwingine kwa majibu yao mi wangu siku yake ilikuwa ya bahati karud saa tano na muuliza ananijibu we unataka nini? Unaniuliza kama nani achana na mm dah ile anamalizia kujibu kumbe kisu kilikuwa pembeli nikapiga teke fasta kikaa nikanyakua kumtia cha matakoni alipiga mkelele mmoja wa ajabu huku akisema mume wangu nilikuwa nakutania nilikuwa kwa mama hasira tu mmewangu unaniua sina hatia ile kusikia vile nikachomoa fasta na kumuwahisha hospital toka siku ile hanijibu utumbo tena aise hasira kitu kingine
 
Amesema mara baada ya kumkamata Mtuhumiwa Juma Kyando (36) ambaye ni Mume wa Tumaini (Marehemu) kwa kuhusika na mauaji hayo wamebaini kuwa Familia yao ilikuwa na matatizo ya ndoa kwa muda mrefu ambapo Mwanaume amekuwa akinyimwa unyumba lakini pia siku aliyotekeleza mauaji hayo Mke wake alichelewa kurudi nyumbani.
Yule jamaa mwenye Isr aliyemkaba mkewe jana huenda ni jamii ya Juma Kyando
 
Back
Top Bottom