Polisi Njombe: Mwanaume aliyeua Mkewe na Kumkata Vipande Vipande Alinyimwa Unyumba

sasa huyu anaonekana yank miaka 35 ndio anaingia vijana wa sasa hawafundwi na kuwekwa chini kwenye jando na kupewa namna ya kuishi na mke mzee wangu. Sisi tukishakuwa wakongwe unachoangalia unaangalia watoto tuu fura yako unajua pa kuipatia mzee wangu ewaa
 
Afya ya akili hiyo, mtu ameshindwa kufikiri vizuri sio jambo dogo hilo.
 
Hamna nilifosi yaani nilimlazimisha na akakibali kunipa ila nilijutia kwanini nilifosi baadae naenda kumuomba msamaha ananiambia hamna shida sema roho yangu ilijutia sana niliogopa maana asije sema kwa mke wangu aisee
Afu akipata mimba, unamfukuzia kijijin kwao, wakateseke wazaz wake kulea mimba yako??
 


Unachokitafuta kwenye hayo “mashimo” yote utakipata.


Halafu miaka 11 tu ndio mshachokana hivyo?! Ilitakiwa muachane mapema zaidi ya sasa kuokoa nafsi za watoto Kama mnao.
 


Na ndio maana nikakwambia mbele ya sheria na wasimamizi wake walionyooka, hiyo sababu ni Dhaifu mno.


Ndoa sio jela. Kama alinyanyaswa ndani ya ndoa aliwajibika kutoka na kuokoa nafsi yake na sio kumchinja mwenzi wake.

Kwani malezi ya watoto yatima yanatolewa kwa kuzingatia wazazi/mzazi amekufaje ama ameishije na mwenza wake??


Hayo mapungufu na madhaifu ya binaadam ndio mtihani wenyewe tuliopewa. Tuko hapa kuhakikisha tunayashinda yote.
 


Haisaidii hata chembe. Ni Sawa na kuupaka mzoga manukato.

Lakuvunda halina ubani.

Simamieni viapo vyenu vya ndoa na ikishindikana kuna mamlaka zipo kwa ajili yenu. Usaliti uzaa umauti.
 
Kweli hadinukamuue mtu kisa kakunyima! Kwani kunakuwaga na nini humo kwenye hiyo kitu?
Kuna Asali?
Kuna pesa?
Kuna kautajiri?
Ni nini kimo humo ambacho huwezi kukipata pengine?

Ni ujinga wa Hali ya juu wanaume amkeni!
 
Dah! Anyway.. ila marehemu ajitathmini huko aendako..
 
upendo wa wanawake wa kijijini ni robo hasa pale anapokuja mpenzi wake wa kitambo kutoka mjini hususan dara hapo kama una utashi mdogo kama huyu mbwana lolote laweza kutokea lakini kwa huyu mbwana amekiuka ajenda yetu ya kikao cha akina baba wenye familia [ndoa]
 
NDOA NI USHAMBA, Papuchi zipo kibao sio mpaka Mkabakane ndoani ona sasa tukiwakataza kuoa mnatuona Malaya.
 
Kataa Ndoa ni wahuni kama hawa akina Tumain.

Yaani K inakufanya unakosa akili hadi unaua?
 
Ndoa ni Jinai, tunakufungulia gereza kua unavyotaka.
Mara nyingi ndoa za sasa mwisho wake ni kugawana majengo ya serkali.
Kabla hujaoa fikiria idadi ya warembo wakali wa bei nafuu wanaotupaparikia vijana kabla hujafungua malango hayo ya Jela au mochwali.
Sasa ona huyu anaenda na upwiru wake akabambiwe na Wahuni wenzie.
 
NDOA NI USHAMBA, Papuchi zipo kibao sio mpaka Mkabakane ndoani ona sasa tukiwakataza kuoa mnatuona Malaya.
Ila wanaume wengine sijui ni kukosa kazi au vipi.

Unajua ukiwa buze na focused na mambo yako issue za K ni mara chache sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…