wale malaya na mapolisi wao lao moja wanatuchomesha wateja wao!
kuna siku mishale ya saa 7 natokea maeneo flani nilipofika karibu na taifa kwa mbele kama unakuja tazara kuna chimbo nalijua naenda kupata huduma za madada poa. nikawa na mgogoro wa nafsi niende au nisiende baada ya kufikia muafaka nikasema ngoja niridhishe nafsi yangu nikanyooshe kiuno kidogo. nikaenda sheli na kumkabidhi mlinzi tukutuku yangu na kuanza kukata mitaa. baada ya kona kadhaa nikakutana na pisi moja ila tukashindwana bei alinitajia bei kubwa aliniona sijui wakuja nikamwambia mimi sijatokea kilosa mi born town bei nazijua vizuri na biashara na nyie nshafanya sana sipigwi kizembe ivo nikasepa
hatimaye nikaelewana na kazi moja hivi ikachukua chake mapema na kuzungusha kona moja kuna matank ya maji. ikainamaa pale na mimi nikashusha suruali tayari kwa kupiga yope. nimepiga tako kama nne hivi nikasikia bunduki ya baridiiii ikko matakoni mboo ililala palepale nasikia maliziaaa. kumbe ni wale maaskari wa doria ya usiku na mda ni saa 8 usiku iyo. nikapigwa pingu nikaingizwa kwenye noah chaajabu yule malaya hakukamatwa.
nilizungushwa mitaa kibao kama napelekwa utuo baadae nikachekechwa nitoe elfu 50 waniachie maana utuo naenda kuisha. "wanangu nina buku 7 mfukoni sina kitu" ahaa ushaniona na na mimi malaya naki
najiuza unataka kunitomb** na mimi au sio ngoja tukakuweke ndani njagu yule alinijibu ila baadae mwisho wale maaskari walichukua elfu 10 wakaniachiaa ila waliniacha mbali kinoma saa 9 usiku nikaanza kukata mitaa nirudi sheli alafu walivyokua wananifungua pingu eti dogo pale ukikata kona ya kwanza ya pili mkono wa kushoto kuna malaya wazuri kuliko wale wa mwanzo nenda kapige show" mamaeee
narudi zangu mbezi saa kumi kichwa kinawaka moto. wale malaya na maaskari lao moja wanatuchomesha sisi wateja mamaee
View attachment 2176403