Polisi sasa wanawakamata wanaume wanaowanunua dada poa, wanawake hawakamatwi

Polisi sasa wanawakamata wanaume wanaowanunua dada poa, wanawake hawakamatwi

Watie kambi pale Kitambaa Cheupe, watakamata wanaume wooote wa pale.[emoji91][emoji91][emoji91]
Ha ha ha baa ngumu coz hawaezi jua ka demu wako au lah mana staili mara nying inanzia kwny kununuliana vinywaji baa hawatapata kitu
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa sehemu ya mikakati yake katika kuzuia biashara ya wanawake kujiuza ni kuwakamata wanaume ambao wanahusika katika biashara hiyo.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema ameamua kuja na staili tofauti ambayo haitahusisha matumizi ya nguvu kwa wanawake wanaofanya biashara hiyo.

“Kuna sehemu tuliweka kambi kwa siku tatu, hatukuwakamata wanawake amao walikaa pale wakipigwa na baridi kwa siku zote hizo, wanaume hawakutokea na ndiyo tuliokuwa tukiwasubiri, baada ya kuona hakuna wateja wanawake hao hawakurudi eneo hilo.

“Nimeelekeza na kuagiza wanaume wakamatwe kwa kuwa kama hawataenda maeneo hayo basi hiyo biashara haitakuwepo,” - Muliro.

Chanzo: Wasafi FM

Nadhan ana kitu kipya lakini afikirie vizuri !! hao wadangaji wanakagrup wasap,n biashara mitandaoni
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa sehemu ya mikakati yake katika kuzuia biashara ya wanawake kujiuza ni kuwakamata wanaume ambao wanahusika katika biashara hiyo.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema ameamua kuja na staili tofauti ambayo haitahusisha matumizi ya nguvu kwa wanawake wanaofanya biashara hiyo.

“Kuna sehemu tuliweka kambi kwa siku tatu, hatukuwakamata wanawake amao walikaa pale wakipigwa na baridi kwa siku zote hizo, wanaume hawakutokea na ndiyo tuliokuwa tukiwasubiri, baada ya kuona hakuna wateja wanawake hao hawakurudi eneo hilo.

“Nimeelekeza na kuagiza wanaume wakamatwe kwa kuwa kama hawataenda maeneo hayo basi hiyo biashara haitakuwepo,” - Muliro.

Chanzo: Wasafi FM
Wanawakamata na wao wanakula humohumo
 
👏Ukitaka kutibu ugonjwa jua chanzo cha ugonjwa halafu shambulia hicho chanzo utakuwa umezuia ugonjwa huo ( preventive measures)

👏Kwa hili wanachokifanya mapolisi nawapa kongole kubwa kwa sababu ukizuia wanunuzi wauzaji hawatakuwepo ( Demand supply theorem)
Lakini pia ukizuia wauzaji, wanunuzi hawatakuwepo kwa vile hakuna cha kununua.
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa sehemu ya mikakati yake katika kuzuia biashara ya wanawake kujiuza ni kuwakamata wanaume ambao wanahusika katika biashara hiyo.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema ameamua kuja na staili tofauti ambayo haitahusisha matumizi ya nguvu kwa wanawake wanaofanya biashara hiyo.

“Kuna sehemu tuliweka kambi kwa siku tatu, hatukuwakamata wanawake amao walikaa pale wakipigwa na baridi kwa siku zote hizo, wanaume hawakutokea na ndiyo tuliokuwa tukiwasubiri, baada ya kuona hakuna wateja wanawake hao hawakurudi eneo hilo.

“Nimeelekeza na kuagiza wanaume wakamatwe kwa kuwa kama hawataenda maeneo hayo basi hiyo biashara haitakuwepo,” - Muliro.

Chanzo: Wasafi FM
Watu wamejiajiri halafu mnazuia wateja wao mtasababisha mfumuko wa bei kwenye hiyo biashara.
 
Kidogo kidogo nchi itakuwa kama zanzibar okoa vijana mkimaliza huko muende kwenye kubet kule ndo watu hawasikii chochote kile licha ya kuliwa hela.
 
Kidogo kidogo nchi itakuwa kama zanzibar okoa vijana mkimaliza huko muende kwenye kubet kule ndo watu hawasikii chochote kile licha ya kuliwa hela.
Hela za kubetia za mwanaume mwenzio zinakuuma sio!? Acha aliwe si za kwake...
 
Na wakiwakamata hao wanaume nao waliwe ili wasirudie tena kuwachukua dada poa.
 
Mambo mengine yalishashindikana .... makonda mwenyewe alinyoosha mikino
 
Hayo ni matumizi mabaya ya muda na akili.Labda kama lengo lake ni wasionekane wako barabarani ila kama lengo nikuzuia ufuska hiyo mbinu haiwezi kufanya kazi maana wahusika watakachokifanya nikubadili mbinu.
 
[emoji122]Ukitaka kutibu ugonjwa jua chanzo cha ugonjwa halafu shambulia hicho chanzo utakuwa umezuia ugonjwa huo ( preventive measures)

[emoji122]Kwa hili wanachokifanya mapolisi nawapa kongole kubwa kwa sababu ukizuia wanunuzi wauzaji hawatakuwepo ( Demand supply theorem)
Sio biashara zote unaweza kufanya hivyo.wanawake ni bidhaa muhimu sana kwa wanaume.Labda kama hujawai kua mwanaume ndo huwezi kujua hili.kwahiyo kwa umuhimu huo ambao pia wanawake wanaujua kua wao ni muhimu kitakachofanyika ni mbinu zaidi kuboreshwa ila biashara itabaki kua vile vile.
 
Na ambao tunawaona barabarani wako nchi gani?
Hao ni wale wanaomalizikia malizikia ndo maana wanasubiri walevi na wapitaji barabarani.ila miaka inavyozidi kwenda wanazidi kupungua barabarani.Kuna miji ukienda ukuti malaya barabarani ila kuna ufuska wa hatari.
 
Back
Top Bottom