Polisi sasa wanawakamata wanaume wanaowanunua dada poa, wanawake hawakamatwi

Polisi sasa wanawakamata wanaume wanaowanunua dada poa, wanawake hawakamatwi

Kwamba polisi wetu ufahamu wao na upembuzi umeishia hapo?

Mbona watu wanajiuza mitandaoni kuliko hata mitaani.
Ndio ushangae , niliwah ungwa grupu lina malaya zaidi ya 15000 wanajiuza kule.
 
Back
Top Bottom