Na ambao tunawaona barabarani wako nchi gani?Hii nchi bhna haiwezi endelea kabisa..mana hawatumii akili wanatumia mihemko..hivi nani ambaye bado anaenda kusubiri malaya barabarani.
Sikuhizi ni online tu unavuta kimwana..anakuja kukupa huduma chapchap.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha baa ngumu coz hawaezi jua ka demu wako au lah mana staili mara nying inanzia kwny kununuliana vinywaji baa hawatapata kituWatie kambi pale Kitambaa Cheupe, watakamata wanaume wooote wa pale.[emoji91][emoji91][emoji91]
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa sehemu ya mikakati yake katika kuzuia biashara ya wanawake kujiuza ni kuwakamata wanaume ambao wanahusika katika biashara hiyo.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema ameamua kuja na staili tofauti ambayo haitahusisha matumizi ya nguvu kwa wanawake wanaofanya biashara hiyo.
“Kuna sehemu tuliweka kambi kwa siku tatu, hatukuwakamata wanawake amao walikaa pale wakipigwa na baridi kwa siku zote hizo, wanaume hawakutokea na ndiyo tuliokuwa tukiwasubiri, baada ya kuona hakuna wateja wanawake hao hawakurudi eneo hilo.
“Nimeelekeza na kuagiza wanaume wakamatwe kwa kuwa kama hawataenda maeneo hayo basi hiyo biashara haitakuwepo,” - Muliro.
Chanzo: Wasafi FM
Wanawakamata na wao wanakula humohumoJeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa sehemu ya mikakati yake katika kuzuia biashara ya wanawake kujiuza ni kuwakamata wanaume ambao wanahusika katika biashara hiyo.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema ameamua kuja na staili tofauti ambayo haitahusisha matumizi ya nguvu kwa wanawake wanaofanya biashara hiyo.
“Kuna sehemu tuliweka kambi kwa siku tatu, hatukuwakamata wanawake amao walikaa pale wakipigwa na baridi kwa siku zote hizo, wanaume hawakutokea na ndiyo tuliokuwa tukiwasubiri, baada ya kuona hakuna wateja wanawake hao hawakurudi eneo hilo.
“Nimeelekeza na kuagiza wanaume wakamatwe kwa kuwa kama hawataenda maeneo hayo basi hiyo biashara haitakuwepo,” - Muliro.
Chanzo: Wasafi FM
Lakini pia ukizuia wauzaji, wanunuzi hawatakuwepo kwa vile hakuna cha kununua.👏Ukitaka kutibu ugonjwa jua chanzo cha ugonjwa halafu shambulia hicho chanzo utakuwa umezuia ugonjwa huo ( preventive measures)
👏Kwa hili wanachokifanya mapolisi nawapa kongole kubwa kwa sababu ukizuia wanunuzi wauzaji hawatakuwepo ( Demand supply theorem)
Watu wamejiajiri halafu mnazuia wateja wao mtasababisha mfumuko wa bei kwenye hiyo biashara.Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa sehemu ya mikakati yake katika kuzuia biashara ya wanawake kujiuza ni kuwakamata wanaume ambao wanahusika katika biashara hiyo.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema ameamua kuja na staili tofauti ambayo haitahusisha matumizi ya nguvu kwa wanawake wanaofanya biashara hiyo.
“Kuna sehemu tuliweka kambi kwa siku tatu, hatukuwakamata wanawake amao walikaa pale wakipigwa na baridi kwa siku zote hizo, wanaume hawakutokea na ndiyo tuliokuwa tukiwasubiri, baada ya kuona hakuna wateja wanawake hao hawakurudi eneo hilo.
“Nimeelekeza na kuagiza wanaume wakamatwe kwa kuwa kama hawataenda maeneo hayo basi hiyo biashara haitakuwepo,” - Muliro.
Chanzo: Wasafi FM
Hela za kubetia za mwanaume mwenzio zinakuuma sio!? Acha aliwe si za kwake...Kidogo kidogo nchi itakuwa kama zanzibar okoa vijana mkimaliza huko muende kwenye kubet kule ndo watu hawasikii chochote kile licha ya kuliwa hela.
Sio biashara zote unaweza kufanya hivyo.wanawake ni bidhaa muhimu sana kwa wanaume.Labda kama hujawai kua mwanaume ndo huwezi kujua hili.kwahiyo kwa umuhimu huo ambao pia wanawake wanaujua kua wao ni muhimu kitakachofanyika ni mbinu zaidi kuboreshwa ila biashara itabaki kua vile vile.[emoji122]Ukitaka kutibu ugonjwa jua chanzo cha ugonjwa halafu shambulia hicho chanzo utakuwa umezuia ugonjwa huo ( preventive measures)
[emoji122]Kwa hili wanachokifanya mapolisi nawapa kongole kubwa kwa sababu ukizuia wanunuzi wauzaji hawatakuwepo ( Demand supply theorem)
Hao ni wale wanaomalizikia malizikia ndo maana wanasubiri walevi na wapitaji barabarani.ila miaka inavyozidi kwenda wanazidi kupungua barabarani.Kuna miji ukienda ukuti malaya barabarani ila kuna ufuska wa hatari.Na ambao tunawaona barabarani wako nchi gani?