Polisi Tanzania: Hatutegemei kuona sherehe za Pasaka wakati Nchi bado ipo kwenye maombolezo

Polisi Tanzania: Hatutegemei kuona sherehe za Pasaka wakati Nchi bado ipo kwenye maombolezo

Magufuli alitia sana watu hofu yaani kafa lakini mwangi wake bado unaishi. Ni ujinga wa hali ya juu kumtukuza binadamu ambaye hana jipya katika ardhi hii.
 
YA KAISARI TUSIYACHANGANYE NA YA MUNGU, MTAMFANYA HAYATI AULIZWE MASWALI MAGUMU HUKO ALIPO, kumbukeni shamrashamra huwa tunazianzia kanisani.
 
Kufufuka kwa Yesu Kristo ni sherehe kubwa kuliko kifo cha watu wote wa Dunia. Serikali isuspendi maombolezo siku ya J2 na kusogeza mbele maombolezo kwa siku moja zaidi.
 
Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Unajua maana ya Kuingilia imani ya mtu? Umekatazwa kusali? Umekatazwa kusherehekea nyumbani kwako? Au hadi mpigie watu kelele kwenye mabar na mtaani ndio muwe mnaabudu?

Una chuki sana dhidi ya Magufuli, sheria inayohusu maombolezo hakutunga magufuli.
 
Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
[emoji23][emoji23][emoji23] sijui wale mbuzi nilioagiza na wageni kupewa mwaliko nitawapeleka wpi mjini hapa.
Kula na wageni kimya kimya wala usiwe na muiki mnene. Kikubwa, kusionekane shamra shamra kwako.
 
Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Anatarajiwa kufufuka au inatarajiwa kusheherekewa kumbukumbu ya yesu kufufuka?
 
Vipi kuishangilia simba jumamosi nayo imekatazwa
 
Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Technically halitegemei ni tofauti na katazo...

Anyway pesa zangu / furaha au masikitiko yangu na ni pamoja na kodi zangu zinazowaweka hao ambao inabidi wanilinde barabarani..., alafu bado wanadiriki kunipangia nifanyie nini chenji zangu baada ya kuwalipa mishahara ?

Kweli unyanyasaji upo wa aina tofauti....
 
Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Kwa Hiyo Umesahau Kuwa Anawaongoza Malaika Sasa Hivi
🙄😑😐😣😥🤔😇🤗🙂☺
 
Kwa Hiyo Umesahau Kuwa Anawaongoza Malaika Sasa Hivi
[emoji849][emoji58][emoji52][emoji21][emoji26][emoji848][emoji56][emoji847][emoji846][emoji5]
[emoji38][emoji38][emoji38]
0000.jpg
 
Back
Top Bottom