Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Magufuli alitia sana watu hofu yaani kafa lakini mwangi wake bado unaishi. Ni ujinga wa hali ya juu kumtukuza binadamu ambaye hana jipya katika ardhi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya Kuingilia imani ya mtu? Umekatazwa kusali? Umekatazwa kusherehekea nyumbani kwako? Au hadi mpigie watu kelele kwenye mabar na mtaani ndio muwe mnaabudu?Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Kula na wageni kimya kimya wala usiwe na muiki mnene. Kikubwa, kusionekane shamra shamra kwako.[emoji23][emoji23][emoji23] sijui wale mbuzi nilioagiza na wageni kupewa mwaliko nitawapeleka wpi mjini hapa.
Ukizingatia pasaka iliyopita hatukusherehekea pia kwasababu ya corona wangetuonea huruma tulipizie na ile!Jeshi la Polisi waachieni ndugu zetu wakiritu washerekee sherehe zao bila ya bugudha, Magu kashatangulia kilichobaki tusonge mbele acheni siasa
Si wanasemaga serikali haina dini?Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Anatarajiwa kufufuka au inatarajiwa kusheherekewa kumbukumbu ya yesu kufufuka?Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Kachome mahindi ule!
Technically halitegemei ni tofauti na katazo...Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Kwa Hiyo Umesahau Kuwa Anawaongoza Malaika Sasa HiviTanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Ndiyo Ukweli WenyeweWanamaanisha pasaka mpaka mwakani au mimi ndio sijawaelewa bajameni
Ndo uende ukalewe kisa kafufuka? Hebu kuwa siliaz kidogoAcheni haya mambo, Yesu ni mkuu kuliko binadamu. Kufufuka kwa Yesu kristo ni sherehe kubwa sana katika imani ya Ukristo.
[emoji38][emoji38][emoji38]Kwa Hiyo Umesahau Kuwa Anawaongoza Malaika Sasa Hivi
[emoji849][emoji58][emoji52][emoji21][emoji26][emoji848][emoji56][emoji847][emoji846][emoji5]