Polisi Tanzania: Hatutegemei kuona sherehe za Pasaka wakati Nchi bado ipo kwenye maombolezo

Na kabla hajafa Mh Magufuli..ibada na sherehe zilikuwapo. Vipi kifo chake kipelekee kututoa kwenyebimani zetu?
 
Hili agizo unakitoa wapi?? Kama ni Kwa Raisi wetu sawa ila kama ni kwa mkuu wa polisi..mwambie hajatutendea haki. Hapo anatutafuta ubaya.
 
Nimeiona clip ya msemaji wa jeshi la polisi mtandaoni akitangaza kuzuiwa kwa wakristo kutokushangilia ushindi wa Masihi yaani Yesu Kristo kukishinda kifo na kufufuka kutoka wafu. Pasaka Ina maana kubwa Sana kwa wakristo kwani Imani yao kwa Mungu inaanzia hapa.
Ombi langu kwa serikali itoke hadharani na kukanusha angazo hili la kuzuia sherehe za pasaka kwa sababu ya taifa kuwa kwenye maombolezo kwani havihusiani!
Povu linakaribishwa kwani Nina nguo chafu zinahitaji sabuni na itapendeza likiwa la omo!
 
Wamezuia kwenda kanisani, kuchinja kuku au kucheza wimbo wa Baba lao? Tujuzane
 
Polisi,
Wakristo hawasherehekei kifo (Mauti) wanasherehekea kufufuka (Ufufuo) wa Kristo. Kwa maana hiyo Ijumaa wanahuzunika kwa kifo cha mwokozi wao na jumapili wanasherehekea ushindi wa mwokozi wao dhidi ya mauti. Mnapowakataza kufurahia ushindi wa Kristo mnamtukuza shetani.
 
Waache maPoliCCM wamzike mfu wao ambaye hatafufuka milele sisi Wakristo tuendelee na sherehe za ufufuo wa Bwana Wetu Yesu Kristo aliye hai.
 
Si hua mnasema vyuma vimekaza na Sikukuu za siku hizi ni kama siku za kawaida tuu?

Imekuaje tena ghafla tuu?

Nauliza tu.
 
Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
 
Mwanakondoo ameshinda🙏 hallelujah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…