Msiba umetugusa ila sio sawaHabari ndio hiyo mliojipanga kusheherekea tafuteni shughuli za kufanya.
View attachment 1740670
Tii sheria bila shurutiHivi polisi wa Tanzania bila kuchokonoa watu hawajisikii ?
Sheria za kibwege hatutazitii kamwe !Tii sheria bila shuruti
Jamani mwendazake hafufukiiiHabari ndio hiyo mliojipanga kusheherekea tafuteni shughuli za kufanya.
View attachment 1740670
Hivi hakuna tofauti kati ya tamko na sheria katika nchi hii ?Tii sheria bila shuruti
[emoji1787] [emoji1787]Sheria za kibwege hatutazitii kamwe !
Hahahaha imani za washirikinaTuache sherehe ya sikukuu yetu muhimu sana kisa Jiwe aliyezikwa na shuka jekundu , ngozi ya kondoo na mkuki thubutu .
Wanaamri toka juu, MUNGU NA AWALAANITii sheria bila shuruti
Akili kichwani
Jaribuni muoneAiseee...kwa hiyo tutakao kuwa matembezini siku hiyo hatutakuwa na tofauti waandamanaji