Polisi Tanzania: Hatutegemei kuona sherehe za Pasaka wakati Nchi bado ipo kwenye maombolezo

Polisi wetu hawana Mungu.Mungu wao amekufa!
Wanatuonea wivu tukishangilia ushindi was Kristo kushinda mauti
 
Unaweza kujikuta unatengeneza wafiwa dini hapa!
 
Ilikuwa ni huzuni kuliko huzuni zote Yesu mwokozi alipokufa.

Sasa ni furaha zaidi ya furaha zote masihi Yesu anapofufuka.

Tuachane na wanaopambania vitu vya duniani(Jeshi la Polisi),hawajui walitendalo.

Hiyo siku tufurahie zaidi ya furaha zote,maana Yesu yu hai.

Natoa onyo kwa hao jeshi la polisi na wengineo,
Wasijitafutie laana ya bila sababu.




Na iwe hivyo.
 
Wewe unaohimiza watu na wale wanaokataza watu wote ni wale wale tu.....

Kupangiana maisha ni Udikteta kila mtu afanye anachopenda ilimradi asivunje sheria...., Na kama kuna Sheria ipo inayomkataza mtu kufanya kile anachopenda iwapo anachopenda sio bughuza kwa wengine (anti social behaviour) basi sheria hii haifai...

Kwa hili Jeshi limekosa Busara na Hekima..., na kwa wale watakao politicise ukosaji huu wa Busara watakosa Hekima
 
Hapa ni tofauti za mtazamo, serikali haina dini hivyo Pasaka haimo kwenye katiba, wananchi wana dini hivyo kila mtu atulie kivyakevyake.
 
Hapa ndio uwa naona jeshi la polisi wamejaa waseng.e umo, unawezaje kutamka kauli kama izi kwa taifa kama hili ambalo tumeishi bila udini kwa kiasi kikubwa? Aisee uyu mtu avuliwe madaraka yake yote hawa ndio chanzo cha udini.
 
Tatizo lingine kubwa la polisi letu ni

ELIMU ELIMU ELIMU.

Form 4 + miezi 6 ya Depo+viseminasemina(short courses)

Haitoshi mno kwa kazi kubwa hii ya kulinda raia na mali zao.
 
Hao ni wale wanataka matendo ya jiwe yaendelee kuishi.
Hawashtuki kuwa kuna teuzi na tengua teuzi zinaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…