Polisi: Tumewakamata watuhumiwa waliokula njama ya kutaka kumteka Tarimo - Kiluvya

Polisi: Tumewakamata watuhumiwa waliokula njama ya kutaka kumteka Tarimo - Kiluvya

Hebu rudia kusoma. Unaelewa ulichoandika?
Wewe ndio hujamuelewa comment yake alichokimaanisha.
Amemaanisha hili tukio halihusiani kabisa na siasa kuna jambo lingine tofauti la kibinafsi tu ambalo ndio linahusika na ule utekaji uliotaka kutokea,ingekuwa ni wasiojulikana professional hawakamatiki kiurahisi ndicho jamaa alichokimaanisha.
 
Kuna mtu alisema kuwa lile jaribio ni mchongo ili kubalance story.

Naanza kuziona dalili hizo.
Unadhani kwa nini walikuwa recorded kirahisi vile, stable recording mbona mzee Kibao aliyeshushwa kwenye basi huku abiria wamejaa hakuna clips za tukio zima kama za hao waliojaribu kumteka Bonge.
Read between the lines dude.
 
Baada ya jeshi la polisi kukamata watu waliohusika katika jaribio la kumteka Mr.Tarimo,wameonekana watu 8 ,mimi nimewagundua wawili,kale kanjemba kafupi na yule pank alikuwa buti.

Katika mtandao wa Instagram kwa acc ya ya Millard kuna mdau amechangia kwa kusema “Jamani mbona huyo mfupi na mfahamu ni askari wa Gogoni anaitwa Fredy”,akaendelea kwa kusema “ kwamba namfahamu na namba zake ninazo “.

Kulanina Gogoni? Chakula ni kitamu ila kikisha toka tumboni hunuka
Yupo sahihi sema kwenye taarifa yao hawajaweka kazi yake wameweka jina tu.
 
Wameokotwa kama kumbikumbi.

Unakamata mmoja au wawili.. Kisha hao wawili wanataja wenzao.. Kazi ya kuwa traki inaanza... Pakiwa pagumu .. Simu ya walio kamatwa inatumika kuwaita wenzakw kwenye dili... Unafika tu u akutana na magwanda ya askari kanzu
Professionals ukishakamata mmoja wengine hauwapati, the best way huwa ni kufanya tracing ya kujua kila mmoja alipo then wate wanakamatwa kwa wakati mmoja.
 
Professionals ukishakamata mmoja wengine hauwapati, the best way huwa ni kufanya tracing ya kujua kila mmoja alipo then wate wanakamatwa kwa wakati mmoja.
Sasa wewe uliona pale kuna professionals? Watu wana park gari mbele ya CCTV? inamaana hawaku study hata mazingira kabla?
 
Mbona katika hao waliokamatwa sioni hata sura moja ya wale waliokuwa kwenye ile video?
Moja nimeitambua: yule white mfupi alivaa t-shirt nyeusi siku ya tukio. Alikuwa kwa ndani ya gari akimvuta Tarimo
 
Moja nimeitambua: yule white mfupi alivaa t-shirt nyeusi siku ya tukio. Alikuwa kwa ndani ya gari akimvuta Tarimo
Basi tuwapongeze hawa askari.

Ila bado mie siwaamini Polisi wetu. Nahisi kama hili ni igizo. Kwa mfano, katika kusafirisha madawa ya kulevya, wakaguzi wa airport huwa wanapatiwa mshiko wao mzito tu. Sasa kila baada ya muda fulani wanawaambia wafanya biashara wa madawa tupe angalau watu wawili wa kuwakamata ili tuonekane tunafanya kazi!

Sasa sio kwamba kuna mchoro kama huu polisi wameuchora ili waonekane wanafany kazi kuwapata watekaji na watekaji sio Polisi? Unaweza kusikia hakuna ushahidi. Kwani kuna ushahidi gani kwamba walikuwa wanamteka? Kumlazimisha mtu kuingia kwenye gari sio kuteka. Wanaweza kusema walikuwa wanafanya citizen's arrest ya mtapeli Tarimo alawatapeli kwwenye biashara, na huo ukawa ni ushauri wamechorewa na Polisi kwamba mtashinfda hii kesi msihofu, na wakapewa mshiko mzuri tu. Kisheria inatakiwa zaidi ya hilo tendo kusema ingia kwenye gari twende!

Huwezi kunifunga kwa kutaka kuiba, bali kwa kuiba. Unakumbuka yule jaji alisema Murilo anajifanya nabii anawakamata Chadema kwa kutaka kuandamana? Kutaka kuandamana sio kosa, bali kosa ni kukutwa ukiandamana.

Sasa jiulize, nini maana ya kumteka mtu? Kumlazimisha aingie kwenye gari ili mkaongee kuhusu hela aliyokutapeli ni kuteka? Kumbuka Trimo haakuingia kwenye gari, na wala gari haikusogea hata mm moja ikiwa na Tarimo
 
Back
Top Bottom