Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Uoga...!muda wote mlikuwa mnafanya nini kama mliona kuna jambo haliko sawa juu ya kifo cha ndugu yenu?
Inashangaza sana.Ni mwaka mmoja sasa.je mlikua kimya kwa sababu Gani?
Asante
Wanatishwa na Koplo!Kweli nchi hii imejaa vihiyo wenye uoga wa kizuzu mno,why huyu jamaa amekua very powerful hata kuwazuia kumstiri dada yako?,why ulalame humu bila ya kufanya push back wakati bado hajazikwa?,kwangu hii mada imejaa uongo na unafiki mkubwa, next time pigana kudai katiba mpya,maana itakupa kitu kinachoitwa IPID na PP, hawa wange deal na kesi kama hii kama ni ya ukweli
Hata kama angekuwa na Cheo kikubwa kama cha IGP, endapo kama wangekuwa serious na wangeibua suala hili mapema kabla marehemu hajazikwa basi uchunguzi wa kina ungefanyika tu bila ya kujali cheo alichonacho mtuhumiwa. Kosa limefanywa na hao wanandugu wa marehemu. Hawataweza kusaidika tena kwa lolote kwa hatua hii ilipofikia.Ilipaswa mtafute haki kabla ya maziko kwa kuomba kisheria ifanyike post mortem.
Kwa cheo cha huyo polisi ni kidogo mno kuweza kuwa na mabavu ya kuweza kuzuia chochote endapo mngeenda kisheria mapema. Kwa sasa bila ya ithibati ya mwili wa marehemu itakuwa ngumu sana kudhihirisha chochote.
Wazazi tunapaswa kuwafunza binti zetu kuwa ni sawa kurudi nyumbani pale ndoa inapokuwa na mateso. Nyumba nyingine inakuwa binti akishaolewa basi ndio hapaswi kama kafukuzwa.
okHata kama angekuwa na Cheonkikubwa kama cha IGP, endapo kama wangekuwa serious na wangeibua suala hili mapema kabla marehemu hajazikwa basi uchunguzi wa kina ungefanyik an tu bila ya kujali cheo alichonacho mtuhumiwa. Kosa linefanywa na hao wanabdugu wa marehemu. Hawataweza kusaidika tena kwa lolote kwa hatua hii ilipofikia.
It's craze mkuu,koplo eti anazuia ndugu wa marehemu kwenda kumstiri ndugu yao na wanafwata mikia yao na kuja kulalama JF!!Wanatishwa na Koplo!
Ndiyo maana wazungu wametengeneza mwanamke bandia na mwanaume bandia kukidhi mahitaji ya kimahusiano, mali ukifa unarithisha makambi ya wazee na yatima, period.Nahis nitakufa bila kuoa ,kataa ndoa.
Kama hauna uchungu simama nafasi ya mwenzioUnaleta umbea Tu usiokuwa na mashiko.
Vifo vyote vyenye utata ndugu hawawezi kuruhusu kuzikwa mpaka ifanyike postmortem itakayoshirikisha Wana ndugu.
Marehemu she is dead and buried, unataka JF tuanze kujadili umbea na illusions?
Pambana na January usirudishe muda nyuma.
Kila mtu ni mali ya serikali, hakuna anayejimiliki mwenyewe.Hivi ukiolewa inakuwa halal ya mumeo na ndugu zake kiujumla na familia na ndugu zako wanakuwa hawana nguvu ya usemi juu yako?
Hatuna uelewa mmoja sio kila mtu anajua pa kuanzia haki yakemkuu umetisha yani mmekaa kama makondoo mwaka mzima leo ndo unakumbuka haki.
huyoo dada aliekufa huko alipo amewadharau sana mlivyoo màzezeta kushindwa kupigania haki yake akiwa bado hajazikwa
Points za essay huwa ziko kwenye hitimisho, hiyo para yako ya mwisho imekupa medani.Ilipaswa mtafute haki kabla ya maziko kwa kuomba kisheria ifanyike post mortem.
Kwa cheo cha huyo polisi ni kidogo mno kuweza kuwa na mabavu ya kuweza kuzuia chochote endapo mngeenda kisheria mapema. Kwa sasa bila ya ithibati ya mwili wa marehemu itakuwa ngumu sana kudhihirisha chochote.
Wazazi tunapaswa kuwafunza binti zetu kuwa ni sawa kurudi nyumbani pale ndoa inapokuwa na mateso. Nyumba nyingine inakuwa binti akishaolewa basi ndio hapaswi kama kafukuzwa.
Mh asee mletaada na familia yako mmekaa kifala sana na huyo dogo aliona mnamuogopa ndipo akaamua kuendeshaTarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro
Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na mgogoro wa ndoa waliokuwa nao na sababu hiyo hatujui mpaka leo hii dada yetu amekufa na tatizo gani kwani baada ya kufariki kijana huyo alitunyima kupima mwili pamoja na taarifa za hosptal juu ya kilichomuua dada yetu
Imefika hatua familia ya marehemu wanatishiwa na hawana amani
Siku ya kumuaga marehemu mdogo wa kike wa marehemu alinyimwa kwenda kumstiri dada yake badala yake alienda mume na kaka ake kumstiri dada yetu ndugu tulichukizwa na iko kitendo cha shemeji mtu kwenda kumstiri marehemu tukaingilia kati hilo mwisho wa siku wakamruhusu mdogo mtu kuingia lakini haikusaidia kwani mume na shemeji wa marehemu walikuwa wameshatangulia
Baada ya kuruhusiwa mdogo wa marehemu na mama zake wadogo wawili walinyimwa gloves kwaajili ya kumvalisha marehemu na walikuta dada yetu amezuriwa maeneo mengi
Ndugu wa mwanamke waliokuwa hospitalini walikatazwa kumuona mgonjwa aliyekuwa anaingia ni Josephat na ndugu yake anaitwa Mwinyi walimuamisha mochwari kutoka hospital alipofia (Hindu Mandal)na kumpeleka mochwari ya kazini kwao anapofanyia kazi ndugu wasiweze kupima mwili
View attachment 2860643
View attachment 2860644
Walitakiwa wamzuie Mahakamani kuzika, watu wa Mara ni wazoefu wa mashauri kama haya.Wanatishwa na Koplo!
Toka tarehe 23/1/023 ndio unaileta Leo kulikoni mkuu!!Tarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro
Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na mgogoro wa ndoa waliokuwa nao na sababu hiyo hatujui mpaka leo hii dada yetu amekufa na tatizo gani kwani baada ya kufariki kijana huyo alitunyima kupima mwili pamoja na taarifa za hosptal juu ya kilichomuua dada yetu
Imefika hatua familia ya marehemu wanatishiwa na hawana amani
Siku ya kumuaga marehemu mdogo wa kike wa marehemu alinyimwa kwenda kumstiri dada yake badala yake alienda mume na kaka ake kumstiri dada yetu ndugu tulichukizwa na iko kitendo cha shemeji mtu kwenda kumstiri marehemu tukaingilia kati hilo mwisho wa siku wakamruhusu mdogo mtu kuingia lakini haikusaidia kwani mume na shemeji wa marehemu walikuwa wameshatangulia
Baada ya kuruhusiwa mdogo wa marehemu na mama zake wadogo wawili walinyimwa gloves kwaajili ya kumvalisha marehemu na walikuta dada yetu amezuriwa maeneo mengi
Ndugu wa mwanamke waliokuwa hospitalini walikatazwa kumuona mgonjwa aliyekuwa anaingia ni Josephat na ndugu yake anaitwa Mwinyi walimuamisha mochwari kutoka hospital alipofia (Hindu Mandal)na kumpeleka mochwari ya kazini kwao anapofanyia kazi ndugu wasiweze kupima mwili
View attachment 2860643
View attachment 2860644
Mtoto wa nyoka ni nyoka tu hakuna cha u-koplo wala u-igp, hata igp alianza kama koplo.Wanatishwa na Koplo!
Mshikaji anazidi kuondoka na kijiji...