Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

Bado nina hasira na hawa watu,jamaa wawili walikuwa na boda juzi nilikuwa nafanya mazoezi wakanichapa mgongoni na kitu nahisi ni waya au ubao,wakakimbia sijui lengo lao lilikuwa ni nini...
[emoji1][emoji1][emoji1] hujui ni wire au marine board [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Polisi hawana mamlaka ya kuhukumu nani ni muhalifu, polisi wanatuhumu tu, mahakama ndiyo inayohukumu.

Kauli hii ya Polisi imefanya makosa ya kutoa hukumu.

Tumeona mifano sehemu nyingi, mfano Amadou Diallo, muhamiaji aliyepigwa risasi na polisi New York City. Amadou Diallo alipigwa risasi akitoa wallet yake mfukoni, pilisi wakafikiri anataka kuwapiga risasi.

Sasa huko Tanzania ambako hakuna uwazi na ufuatikiaji, tutajua vipi wanachosema polisi ndiyo kweli na si cover up?

Ukiunga mkono Polisi kufanya hizi summary execution, jiulize kama tukiruhusu polisi kuua watu hivi, haitawezekana kwa raia wasio na hatia, hata wewe, kuuawa na polisi kwa kubambikiwa tu u panya road na watu wasiokupenda?
Shida ya Watanzania wengi zinaanzia kwenye mifumo yetu ya Elimu iliyopo, watu wengi uwezo wa kufikiri una walakini mkubwa.
Nimejaribu kueleza kwa uwazi kuhusu suala hili la Polisi kujichukulia Sheria mikononi kwenye Comment yangu #152, lakini naona watu bado Wana mtazamo hasi juu ya suala la Utawala wa Sheria. Big Chaos!
 
Lilikuwa likipambana na polisi tukalishinda, waapi.

Wakuu panya road ni hatari na siwatetei, lakini kuuana sio mchongo mtu anaweza kusingiziwa kwa uhasama akafa kwa jina la panya road.

Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo kuna mwamba alichomwa moto kwa kuitwa mwizi na dada wa duka la madawa, kuja kufuatilia kumbe ni mzazi mwenzie na kisa mwamba alioa mwanamke mwingine na kumuacha yeye singo mama, hivyo akawa hataki jamaa amuone hata mtoto,
hivyo jamaa alipomfuata kazini kwake ndio kuitiwa mwizi, na raia hawana dogo wakamtia moto. Ndugu wa marehemu walipokuja eneo la tukio ndio kuwafumbua watu macho kwamba yule singo mama na marehemu ni mtu na mzazi mwenzie.

# Isiyo kuwasha hujailamba mzee.
# Tuwe makini.
 
Vingunguti unayoisema wewe ya uwanja WA ndege kumejaa viwanda na sio makazi ya watu hao panya road wapo vingunguti nnyamani,spenkoni Hadi buguruni huku ndiko sehemu wazazi wanajisifu Kwa wizi wa watoto wao
Kwani wakati unakwenda Airport unakuwa unatokea wapi?? Nielewe hapo..!! Si kila anayekwenda airport atapita vingunguti na si wote wakiwa wanakwenda airport watapita Nyerere road..!! Hao hao Panya road hawatembei..!!??
 
Kwa taarifa hii ya Polisi, Je, wanatoa ujumbe gani kwa umma hususani kuhusiana na suala la utawala bora wa Sheria na Utii wa Sheria bila shuruti????

Kwa maoni yangu na kwa kuzingatia hali halisi iliyopo kuhusiana na tukio hili, naona yafaa Jeshi la Polisi lingekaa kimya kuhusu tukio hili. Lisingetoa taarifa kama hii ambayo ukiitathmini kwa kina ina walakini na ukakasi mwingi, naona kama inahamasisha Wananchi ili wajichukulie Sheria mikononi.


Hao vijana ni wauaji hatari sana Vingunguti, unauliza utawala bora kwa majambazi? Yaani unataka kusema unataka ku negotiate na majambazi? Hivi unacheza wewe na majambazi, polisi wamefanya kazi nzuri sana, dawa ya majambazi ni ku eliminate hakuna njia nyingine, anae ua kwa upanga atauawa kwa upanga, full stop.
 
Panya white
panya pori

Wazazi tuwe wakali pindi watoto wetu tunawaelekeza hawaelewi kwa midomo.
 
Saiz mmewapa licence police ya kuua,

Itakuwa wakiua mtu na kumbadilishia Jina, jambazi au panyaroad, raia wanashangilia 😀😀
 
Shida ya Watanzania wengi zinaanzia kwenye mifumo yetu ya Elimu iliyopo, watu wengi uwezo wa kufikiri una walakini mkubwa.
Nimejaribu kueleza kwa uwazi kuhusu suala hili la Polisi kujichukulia Sheria mikononi kwenye Comment yangu #152, lakini naona watu bado Wana mtazamo hasi juu ya suala la Utawala wa Sheria. Big Chaos!

Nilichogundua ni kwamba Watanzania wengi wanao support haya mambo wanapenda shortcuts za kijinga ambazo zinagharimu sana.

Wanapenda utawala wa kijeshi, summary executions, madereva wanaokimbiza mabasi etc.

Ukianza kuongea mambo ya due process, rule of law, democracy etc wanakushangaa na kukuona unachelewesha mambo.

Ndiyo maana hata viongozi wa kisiasa wanawachezea sana.
 
Epuken kukaa sehemu ambazo watu wameish apo zaid ya miaka arobain ata kutoka hajawah.
Sahihi kabisa.
Mara nyingi mambo haya hufanyika sehemu ambazo wakazi wameishi hapo miaka mingi,na hivo vijana huamini kuwa wao ndio wenyewe,hakuna mwingine.
Nimeishi Mbagala Charambe miaka ya 2000+, kulikuwa na ujinga huo sana.

Makundi kama mbwa mwitu,Jeshi la Anga, Milosis na makundi mengine mengi,huku kila kundi likiwa na sifa na tabia zake,yalisumbua sana.
Ukabaji,unyang'anyi wa waziwazi...ni mambo yaliyokuwa yanasumbua sana.

Mambo yalibadilika baada ya muingiliano wa watu walioanza kuishi maeneo yale
 
Hao vijana ni wauaji hatari sana Vingunguti, unauliza utawala bora kwa majambazi? Yaani unataka kusema unataka ku negotiate na majambazi? Hivi unacheza wewe na majambazi, polisi wamefanya kazi nzuri sana, dawa ya majambazi ni ku eliminate hakuna njia nyingine, anae ua kwa upanga atauawa kwa upanga, full stop.
Point muhimu ni kwamba Polisi hawatakiwi kuhukumu nani jambazi na nani si jambazi. Hawana mamlaka ya kusema nani muhalifu na nani si muhalifu.

Hata kuwaita hao watu Panya Road ni makosa, hao ni watuhumiwa bado. Mahakama ndiyo inatoa hukumu na kusema hao ni wahalifu au si wahalifu.

Hiyo ni kazi ya mahakama. Polisi wanatuhumu na kuiachia mahakama Ihukumu.

Sasa, Polisi wakimuua mtuhumiwa, tutajuaje huyo mtuhumiwa ni muhalifu kweli na polisi hawajamuua kimakosa?

Na hata kama ni muhalifu, uhalifu wake ni nini? Na hukumu ya huo uhalifu ni kifo? Na hata kama hukumu ni kifo, polisi ndio wanaotoa hukumu?

Tutajuaje kwamba polisi hawajaua kimakosa watu wasio na hatia (au hata wenye hatia isiyostahiki kifo) na kufanya cover up?
 
Nilichogundua ni kwamba Watanzania wengi wanao support haya mambo wanapenda shortcuts za kijinga ambazo zinagharimu sana.

Wanapenda utawala wa kijeshi, summary executions, madereva wanaokimbiza mabasi etc.

Ukianza kuongea mambo ya due process, rule of law, democracy etc wanakushangaa na kukuona unachelewesha mambo.

Ndiyo maana hata viongozi wa kisiasa wanawachezea sana.
Point muhimu ni kwamba Polisi hawatakiwi kuhukumu nani jambazi na nani si jambazi. Hawana mamlaka ya kusema nani muhalifu na nani si muhalifu.

Hata kuwaita hao watu Panya Road ni makosa, hao ni watuhumiwa bado. Mahakama ndiyo inatoa hukumu na kusema hao ni wahalifu au si wahalifu.

Hiyo ni kazi ya mahakama. Polisi wanatuhumu na kuiachia mahakama Ihukumu.

Sasa, Polisi wakimuua mtuhumiwa, tutajuaje huyo mtuhumiwa ni muhalifu kweli na polisi hawajamuua kimakosa?

Na hata kama ni muhalifu, uhalifu wake ni nini? Na hukumu ya huo uhalifu ni kifo? Na hata kama hukumu ni kifo, polisi ndio wanaotoa hukumu?

Tutajuaje kwamba polisi hawajaua kimakosa watu wasio na hatia (au hata wenye hatia isiyostahiki kifo) na kufanya cover up?
Kuna shida kubwa mahali Fulani kwa wa-Tanzania wengi kuhusu suala zima la kujitambua na elimu ya Utawala Bora wa Sheria.
Msimamo wangu bado uko pale pale kwamba Polisi wasiwe wanajichukulia Sheria Mikononi mwao kwa "kutoa Hukumu za Kifo" kwa watu wanaowatuhumu kuhusika na tuhuma mbalimbali. Je, Mahakama sasa zipo kwa ajili gani???Kuna haja gani basi kuendelea kuwa na Mahakama ktk nchi hii ya Tz???
Endapo kama kweli Polisi wa Tanzania kweli wako serious na wanawachukia wahalifu wa tuhuma za mauaji, Je, kwa nini wasingeanza kuwaua kwa kuwapiga risasi wale Askari Polisi watuhumiwa wa mauaji ya yule Mfanyabiashara kijana wa Madini kule Mtwara?????Wangeanza kumpiga risasi yule Askari Polisi aitwaye Kalanje na washirika wake wengine ambao wanakabiliwa na Kesi ya Mauaji ya Mfanyabiashara wa madini kule Mtwara, tungewaona kweli Jeshi la Polisi wako serious na hawataki Double Standards.

Polisi daima wanatakiwa wakumbuke kwamva "Charity Begins At Home."
Either, "Good for the Jews is Good for the Gunners, and Bad for the Jews is Bad for the Gunners."
 
Hao vijana ni wauaji hatari sana Vingunguti, unauliza utawala bora kwa majambazi? Yaani unataka kusema unataka ku negotiate na majambazi? Hivi unacheza wewe na majambazi, polisi wamefanya kazi nzuri sana, dawa ya majambazi ni ku eliminate hakuna njia nyingine, anae ua kwa upanga atauawa kwa upanga, full stop.
Je, Nani kathibitisha kwamba hao watu kweli ni majambazi??
Rejea kusoma Comment yangu #152.
 
Vinginguti na buguruni nimaeneo ya kufanywa operation moja kubwa itakayoacha historia
 
Back
Top Bottom