Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
Kama ni panya road wamestahili walichokipata,mambo ya utawala bora yaishie huko hukoKwa taarifa hii ya Polisi, Je, wanatoa ujumbe gani kwa umma hususani kuhusiana na suala la utawala bora wa Sheria na Utii wa Sheria bila shuruti????
Kwa maoni yangu na kwa kuzingatia hali halisi iliyopo kuhusiana na tukio hili, naona yafaa Jeshi la Polisi lingekaa kimya kuhusu tukio hili. Lisingetoa taarifa kama hii ambayo ukiitathmini kwa kina ina walakini na ukakasi mwingi, naona kama inahamasisha Wananchi ili wajichukulie Sheria mikononi.
Wangekamatwa wakalime huko jela sio kuua hovyo. Hawa polisi wamepewa mamlaka ya kuua ndo maana wakikuta na vimilioni vyako unakula chuma utasikia tulikua tunamkamata akatuponyoka!Ngoja niwape hii,. Ukiona mtu ana aka flani hivi ya ajabu ajabu mara nabii mwitu,mara ninja la chuma mara nyingi wana asilimia 70 za uhalifu cc, Paka mwitu
Kama kweli ni panya road nawapongeza jeshi la polisi na kuhimiza wananchi wenzangu kuendelea kujichukulia sheria mkononi kukabiliana na wahalifu wa aina yoyote ile.Kwa taarifa hii ya Polisi, Je, wanatoa ujumbe gani kwa umma hususani kuhusiana na suala la utawala bora wa Sheria na Utii wa Sheria bila shuruti????
Kwa maoni yangu na kwa kuzingatia hali halisi iliyopo kuhusiana na tukio hili, naona yafaa Jeshi la Polisi lingekaa kimya kuhusu tukio hili. Lisingetoa taarifa kama hii ambayo ukiitathmini kwa kina ina walakini na ukakasi mwingi, naona kama inahamasisha Wananchi ili wajichukulie Sheria mikononi.
Kwa kiasi Fulani, Kuna chembechembe Fulani za ukweli kwenye hii hoja yako. Kuna jamaa mmoja ana jina la utani (a.k.a) la "Mkata Umeme," nilipojaribu kuchimbua kiini cha huyo mtu kuitwa kwa jina hilo, nikagundua "mambo mazito sana" juu ya jina lake hili.Ngoja niwape hii,. Ukiona mtu ana aka flani hivi ya ajabu ajabu mara nabii mwitu,mara ninja la chuma mara nyingi wana asilimia 70 za uhalifu cc, Paka mwitu
"Kama ni" hiyo kama ni anaithibitisha nani!?Kama ni panya road wamestahili walichokipata,mambo ya utawala yaishie huko huko
Kwa taarifa hii ya Polisi, Je, wanatoa ujumbe gani kwa umma hususani kuhusiana na suala la utawala bora wa Sheria na Utii wa Sheria bila shuruti????
Kwa maoni yangu na kwa kuzingatia hali halisi iliyopo kuhusiana na tukio hili, naona yafaa Jeshi la Polisi lingekaa kimya kuhusu tukio hili. Lisingetoa taarifa kama hii ambayo ukiitathmini kwa kina ina walakini na ukakasi mwingi, naona kama inahamasisha Wananchi ili wajichukulie Sheria mikononi.
Mtoto wako/ndugu yako akiwa mhalifu utakubali apigwe chuma? Au ushabiki maandazi.Kama kweli ni panya road nawapongeza jeshi la polisi na kuhimiza wananchi wenzangu kuendelea kujichukulia sheria mkononi kukabiliana na wahalifu wa aina yoyote ile.
Umekula chakula Cha mchana kweli?Kwa taarifa hii ya Polisi, Je, wanatoa ujumbe gani kwa umma hususani kuhusiana na suala la utawala bora wa Sheria na Utii wa Sheria bila shuruti????
Kwa maoni yangu na kwa kuzingatia hali halisi iliyopo kuhusiana na tukio hili, naona yafaa Jeshi la Polisi lingekaa kimya kuhusu tukio hili. Lisingetoa taarifa kama hii ambayo ukiitathmini kwa kina ina walakini na ukakasi mwingi, naona kama inahamasisha Wananchi ili wajichukulie Sheria mikononi.
Nilileta uzi huku juzi kwa namna ambavyo jeshi letu linafanya kazi bila weledi, yaani watu wanamapanga nyie mnawapiga risasi.Kutokana na Mazingira ya tukio lenyewe pamoja na shuhuda ambazo tayari zimetolewa hadi leo hii kuhusiana na tukio hili, haikufaa tena kwa Jeshi la Polisi kutoa taarifa kama hii waliyotoa, ambayo inakinzana na matakwa ya Sheria za nchi hususani suala zima la Utawala Bora wa Sheria. Polisi walipaswa kukaa kimya bila kusema kitu kingine chochote kile zaidi ya shuhuda ambazo tayari zimetolewa na Wananchi wahanga.
Sio mtoto wangu tu, hata mzazi wangu kama ni muhalifu anapaswa kupigwa chuma. Wao wakija kukuibia wanatumia sheria ipi?? au unakaza fuvu tu madam??Mtoto wako/ndugu yako akiwa mhalifu utakubali apigwe chuma? Au ushabiki maandazi.
Wahalifu washungulikiwe kwa mujibu wa sheria sio kuwajaza hao polisi kichwa waanze kuua watu hovyo! THIS IS NOT A POLICE STATE. Ni nchi ina sheria zake sema ujinga ujinga umetujaa wabongo
Siku wakikuweka mtu kati hao viumbe ndio utajua ni" inamaanisha nini"Kama ni" hiyo kama ni anaithibitisha nani!?
Nature ya Jeshi letu la Police wakija kukukamata ukiwa na silaha yoyote hata jiwe tu, wanakuua kwanza.Mtoto wako/ndugu yako akiwa mhalifu utakubali apigwe chuma? Au ushabiki maandazi.
Wahalifu washungulikiwe kwa mujibu wa sheria sio kuwajaza hao polisi kichwa waanze kuua watu hovyo! THIS IS NOT A POLICE STATE. Ni nchi ina sheria zake sema ujinga ujinga umetujaa wabongo
Ndio hivyo, hata wangekuwa na Mawe tu au fimbo bado wangeuliwa tuKwa hiyo polisi haiwezi kukamata mhalifu bila kuua? Yaani vijana sita wenye mapanga imekua tabu kukamata au hawataki mambo za mahakamani! Very sad kuambiwa tu fulani panya road just like that afu unakula chuma!
Kwa ishu kama hizi polisi hawakosei. Hao hata kama walikamatwa kama kuku chuma lazima wangekula kama polisi Ina uhakika wa matukio Yao. Bila kufanya hivyo vibaka wataendelea kuwasumbua sanaKwa hiyo polisi haiwezi kukamata mhalifu bila kuua? Yaani vijana sita wenye mapanga imekua tabu kukamata au hawataki mambo za mahakamani! Very sad kuambiwa tu fulani panya road just like that afu unakula chuma!
Tumuombee apigwe tukio atakuja kufuta ujinga anaoandika hapaSio mtoto wangu tu, hata mzazi wangu kama ni muhalifu anapaswa kupigwa chuma. Wao wakija kukuibia wanatumia sheria ipi?? au unakaza fuvu tu madam??
Hii sio sawa hao polisi siku wakikukuta kona wakasema wewe ni paka road nani atathibitisha ukweli... Japokua uhalifu unakera tusikubali mtego wa kukubali polisi kuua watu. Kutakua na mazishi kila siku.Sio mtoto wangu tu, hata mzazi wangu kama ni muhalifu anapaswa kupigwa chuma. Wao wakija kukuibia wanatumia sheria ipi?? au unakaza fuvu tu madam??
VizuriHii sio sawa hao polisi siku wakikukuta kona wakasema wewe ni paka road nani atathibitisha ukweli... Japokua uhalifu unakera tusikubali mtego wa kukubali polisi kuua watu. Kutakua na mazishi kila siku.
Uporaji hata mbele upo na watu wanapelekwa mahakamani. Chuma ni pale ambapo hao panya wana silaha (kupambana) sasa hii chuma ya bongo inaonekana polisi hawataki kashikashi za mahakamani so wanatumia shortcut.
N.b siwezi kupendekeza mwanangu mhalifu apigwe risasi ila ashungulikiwe aende jela huko anaweza kutoka huko akawa mtu mzuri.
Which is wrong in my opinion.Ndio hivyo, hata wangekuwa na Mawe tu au fimbo bado wangeuliwa tu