Polisi wa Tanzania chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan

Polisi wa Tanzania chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1628903151802.png
 
Kuàndamana si kosa inawapasaje kifo? Nyie watu hivi mmezaliwa na wanawake Kama sisi
Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.

Then unaingia road,kwanini wasikuue tu kiishe?
Maana kichwani hakuna kitu,ni empty. Yaani unaenda kuwajambisha polisi?
Nisiwepo aisee,mi nacheza na magoti,kifua na kichwa,nakuachia ulemavu wa kudumu,maumivu ya kudumu au nakupa makao mampya. Nukta.
 
Back
Top Bottom