Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitumwa kuandamana!!Embu fikilia ndio mwanao anakanyagwa hvyo daaah
Kama ndo waliokua wanajifanya kuandamana,waue kabisa.
Sijui ni ibilisi sijui ni elimu ndogo au nikuiteje labda nikuulize ijumaa unaswali au jumapili na jumamosi unasali?Kama ndo waliokua wanajifanya kuandamana,waue kabisa.
Kuandamana ni dhambi? Unajua Katiba inasemaje? Poor TanzaniansWalitumwa kuandamana!!
Hayo ndiyo malipo.
Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.Kuàndamana si kosa inawapasaje kifo? Nyie watu hivi mmezaliwa na wanawake Kama sisi
Siyo kila kilichoandikwa kwenye katiba ni cha kuzingatia. Na akili yako itumike.Kuandamana ni dhambi? Unajua Katiba inasemaje? Poor Tanzanians
Hivi Katiba ya nchi hii pia inaelekeza kilicho Dhambi na ambacho si Dhambi?Kuandamana ni dhambi? Unajua Katiba inasemaje? Poor Tanzanians
UmeshindaHivi Katiba ya nchi hii pia inaelekeza kilicho Dhambi na ambacho si Dhambi?
Kwa kifungu kipi
Kwahio kwakua wanaua ndio justification yako hii? Au ndio nyie mkibanwa mnasema tulitumwa na Mamlaka za juu? Wacha nitumie akili yanguSiyo kila kilichoandikwa kwenye katiba ni cha kuzingatia. Na akili yako itumike.
Biblia inakataza kuua,watu hawaui!?
Inakataza kuzini,watu hatuzini?
Tumia akili wewe!!
Ngoja mimi nikubali kuwa ni 'stupid'. Ila jua tu,siku ukijaa kwenye 18 utaona mambo yakibadilika kwa wema wake.Kwahio kwakua wanaua ndio justification yako hii? Au ndio nyie mkibanwa mnasema tulitumwa na Mamlaka za juu? Wacha nitumie akili yangu
View attachment 1891571
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
Yes, wacha niwe mpumbavu nibaki na upumbavu wangu na wewe baki na ujuaji wako. Tusi-complicate mamboHata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
Mithali 17:28
Uwe na siku njema.Yes, wacha niwe mpumbavu nibaki na upumbavu wangu na wewe baki na ujuaji wako. Tusi-complicate mambo
BarikiwaUwe na siku njema.
Ubarikiwe zaidiBarikiwa