nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Tatizo mnakalili maandiko ni wapi katiba imesema mtu akijisikia kuandamana aandamane tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia kwa Mara ya mwisho, naongea kiswahili, Maandamano hayahitaji ruhusa, maandamano ni haki yako kikatiba ila kutokana na ushenzi wa serikali yako na CCM njaa ndio mnajifanya miungu watu. Endelea kutokwa povu tu! KaribuSasa kama hayajitaji ruhusa nenda kaandamane aachiwe basi.
Unajua usijione uko sahihi kwa maneno yasiyo na vitendo juha na mjuaji unadhani utajiweka pembeni kwa lipi?
Nakuapi bora ya juha umdhaniaye kuliko wewe mbafiki usiye na msaada kwa unayesema anaonewa
Unanini cha kumsaidia zaidi ya umalaya tu humu unaoleta?
Wewe unareference yoyote au kifungu kinachompa uhalali wa kuandamana au unaleta upepo tu kwa kuwa unabando?
Endeleeni kuwa kichwa ngumu,mziki wake mtauona. Lisu akiwaambia ingieni road,we toka.Jinga kabisa. Huyo mzazi wako amepata hasara kukuzaa
Si utuwekee hicho kifungu hapa kinachotuzuwia kufika mahakamaniTatizo mnakalili maandiko ni wapi katiba imesema mtu akijisikia kuandamana aandamane tu?
Sijajua hata umri wako au huenda nabishana na MTU asiyejua kitu au anayejua ila anafanya makusudi, tufanye umeshinda!Tatizo mnakalili maandiko ni wapi katiba imesema mtu akijisikia kuandamana aandamane tu?
Endeleeni kuwa kichwa ngumu,mziki wake mtauona. Lisu akiwaambia ingieni road,we toka.
Sawa Mkuu.Wewe nibwege tu, don't fool the rest with nonsense arguments
Pohamba umrjidhalilisha kusapoti comment ya kijima kama hii.Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.
Then unaingia road,kwanini wasikuue tu kiishe?
Maana kichwani hakuna kitu,ni empty. Yaani unaenda kuwajambisha polisi?
Nisiwepo aisee,mi nacheza na magoti,kifua na kichwa,nakuachia ulemavu wa kudumu,maumivu ya kudumu au nakupa makao mampya. Nukta.
Kosa lake ndiyo sababu ya yeye kua alipo. Hapo huelewi nini.
By the way huna hoja. Naona ushapanic. Kuwa na Sabato njema.
Hivi kama siyo ujinga tu wa kushadadia mambo,huyu mtu kakanyagwa kweli?Samia muuaji kama anaruhusu askali wanaficha nyuso wanavulembaa vya alquida na mibunduki ya kivita anaruhusu askari ananyonga mwananchi kwa boot kumkanyaga shingoni hafai anapaswa aondoke sasa maana punde nchi imeshaingia kwenye lindi la famu tukatae hii kabisa
Kama maandamano ni ruksa na njia yenu halali ya kudai haki nendeni kituo cha polisi mkaandamane aachiwe.Narudia kwa Mara ya mwisho, naongea kiswahili, Maandamano hayahitaji ruhusa, maandamano ni haki yako kikatiba ila kutokana na ushenzi wa serikali yako na CCM njaa ndio mnajifanya miungu watu. Endelea kutokwa povu tu! Karibu
Jibu la mjinga ni kukaa kimya.Kosa la mtu, huongozwa na sheria. Sheria sio mtazamo. Ni taaluma na sheria zimetungwa na bunge zipo.
...
Weka kifungu kitakachothibitisha kosa lake.
Nenda kajoji polisi wakupe hicho kifungu na sheria na utakuwa umeutetea umma.Kosa la mtu, huongozwa na sheria. Sheria sio mtazamo. Ni taaluma na sheria zimetungwa na bunge zipo.
...
Weka kifungu kitakachothibitisha kosa lake.
Endeleeni kuwa kichwa ngumu,mziki wake mtauona. Lisu akiwaambia ingieni road,we toka.
Hujitambuwi tangu ulivyozalishiwa watoto na wachina hujitambui mwehu mkubwa unanuka miguuHivi kama siyo ujinga tu wa kushadadia mambo,huyu mtu kakanyagwa kweli?
Sijui kwanini mko hivyo!!View attachment 1891653
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]relax. Punguza stress. Maisha ni hayahaya mdogo wangu.Hujitambuwi tangu ulivyozalishiwa watoto na wachina hujitambui mwehu mkubwa unanuka miguu