Polisi wa Tanzania chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan

Polisi wa Tanzania chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan

Watanzania wengi bado elimu haijawakomboa,wanaona huko alichofanyiwa jamaa ni sahihi kabisa kisa kaandamana,sijui shule walienda somea ujinga,mswahili anamtesa mswahili mwenzake ambae kesho watakutana,sokoni,ndani ya daladala,msibani,harusini,na kwingineko,Mimi wakati nasoma chuo Cha ualimu Fulani,tuligombana na kiranja wa chakula akaninyima msosi,nikamaindi Sana ,baada ya kumalizia na kubadilisha field kwa hasira,one day,tukakutana akaja kwa uncle wangu mmoja tandika kaletwa na dalali anataka chumba.mamaeeee,nilikwambia uncle usimpe chumba huyo jambazi.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Ubaya Ubaya tu mamaeee[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Hiyo ni roho mbaya yako tu. Watu tumeumbiwa na kutakiwa kusamehe.
Kuhusu huyo bwana,hapo yupo kwenye mikono salama.

Hajakanyagwa kama watu walivyotaka kutuaminisha.
Ukiangalia vizuri mguu wa mwenye truck nyekundu upo chini jamaa kaulalia.
Huyo mwingine mguu kakanya spear tairi.
Na hiyo picha naitafuta full nitaituma hapa,uone ni jinsi gani watu wanalipuka bila kuelewa. Wengine mapo ya kuchamua picha ni taaluma zetu.
Crop_1628919409115.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama hajakanyagwa, kinachosikitisha ni kuwa udhalilishaji huo anafanyiwa na Polisi ambaye ni Mtanzania mwenzie na wala sio Gestapo!
 
Tutabakia hivyo hivyo, mkikosa haki zenu za msingi mnakuja nyuma ya keyboard mnapiga makelele, mkiambiwa twendeni oo walitumwa kuandamana, kwakweli hatujitambui.
Ondoa stress zako hapa bana. We anamana peke yako,kwani mpaka utuburute na sisi?
 
Ondoa stress zako hapa bana. We anamana peke yako,kwani mpaka utuburute na sisi?
Mimi na stress gani ndugu? nachokisema nafikiri hujanielewa mimi nawashangaa watanzania wanao kaa nyuma badala ya kukubali kujitokeza kama wewe unavyomlaumu huyo kwanini aliandamana hapo ndipo tunapo feli nakubakia kushangilia ya wenzetu.
 
Mimi na stress gani ndugu? nachokisema nafikiri hujanielewa mimi nawashangaa watanzania wanao kaa nyuma badala ya kukubali kujitokeza kama wewe unavyomlaumu huyo kwanini aliandamana hapo ndipo tunapo feli nakubakia kushangilia ya wenzetu.
Nimekusoma now kwa nguvu ya 5.
 
Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.

Then unaingia road,kwanini wasikuue tu kiishe?
Maana kichwani hakuna kitu,ni empty. Yaani unaenda kuwajambisha polisi?
Nisiwepo aisee,mi nacheza na magoti,kifua na kichwa,nakuachia ulemavu wa kudumu,maumivu ya kudumu au nakupa makao mampya. Nukta.
Yaani kudadeki nikikukuta ktk anga zangu nitakufanyia kitu mbaya sana hutaamini.Usione Wananchi wakimwona Askari kapata ajari hawamsaidii,wanamwacha afe ni kwasababu ya upuuzi huu.
 
Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.

Then unaingia road,kwanini wasikuue tu kiishe?
Maana kichwani hakuna kitu,ni empty. Yaani unaenda kuwajambisha polisi?
Nisiwepo aisee,mi nacheza na magoti,kifua na kichwa,nakuachia ulemavu wa kudumu,maumivu ya kudumu au nakupa makao mampya. Nukta.
Baada ya kutenda hayo,unafaidika nini?
 
Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.

Then unaingia road,kwanini wasikuue tu kiishe?
Maana kichwani hakuna kitu,ni empty. Yaani unaenda kuwajambisha polisi?
Nisiwepo aisee,mi nacheza na magoti,kifua na kichwa,nakuachia ulemavu wa kudumu,maumivu ya kudumu au nakupa makao mampya. Nukta.
😂😂😂
Mm nngekuwa polisi yana hawa waandamanaji uchwara wangekoma mana kila siku Wakija wanakutana na style mpya ya kipigo
 
Yaani kudadeki nikikukuta ktk anga zangu nitakufanyia kitu mbaya sana hutaamini.Usione Wananchi wakimwona Askari kapata ajari hawamsaidii,wanamwacha afe ni kwasababu ya upuuzi huu.
Acha mikwara kwa mtu mzima ww
 
Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.

Then unaingia road,kwanini wasikuue tu kiishe?
Maana kichwani hakuna kitu,ni empty. Yaani unaenda kuwajambisha polisi?
Nisiwepo aisee,mi nacheza na magoti,kifua na kichwa,nakuachia ulemavu wa kudumu,maumivu ya kudumu au nakupa makao mampya. Nukta.
Babu swala pale syo mambo ya kuandamana
 
Back
Top Bottom