Polisi wa Tanzania chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan

Polisi wa Tanzania chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan

Sijui ni ibilisi sijui ni elimu ndogo au nikuiteje labda nikuulize ijumaa unaswali au jumapili na jumamosi unasali?
Kusali au kutokusali kunahusiana nini na kuandamana?

Nyie mnasali ndiyo wanafiki na washenzi mnaoharibu jamii za kiafrika kwa kuiga mila zisizo zenu.

Tafuta asili yako na mila zake ukiwa huru utajielewa
 
Usijione bora, kwasababu tu kichwani umejaza ujinga. Ukidhani upo salama

Haki yao ipo ndani ya katiba.

Mwenzako musiba unaelewa ujinga unahasara zake.

Watch your back
Katiba ipi sasa?
Hiyo mpya mnayoitaka au hii msiyoitambua!?
 
Kama ndivyo hujuwi lolote, unamtuhumu kufanya kosa kwa msingi upi iwapo hata katiba hujuwi ninini
Umeambiwa usiandamane,ukakaidi,hayo ndiyo malipo. Na hapo huo mguu ulitakiwa kukanyaga koromeo. Japo hapo inaonekana kijana kalalia mguu ila mmeshadadia kanakwamba kakanyagwa.
 
Umeambiwa usiandamane,ukakaidi,hayo ndiyo malipo. Na hapo huo mguu ulitakiwa kukanyaga koromeo. Japo hapo inaonekana kijana kalalia mguu ila mmeshadadia kanakwamba kakanyagwa.
Unareference yoyote au kifungu cha sheria kuonesha uhalifu wa huyo mtanzania?
 
Ungesema tu chini ya chama tawala....hawajawahi kubadilika hawa watu, ni kwa kila mtawala aliyepita, wako hivyo.
 
Unareference yoyote au kifungu cha sheria kuonesha uhalifu wa huyo mtanzania?
Ukinipa sababu za kuwa hapo alipo,utakua umejijibu mwenyewe swali lako.

So,fikiri tena.
Alipaa tu akajikuta ka angukia pale?
Alifuatwa na polisi nyumbani kwao?
Aliomba lifti?
Alikua kituoni?
Alikua anaumwa ndo anapewa huduma ya kwanza?

Ukipata majibu kata kiu na pespsi.
 
Maandamano hayahitaji ruhusa acha ujuha na kujitia ujuaji wewe mburula. Duh sorry Leo ni Sabato kumbe
Sasa kama hayajitaji ruhusa nenda kaandamane aachiwe basi.

Unajua usijione uko sahihi kwa maneno yasiyo na vitendo juha na mjuaji unadhani utajiweka pembeni kwa lipi?
Nakuapi bora ya juha umdhaniaye kuliko wewe mbafiki usiye na msaada kwa unayesema anaonewa

Unanini cha kumsaidia zaidi ya umalaya tu humu unaoleta?
 
Ukinipa sababu za kuwa hapo alipo,utakua umejijibu mwenyewe swali lako.

So,fikiri tena.
Alipaa tu akajikuta ka angukia pale?
Alifuatwa na polisi nyumbani kwao?
Aliomba lifti?
Alikua kituoni?
Alikua anaumwa ndo anapewa huduma ya kwanza?

Ukipata majibu kata kiu na pespsi.

Acha upumbavu wewe haupo kufanya spinning hapa.

Kosa lake nini ...mjinga wewe huelewi swali. Thibitisha kosa lake kisheria

Unareference yoyote au kifungu cha sheria kuonesha uhalifu wa huyo mtanzania?
 
Kumbuka unapokwenda kuandamana pasina kufuata sheria wale walio waagiza wako mstar wa mbele ??? Msilaumu mamlaka ziliko Bali jilaumu wew na akili yako.

Mnashindwa simamia akili zenu mnashikiwa alafu mkibutuliwa mnalialia tu
 
Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.

Then unaingia road,kwanini wasikuue tu kiishe?
Maana kichwani hakuna kitu,ni empty. Yaani unaenda kuwajambisha polisi?
Nisiwepo aisee,mi nacheza na magoti,kifua na kichwa,nakuachia ulemavu wa kudumu,maumivu ya kudumu au nakupa makao mampya. Nukta.
Jinga kabisa. Huyo mzazi wako amepata hasara kukuzaa
 
Acha upumbavu wewe haupo kufanya spinning hapa.

Kosa lake nini ...mjinga wewe huelewi swali. Thibitisha kosa lake kisheria

Unareference yoyote au kifungu cha sheria kuonesha uhalifu wa huyo mtanzania?
Kosa lake ndiyo sababu ya yeye kua alipo. Hapo huelewi nini.
By the way huna hoja. Naona ushapanic. Kuwa na Sabato njema.
 
Back
Top Bottom