Polisi wa Tanzania chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan

Kuàndamana si kosa inawapasaje kifo? Nyie watu hivi mmezaliwa na wanawake Kama sisi
Tena mama ndo alonikanya nisifuate mkumbo. Yaani wewe unaambiwa ingia barabarani na Lisu,yupo Ubelgiji,Lema,yupo Canada,Maria Sarungi yupo sijui wapi.

Then unaingia road,kwanini wasikuue tu kiishe?
Maana kichwani hakuna kitu,ni empty. Yaani unaenda kuwajambisha polisi?
Nisiwepo aisee,mi nacheza na magoti,kifua na kichwa,nakuachia ulemavu wa kudumu,maumivu ya kudumu au nakupa makao mampya. Nukta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…