Polisi wabadili gia angani, Wanadai hawajui alipo Mfanyakazi wa LHRC Tito Magoti

Waandishi wa habari mnashindwa wapi?
Aliyesema Magoti yuko mikono salama kwani anaishi mbinguni? Kwanini muende Kinondoni badala ya kumganda Mambosasa aseme Magoti yuko wapi au kituo kipi? Kwanini mnazunguka zunguka?
 
Nyaraka gani hizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameshampa kipigo cha mbwa koko, Magoti yuko mahututi, Polisi wanaogopa kumtoa hadharani...
 
Tanzania,Tanzania,Tanzania mpaka lini haya mambo?
 

Una akili sana..
 
Really? Wabongo kwa kupenda uongo. Yani maoni yako unataka kubadili ni kweli!
Mkuu, jifunze kuandika kiswahili, unatakiwa ufahamu huo ndio ukweli katika nchi yetu..

Ukisikia mtu anahojiwa ujue anakula KICHAPO , Ukisikia mtu ana fanyiwa INTERROGATION ujue ana fanyiwa TORTURE

We are animals, that's what we are,...
 
Waandishi wa habari mnashindwa wapi?
Aliyesema Magoti yuko mikono salama kwani anaishi mbinguni? Kwanini muende Kinondoni badala ya kumganda Mambosasa aseme Magoti yuko wapi au kituo kipi? Kwanini mnazunguka zunguka?

Waandishi wa bahasha, utashangaa wamesikiliza halafu hakuna swali.
 
msipende kuzua taharuki za kishamba, mamboleo kasema alikamatiwa kinondoni na sio polisi wa kinondoni waliomkamata tatizo nini?
 
It might be katika kumtesa aseme wanayotaka kuyasikia amekufa sasa inabidi watafute namna ya kujinasua!
 
Swali la kujiuliza kabla ya kuanza kumlaumu nani au yupi kafanya nini ni hili "Kwanini waandishi wa habari wamemuuliza swali mtu mwingine ambaye hakuhusika na taarifa za kukamatwa kwa mhusika?
Nashauri kabla ya kuanza kulaumu yeyote,ni vema LHRC/mwajili wa mhusika kwa pamoja na ndugu wa familia wakafuatulia taarifa rasmi kwa mhusika aliyetoa taarifa za awali kuwa wanamshikilia mhusika anayedaiwa kupotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…