PyeeeeeAtapatikana tu ipo siku isiyo na jina ili ajieleze kuhusu matusi yake na bullying alizowafanyia watu mbalimbali kibaya zaidi kavuka kiwango na kuwatukana mpaka viongozi na records zoote zipo. Kwa Marekani huo ni uhalifu na wala haiko kwenye haki za binadamu kutukana wengine na kuwadharirisha, asidhani atapata kinga yoyote na ukichukulia yeye ni mhamiaji aliyegeuka mhalifu...tusubirini kitakachotokea...Taratibu hii itafika mpaka Interpol....
Kwa taarifa yako kila Taasisi ya umma, asasi za jamii Mange ana informer wa kudumu. Looser ni wewe usiyeijua nchi yakoNi loser........hana lolote....habari zenyewe huwa anatumiwa na maloser wenzake.....haeleweki anasimamia upande upi.... wakati wa uchaguzi alimtetea sana rais.... alimpa kila sifa...nadhani alijua JPM akiingia akiwa rais atapata chochote.......alimtukana lowasa na upinzani matusi yeyote....alimdhalilidha kwa style zote.....leo mange huyo huyo kageuka.....kama unavyosema akiwa na chuki na mtu.....mhh....huyo wema anayejifanya mdogo wake anafanya laana zote lakini hajawahi msema vibaya hata cku moja.....wanaomuunga mkono huwa ni maloser wenzake wasiojitambua kama yeye
1. Hakuna siku haina jinaAtapatikana tu ipo siku isiyo na jina ili ajieleze kuhusu matusi yake na bullying alizowafanyia watu mbalimbali kibaya zaidi kavuka kiwango na kuwatukana mpaka viongozi na records zoote zipo. Kwa Marekani huo ni uhalifu na wala haiko kwenye haki za binadamu kutukana wengine na kuwadharirisha, asidhani atapata kinga yoyote na ukichukulia yeye ni mhamiaji aliyegeuka mhalifu...tusubirini kitakachotokea...Taratibu hii itafika mpaka Interpol....
Naona Bashite or Makonda wherever anasoma namba kwa herufi kubwa.Alipo makonda lazima mapigo ya moyo yashuke huku Kimambi kule Gwajima hapa wazalendo wa jf
Ukiona Mpaka unafanya kitu illegal na ukafanikiwa usijione ww ni mjanja ujue wale wenye kazi ya kuzuia hyo illegal hawajaamua kudeal na ww na siku wakiamua kudeal na ww hata huyo anayekupatia hyo illegal hato pata nafasi ya kufanya hvyo asijulikane kwani ww unadhani serikali ikiamua kumtafuta huyo mtumishi anayemtumia hzoUnawajua wanaompasia hizo nyeti za ndani ya Serikali yako? Hao hao watamtengenezea passport nyingine na kuituma kwake kirahisi sana.
"The Home of Great Thinkers"
Kibaya zaidi watakapompa asylum kwa upuuzi wa wachache akina Bashite kuwekwa bayana basi Tz itakuwa kwenye ramani ileee sawa na jirani zetu.U know hii ishu ya Mange even USA gvt wanaijua so wako alert na wanajua kunawwza kuwa na jaribio la.kumdhuru so tz haiwezi kuwa wapumbavu na kujaribu kufanya kitu kwenyw ardhi ya USA itakuwa ni act of war between countries ....are u ready for that??? Mwenyewe alisema maofisa wa tz walienda us embay kuomba wakabidhiwe mange but Wakatimuliwa .....so they have to wait mpk arudi
Kwa nini zinahesabika? USA siyo rahisi,Nyumba kubwa kunavuja kuna leakage mahali.... Muundo wetu wa habari za siri sio air tight mark tena! Kuna mianya
Mange amekuwa the first to know figure kwenye mambo mengi sana... Ni nani anampenyezea habari nyeti kabisa? Za watu binafsi na hata nyumba kuu? Au ni wale wanajeshi mashushushu waliokuja na Obama Kisha tukawakabidhi paa letu ili waangalie usalama?
Mange amekuwa snowden wa Tanzania.. Lakini sijui Kama kwa hali ilivyo atavumiliwa sana....namkumbuka Ben pekeyake na chatu
Leo kwa habari za chini ya zulia ilitoka hati ya kumkamata pengine huko aliko lakini akainyaka kabla haijamfikia rasmi... Kama kawaida yake kawafungukia mbaya
Namkumbuka Karegeya wa Rwanda na kilichompata hotelini South Africa peke yake chumbani
Siyo uongo, ni wengi tu.haaaa tupo wengi ambao tunamfatilia wallah...
Nahisi kuna vigogo serikalini nao huwa wanafanya kurefresh page yake
Ufalme wa Mbaba umefitinika!1. Hakuna siku haina jina
2. Kati ya wanaomtafuta Mange wapo wanaomlinda palepale.
3. Siyo kila aliye kwenye taasisi za umma anafurahia usenge unaofanywa na akina Bashite & co.
Mkwara wa kitoto sana, followers wake wengine wanamtukana anaishia kuwa block tu na picha zipo insta mbona haja fanya hivyo?Nakuonea huruma na unatumia verified user name, Mange akikupa kombola moja tu utakimbia mitandaoni kama si kujinyonga maana hadi mke na wazazi,majirani watakuona kituko...
Mfano aweke picha yako kwamba umeliwa tigo , hata ukikana tayari ameshakuchafua coz wengi wataamini na wachache hawataamini
Anakwambia kitu hapendi ni wanae kumwambia twende bongo for leaveKwa upande wa US ni ngumu sana kumfanyia umafia,labda wamtege siku akitua nchini ndio wanaweza kumnyonga hadharani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Lazima ajing'ate ulimiNaona Bashite or Makonda wherever anasoma namba kwa herufi kubwa.
Haaaa haaa haaaa huu mchezo hauhitaji hasira.
Apo watatafutana, watatumbuana kujua mchawi ni nani aliyevujisha...
Kwanza kwa watoto wale aliozaa na rais wa US c ajabu na yeye ni raia wao so wakimgusa lazima moto utawaka. Si mnajua vile nchi za wenzetu zinavyojali sana raia wake