PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Amechukua mtoto wa watu, huyo ni mtekaji tayarihakuwa mwizi, ni ishu ya mgogoro wa familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amechukua mtoto wa watu, huyo ni mtekaji tayarihakuwa mwizi, ni ishu ya mgogoro wa familia
Sana.Amekufa kipumbavu!
Nguvu uhitajika kwenye kufanya kosa la kihalifu tu, lakini kwenye jambo la kheri, upendo tu unatosha. Kulikuwa na ulazima gani kwenda kufanya fujo kwa watu? Na hadi kuteka mtoto dah!Ijumaa iliyopita Rafiki yangu wa karibu mkoani Mara ,wilaya ya Tarime alikwenda nyumbani Kwa wazazi wa mke wake.Alienda huko kushawishi mke wake arudi nyumbani kutokana na mgogoro wao wa muda mrefu, lakini kukatokea ma kutoelewana na wenyeji wake wakiwemo wazazi na mashemeji kuhusuana na hilo.Mke wake huyo alikuwa yupo hapo Kwa muda mrefu tu kutokana na migogoro yao, so kutokana na Hilo akataka arudishiwe mahari au aondoke na mkewe wakaendelee na maisha.
Basi yakatokea mabishano pale, Kwa kuwa imeshindikana kupewa mke , jamaa akataka apewe mtoto wake lakini nalo likashindikana..ilikuwa. Mzozo mkubwa pale, jamaa mwisho wa siku akachachamaa anataka mtoto, ndugu za mke wakawa hawataki, tena mtoto yule akafungiwa chumbani
Jamaa akaamua kubeba mtoto yeyote aliyekuwa pale ambaye siyo Mwanae akaondoka naye akawaambia hatotoa mtoto Hadi apewe mtoto wake.
Basi jamaa akampeleka yule mtoto Kwa dada yake, alafu yeye akaenda kwake .
Huku Nyumba ndugu wa Ile familia ya mwanamke wakaenda kuripoti polisi kwamba mtoto wao ametekwa na mwizi wa watoto.
Lakini pia mashemeji na ndugu wakavamia nyumbani Kwa yule rafiki wakimfosi atoe mtoto, , jamaa naye akagoma akidai mtoto wake kwanza Ndo wapewe mtoto wao..mara polisi nao wakatia timu wakijua kweli ni mwizi wa watoto wakaanza kumshambuli jamaa Kwa mapanga, ndugu na mashemeji nao wakaanza kumshambulia jamaa pia, ila jamaa alikuwa amejipanga naye akapamba nao Hadi kumjerui polisi mmoja, na mke wake ambaye naye alikuwa eneo la tukio naye alichezea mapanga kadhaa. Basi jamaa alibaki peke yake ndani ya kundi la mapolisi na ndugu wa mke, wakamshambulia Hadi kufa..
Hadi Sasa polisi na mke bado wapo hospitali wamelazwa Kwa matibabu
Yaani Polisi nao wakashiriki kumshambulia huyo jamaa mpaka kumuua?....hata hao hawaitii Sheria?Ijumaa iliyopita Rafiki yangu wa karibu mkoani Mara ,wilaya ya Tarime alikwenda nyumbani Kwa wazazi wa mke wake.Alienda huko kushawishi mke wake arudi nyumbani kutokana na mgogoro wao wa muda mrefu, lakini kukatokea ma kutoelewana na wenyeji wake wakiwemo wazazi na mashemeji kuhusuana na hilo.Mke wake huyo alikuwa yupo hapo Kwa muda mrefu tu kutokana na migogoro yao, so kutokana na Hilo akataka arudishiwe mahari au aondoke na mkewe wakaendelee na maisha.
Basi yakatokea mabishano pale, Kwa kuwa imeshindikana kupewa mke , jamaa akataka apewe mtoto wake lakini nalo likashindikana..ilikuwa. Mzozo mkubwa pale, jamaa mwisho wa siku akachachamaa anataka mtoto, ndugu za mke wakawa hawataki, tena mtoto yule akafungiwa chumbani
Jamaa akaamua kubeba mtoto yeyote aliyekuwa pale ambaye siyo Mwanae akaondoka naye akawaambia hatotoa mtoto Hadi apewe mtoto wake.
Basi jamaa akampeleka yule mtoto Kwa dada yake, alafu yeye akaenda kwake .
Huku Nyumba ndugu wa Ile familia ya mwanamke wakaenda kuripoti polisi kwamba mtoto wao ametekwa na mwizi wa watoto.
Lakini pia mashemeji na ndugu wakavamia nyumbani Kwa yule rafiki wakimfosi atoe mtoto, , jamaa naye akagoma akidai mtoto wake kwanza Ndo wapewe mtoto wao..mara polisi nao wakatia timu wakijua kweli ni mwizi wa watoto wakaanza kumshambuli jamaa Kwa mapanga, ndugu na mashemeji nao wakaanza kumshambulia jamaa pia, ila jamaa alikuwa amejipanga naye akapamba nao Hadi kumjerui polisi mmoja, na mke wake ambaye naye alikuwa eneo la tukio naye alichezea mapanga kadhaa. Basi jamaa alibaki peke yake ndani ya kundi la mapolisi na ndugu wa mke, wakamshambulia Hadi kufa..
Hadi Sasa polisi na mke bado wapo hospitali wamelazwa Kwa matibabu
Igeuze hivi:Huyo mtoto ni WA mashemeji zake ambazo nao walikuwa wanampinga
Huyo jamaa sio weak. Huyo jamaa alikosa akili.Kichwa cha chini again, only weak men died for pussy
Mkuu, mahari inadaiwa wapiKwa maelezo hayo ulivyoandika kama ni kweli, Itoshe tu kusema huyo jamaa yako alikua ni mwehu..
Huwezi kubeba tu mtoto wa mtu eti kisa umenyimwa mtoto wako, alafu ana uhakika gani kama huyo mtoto ni WA kwake, pili anaendaje ukweni kudai mahali?
Huyo jamaa yako ilitakiwa apambane na huyo mwanamke sio familia yake
Hahaha, inachekesha na kusikitisha simultaneously.Katika vulumai Hilo mwanamke ametobolewa jicho na mkono mmoja kukatwakatwa
Hapo hakuna chuki. Bali ni kuwa unprofessional. Obviously hawakujua cha kufanya juu ya situation kama hiyo au jinsi ya kudeal na mtuhumiwa aggressive zaidi ya kupigana mapanga.Polisi wajitafakari, hizi chuki wanazotengeneza zikiendelea baina yao na raia kuna siku raia watakosa uvumilivu halafu waanze kutafutana.
1.Kwanza kwanini polisi watumie panga kama majambaziPolisi wajitafakari, hizi chuki wanazotengeneza zikiendelea baina yao na raia kuna siku raia watakosa uvumilivu halafu waanze kutafutana.
Jamaa ako alikuwa na ubabe wa kipuuzi,Huyo mtoto ni WA mashemeji zake ambazo nao walikuwa wanampinga
Arudishiwe mahali? Wanaume wa mikoani mkoje? Anyway siungi mkono mtu kuuawa lakini hizi tabia ni ukorofi na kuhendekeza njaa.kutokana na migogoro yao, so kutokana na Hilo akataka arudishiwe mahari au aondoke na mkewe wakaendelee na maisha.