Polisi wadaiwa kushambulia na kusababisha kifo Tarime

Polisi wadaiwa kushambulia na kusababisha kifo Tarime

Mimi nimedhurumiwa mtoto na mke nimenyanyang'wa na maahari nililipa yote bila kudaiwa hata senti kumi. Huwa nawaza kufata mwanangu lakini nafsi hugoma kabisa. Sasa ana miaka saba. Huwa wazo linanijia kuwa kama wameweza kunidhurumu vyote hivo watashindwa kunipigia nduru kwa majilani zao kuwa mm mtejaji wa watoto! Kwa kweli kuna jamii sio za kuoa kabisa. Na nasikia michezo yao ni binti anaolewa analipiwa mahari then anaharibu maksudi anachika na kuolewa tena na kulipiwa mahari nyingine.

Nimeamua nimwachie mola. Nilikuwa nimemfungukia mtoto bima ya afya toka akiwa mdogo ila kwa kuwa sasa ana miaka saba ninampango wa kuifunga rasmi ili sasa nao wapambane kivyao.

Kwa jinsi dunia ilivyobadilika ni bora kusamehe na kuanza upya kuliko kujifanya ninauchungu sn na mwanangu alafu yanikute ya huyo jamaa yako

Pole kwa kumpoteza rafiki. Amekufa akiwa anapambania haki yake. Wanaodhihaki ni vile hayawakuta
 
Mambo mengine ni akili sio nguvu.

Hivi unaenda kuleta noma ukweni, ugenini ambako una uhasama nao na wako wengi na unatumia nguvu na sio busara..

Hilo la polisi umelichomekea ili jamaa yako aonekane ni msafi ila jamaa yako ndo alikua na shida upstairs.

Hata hiyo story pamoja na kuivuta saaaana upande wa rafiki yako bado rafiki yako hakujali usalama wake kabisa, sijui wewe ulikua wapi kumahauri.
Jamaa anadai mkewe aende nae utasema ni mbuzi yake.
Wakati mwanamke amekwishasema hataki.

Kaanza kudai mahari, anadai mahari hali ya kuwa kamtumia mwanamke na kamzalisha.

Kakosa mahari kachukua mtoto wa mtu kama mfugo kupeleka anapokujua.

Matatizo ya Afya ya akili yapo.
 
Jamaa anadai mkewe aende nae utasema ni mbuzi yake.
Wakati mwanamke amekwishasema hataki.

Kaanza kudai mahari, anadai mahari hali ya kuwa kamtumia mwanamke na kamzalisha.

Kakosa mahari kachukua mtoto wa mtu kama mfugo kupeleka anapokujua.

Matatizo ya Afya ya akili yapo.
Kwa lugha aliyoitumia huyo bwana kuandika ni kama rafikiye kaonewa ila ukiangalia ni kama jamaa hakufikiri ama lah hakua na ufahamu wake (labda alitumia kilevi).
 
Mi ninachoweza kushauri nyie vijana wa Tarime, acheni utemi usio kuwa na faida, dunia imebadilika, watu hivi sasa hawaogopi mapanga.

Mkoa wa Mara mna ka proud flani utasikia kijana anasema "mimi ndio mkurya".

Bro hizo zilipendwa, hivi sasa ukizingua watu wana deal na wewe perpendicular.
Baadhi ya wakurya wana ubabe wa kipumbavu. Yaani unamlazimisha mwanamke Urudi nae nyumbani, amekuwa ng'ombe.
 
Wewe bado ni mshamba.
Utalazimisha vipi mwanamke? Kasema hataki utalazimisha? Huo si uanaume ni u$enge na utaahira.

Nitolee upuuzi wako.
Sheria za kuvunja ndoa zipo wazi Kwa Mwanamke:
1. Ndoa inahatarisha maisha yake.
2.hapati tendo la ndoa
3.Hapati huduma za msingi.

Hayo yote yanatakiwa yathibitike mahakamani na sio wewe kuamua tu kwenda kujikalia nyumbani ,wakati huo huo wazazai wako ndio mahakimu na watetezi wako, it's not fair....Ingekuwa kienyeji hivyo watu wasingeenda mahakamani kudai talaka
 
Sheria za kuvunja ndoa zipo wazi Kwa Mwanamke:
1. Ndoa inahatarisha maisha yake.
2.hapati tendo la ndoa
3.Hapati huduma za msingi.

Hayo yote yanatakiwa yathibitike mahakamani na sio wewe kuamua tu kwenda kujikalia nyumbani ,wakati huo huo wazazai wako ndio mahakimu na watetezi wako, it's not fair....Ingekuwa kienyeji hivyo watu wasingeenda mahakamani kudai talaka
Sasa hapa si mahakamani, ingepaswa na huyo mwanamke atoe maelezo kwanini hataki kurudi kwa jamaa. Lazima usikilize pande zote.

Hata kama hakuwa na sababu, hakupaswa kulazimishwa kurudi nyumbani.
 
Sasa hapa si mahakamani, ingepaswa na huyo mwanamke atoe maelezo kwanini hataki kurudi kwa jamaa. Lazima usikilize pande zote.

Hata kama hakuwa na sababu, hakupaswa kulazimishwa kurudi nyumbani.
Yeye mwanamke Ndo alitakiwa akavunje ndoa mahakamani ili akakae home kihalali, Mahakama ikiona mwanamke hana sababu za msingi kisheria, inakataa ndoa kuvunjwa, ikiona ni sawa inavunja..Huwezi kukaa home kienyeji. KwanzA wewe unaonekana mwanamke wa kizaramu Ndo mana mnaachana kifala na ndio mana wengi wenu ni masingo Maza
 
Back
Top Bottom