Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄Kwa maelezo hayo ulivyoandika kama ni kweli, Itoshe tu kusema huyo jamaa yako alikua ni mwehu..
Huwezi kubeba tu mtoto wa mtu eti kisa umenyimwa mtoto wako, alafu ana uhakika gani kama huyo mtoto ni WA kwake, pili anaendaje ukweni kudai mahali?
Huyo jamaa yako ilitakiwa apambane na huyo mwanamke sio familia yake
Marehemu alikua mchokozi! Alikufa ila alikufa kwa mbindeIjumaa iliyopita Rafiki yangu wa karibu mkoani Mara, wilaya ya Tarime alikwenda nyumbani Kwa wazazi wa mke wake. Alienda huko kushawishi mke wake arudi nyumbani kutokana na mgogoro wao wa muda mrefu, lakini kukatokea na kutoelewana na wenyeji wake wakiwemo wazazi na mashemeji kuhusiana na hilo. Mke wake huyo alikuwa yupo hapo kwa muda mrefu tu kutokana na migogoro yao, so kutokana na hilo akataka arudishiwe mahari au aondoke na mkewe wakaendelee na maisha.
Basi yakatokea mabishano pale, kwa kuwa imeshindikana kupewa mke , jamaa akataka apewe mtoto wake lakini nalo likashindikana, ilikuwa Mzozo mkubwa pale, jamaa mwisho wa siku akachachamaa anataka mtoto, ndugu wa mke wakawa hawataki, tena mtoto yule akafungiwa chumbani
Jamaa akaamua kubeba mtoto yeyote aliyekuwa pale ambaye siyo Mwanae akaondoka naye akawaambia hatotoa mtoto hadi apewe mtoto wake.
Basi jamaa akampeleka yule mtoto kwa dada yake, halafu yeye akaenda kwake .
Huku Nyuma ndugu wa ile familia ya mwanamke wakaenda kuripoti polisi kwamba mtoto wao ametekwa na mwizi wa watoto.
Lakini pia mashemeji na ndugu wakavamia nyumbani kwa yule rafiki wakimfosi atoe mtoto, jamaa naye akagoma akidai mtoto wake kwanza ndo wapewe mtoto wao. Mara polisi nao wakatia timu wakijua kweli ni mwizi wa watoto wakaanza kumshambulia jamaa kwa mapanga, ndugu na mashemeji nao wakaanza kumshambulia jamaa pia, ila jamaa alikuwa amejipanga naye akapamba nao hadi kumjeruhi polisi mmoja, na mke wake ambaye naye alikuwa eneo la tukio naye alichezea mapanga kadhaa. Basi jamaa alibaki peke yake ndani ya kundi la mapolisi na ndugu wa mke, wakamshambulia hadi kufa.
Hadi Sasa polisi na mke bado wapo hospitali wamelazwa kwa matibabu
hao wakurya sio watu. tulimuozesha mmoja binti yetu akawa kutwa vipigo binti akaona ya nini akakimbia na mtoto akarudi arusha. mpaka leo wajomba tunalea mtoto.Mi ninachoweza kushauri nyie vijana wa Tarime, acheni utemi usio kuwa na faida, dunia imebadilika, watu hivi sasa hawaogopi mapanga.
Mkoa wa Mara mna ka proud flani utasikia kijana anasema "mimi ndio mkurya".
Bro hizo zilipendwa, hivi sasa ukizingua watu wana deal na wewe perpendicular.
Ndio maana nimesema dhamira na sio sheria, elewa maudhui, hiyo ni karma ndugu yangu, kwakuwa wanajua chanzo kilicho pelekea hali hiyo mioyo yao haitokuwa na amani kamwe, watajijibu wenyewe kama walikuwa na sababu za msingi kumzuia mtoto wake au ni hasira , na kama walikuwa na sababu za msingi kumkatalia mke au ni nguvu ya ndugu wa mke , na waweza kukuta mke alikuwa radhi kurudi lakini ndugu wakakataa na akabebwa na nguvu ya ndugu kukubali hiloDuamira n jambo jingine. Je angekiwa ni mtoto wake anatekwa na shemeji yako kwa ajili ya maugomvi yao ungechukua hatua gani?
japo simpendi nyerere bora alivyowapunguza nguvu hawa watu jeshini. wangekuja kutusumbua siku mojaAngefuata taratibu...ila jamii za Mara hususani wazazi wa wanawake wanaopenda sana kung'ang'ania watoto bila sababu za msingi na kuwafanya watoto waishi maisha magumu.
Kumbe wewe ulikuwepo eneo la tukio? 😅😅😅😅Acha ubishi, ni mapanga , Sio risasi , mi Ndo najua
Acha ubishi, haukuwepo eneo la tukio
Ujinga wake umemponza ,mfano mm mtot wangu aje achukuliwe na mtu ambaye sio Babake aondoke naye kinguvu na mm siusiki na ujinga wake yy na mke wake ,si atapata anachotaka??hakuwa mwizi, ni ishu ya mgogoro wa familia
Utakuwa huwafahamu vizuri polisi wa nchi hii. Hao jamaa mara kibao tu tumesikia wakihusika kuwateka, kuwaua na kuwapora fedha wafanyabiashara.Mtoa mada alijua akirembesha kwa kutaja polisi na mwanamke basi atapata uungwaji mkono naona ngoma ishamgeukia hii, hao polisi wa kutumia mapanga itakuwa mgambo tu,
Nawajua ila sio kwenye mapanga, halafu huoni marehemu alikuwa anahatarisha usalama wa raia au?Utakuwa huwafahamu vizuri polisi wa nchi hii. Hao jamaa mara kibao tu tumesikia wakihusika kuwateka, kuwaua na kuwapora fedha wafanyabiashara.
Kuna majambazi kibao tu humo wamejichanganya na kujificha kwenye gwanda, bora hata mgambo hutekeleza amri na maelekezo ya hao polisi.
Umefafanua vema kabisa.Ndio maana nimesema dhamira na sio sheria, elewa maudhui, hiyo ni karma ndugu yangu, kwakuwa wanajua chanzo kilicho pelekea hali hiyo mioyo yao haitokuwa na amani kamwe, watajijibu wenyewe kama walikuwa na sababu za msingi kumzuia mtoto wake au ni hasira , na kama walikuwa na sababu za msingi kumkatalia mke au ni nguvu ya ndugu wa mke , na waweza kukuta mke alikuwa radhi kurudi lakini ndugu wakakataa na akabebwa na nguvu ya ndugu kukubali hilo
Katika hii dunia epuka kuwa chanzo cha kutoa uhai wa mwingine tena kwa sababu za kutunga, walikuwa wanajua sababu za huyo jamaa kubeba huyo mtoto na hajambeba kifichoni kwa mujibu wa maelezo,sasa walikuwa na sababu gani kuripoti polisi kwamba jamaa ni mtekaji wa watoto?walishindwa nini kueleza polisi ukweli halisi Wakati wanaujua ukweli wa tukio zima?
Kama hujui kuwa wanaweza kutumia silaha yoyote basi bado hujawafahamu.Nawajua ila sio kwenye mapanga, halafu huoni marehemu alikuwa anahatarisha usalama wa raia au?
We unaongea ujinga usieleweka.Kama hujui kuwa wanaweza kutumia silaha yoyote basi bado hujawafahamu.
Ni kweli alikuwa anahatarisha usalama, ila ni upungufu wa akili na weledi polisi kukosa kabisa mbinu za kumpunguza makali na kumtia pingu apelekwe kwenye vyombo vya sheria, badala yake kumcharanga mapanga hadi kummaliza kabisa!
Tatizo lao wamewekeza nguvu nyingi kupambana na wapinzani ambao huwa hawana hata wembe wala hawarushi hata kofi, matokeo yake kutokana kukosa mbinu wakikutana na mtu ana silaha hata wawe wengi kama utitiri solution yao itakuwa kuhakikisha wanamuua kwanza ndipo wamdhibiti akiwa ni no more. Lakini pia wanakosa busara katika utatuzi wa migogoro na kuishia kutumia miguvu tu. Ikitumika akili nyingi nguvu kidogo au zero kabisa) migogoro ya namna hiyo huwa ni rahisi tu kuuimaliza, hata mimi ningeumaliza mgogoro huo kwa amani kabisa, na watu wangecheka, wangepeana mikono, na maisha yangeendelea bila damu kumwagika wala kutoboana macho.
We ni mjinga.Yeye mwanamke Ndo alitakiwa akavunje ndoa mahakamani ili akakae home kihalali, Mahakama ikiona mwanamke hana sababu za msingi kisheria, inakataa ndoa kuvunjwa, ikiona ni sawa inavunja..Huwezi kukaa home kienyeji. KwanzA wewe unaonekana mwanamke wa kizaramu Ndo mana mnaachana kifala na ndio mana wengi wenu ni masingo Maza
Kwahiyo wewe bwana mwerevu akili yako kubwa ikiwaza na kuwazua inaishia kupata kuwa solution ni kumcharanga mapanga hadi kumuua? Kama walipata upenyo wa kumcharanga mapanga walishindwa vipi kumkamata akiwa hai akatibiwe then awajibishwe kisheria?We unaongea ujinga usieleweka.
Huyo jamaa alitaka kuleta utemi, inawezekana alishidndwa kutii amri alikuwa ameshika panga, inawezekana aliambiwa aweke panga chini akakaidi, watu wa Tarime kwa ugomvi wa mapanga ndio zao.
Hata askari wa US , ukiambiwa , weka mikono dirishani na utoke nje halafu ukaleta ukaidi wa kipuuzi eti sitaki unapeleka mikono mifukoni, risasi zinakuhusu.
Wangetumia mbinu ipi kumkamata hebu elezea we unaye elewa njia za kumkamata muhalifu aliye na silaha.Kwahiyo wewe bwana mwerevu akili yako kubwa ikiwaza na kuwazua inaishia kupata kuwa solution ni kumcharanga mapanga hadi kumuua? Kama walipata upenyo wa kumcharanga mapanga walishindwa vipi kumkamata akiwa hai akatibiwe then awajibishwe kisheria?
Kwanza lini polisi wameanza kutumia panga kudili na wahalifu? Wangemuua kwa risasi wakasema alikaidi amri at least tungeelewa japo kwa kufosi.
Huu utaratibu wa kutumia mapanga ukihalalishwa kwa wapinzani si tutawazika wengi
Huyo jamaa yako alikuwa na kaujinga flaniIjumaa iliyopita Rafiki yangu wa karibu mkoani Mara, wilaya ya Tarime alikwenda nyumbani Kwa wazazi wa mke wake. Alienda huko kushawishi mke wake arudi nyumbani kutokana na mgogoro wao wa muda mrefu, lakini kukatokea na kutoelewana na wenyeji wake wakiwemo wazazi na mashemeji kuhusiana na hilo. Mke wake huyo alikuwa yupo hapo kwa muda mrefu tu kutokana na migogoro yao, so kutokana na hilo akataka arudishiwe mahari au aondoke na mkewe wakaendelee na maisha.
Basi yakatokea mabishano pale, kwa kuwa imeshindikana kupewa mke , jamaa akataka apewe mtoto wake lakini nalo likashindikana, ilikuwa Mzozo mkubwa pale, jamaa mwisho wa siku akachachamaa anataka mtoto, ndugu wa mke wakawa hawataki, tena mtoto yule akafungiwa chumbani
Jamaa akaamua kubeba mtoto yeyote aliyekuwa pale ambaye siyo Mwanae akaondoka naye akawaambia hatotoa mtoto hadi apewe mtoto wake.
Basi jamaa akampeleka yule mtoto kwa dada yake, halafu yeye akaenda kwake .
Huku Nyuma ndugu wa ile familia ya mwanamke wakaenda kuripoti polisi kwamba mtoto wao ametekwa na mwizi wa watoto.
Lakini pia mashemeji na ndugu wakavamia nyumbani kwa yule rafiki wakimfosi atoe mtoto, jamaa naye akagoma akidai mtoto wake kwanza ndo wapewe mtoto wao. Mara polisi nao wakatia timu wakijua kweli ni mwizi wa watoto wakaanza kumshambulia jamaa kwa mapanga, ndugu na mashemeji nao wakaanza kumshambulia jamaa pia, ila jamaa alikuwa amejipanga naye akapamba nao hadi kumjeruhi polisi mmoja, na mke wake ambaye naye alikuwa eneo la tukio naye alichezea mapanga kadhaa. Basi jamaa alibaki peke yake ndani ya kundi la mapolisi na ndugu wa mke, wakamshambulia hadi kufa.
Hadi Sasa polisi na mke bado wapo hospitali wamelazwa kwa matibabu
Ungesoma vizuri ungeelewa walichotakiwa kufanya, ila kwakuwa una hasira kali ndo maana unaishia kuita watu kuwa ni wajinga kwakuwa tu umetofautiana nao kimitazamo.Wangetumia mbinu ipi kumkamata hebu elezea we unaye elewa njia za kumkamata muhalifu aliye na silaha.