Polisi wadaiwa kushambulia na kusababisha kifo Tarime

Huko mahala hiyo migororo ya familia ipo mingi sana kiasi cha kufika mahala pa kuuana kabisa na imekuwa kama aina ya maisha yao hasa kwenye swala la kupigana na silaha za jadi. Nafikiri kuna haja ya kuongezwa juhudi ktk kuelimisha jamii za huko sana.
 
Afya ya akili mkuu ??? Mimi mwanamke amelud kwao poa nenda na watoto Kama unaacha utajua mwenyew kwanza Nina uhakika Gani kuwa hao watoto ni wangu??

Halaf mke nimeishi nae hata Kama ni miaka miwili naendaje kudai mahari??

Kwanza Mimi akiondoka kulud kwao sipigi simu Wala kumfuata Hadi wazazi wake wanipigie simu kuwa familia Yako IPO huku na hatuelewi yaan waniite niende tuongeee

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa yako alikuwa hana busara. Mimi kuna familia nimeacha watoto watatu na nimetoa mahari, walileta huo upumbavu wa kukatalia baadaya marumbano nikwaacha, na huduma nikawa simpi mwanamke, ila nikukutana na mtoto nawapa hela maana wapo karibu na kila siku nawaona. Sasa hivi wamejifunza mpaka wanawaruhusu mpaka kuja nyumbani maana zamani ilikuwa noma wanawakatalia mpaka watoroke, mtoto mkubwa Ana miaka 11, wapili 8 na wa mwisho 4. So jamaa yako angeachana naye tu.
 
Siwezi kugombea mtoto,kama wamechukua poa,ntafta mwingine...mbegu si zipo.
 
Tz kuna Ujinga uliopitiliza!
 
Kuna channel YouTube ya police activity ya marekani asee huwa naogopa maana polisi wa us kauli ni moja tu,,,show me your hand do not reach,,,akisema hivo na ukajifanya kujikuna umeisha unapigwa ya kichwa na habari unaishia hapo.
 
Kuna channel YouTube ya police activity ya marekani asee huwa naogopa maana polisi wa us kauli ni moja tu,,,show me your hand do not reach,,,akisema hivo na ukajifanya kujikuna umeisha unapigwa ya kichwa na habari inaishia hapo.
 
Kuna channel YouTube ya police activity ya marekani asee huwa naogopa maana polisi wa us kauli ni moja tu,,,show me your hand do not reach,,,akisema hivo na ukajifanya kujikuna umeisha unapigwa ya kichwa na habari inaishia hapo.
US raia wengi hadi watoto wadogo wana silaha, kuna cases nyingi za askari kushambuliwa na kujeruhiwa ama kuuawa, hivyo huwa wanakuwa makini sana, ukijikuna tu na assume upo na silaha na ni hatari hivyo hachelewi kukushambulia.
 
Katika vulumai Hilo mwanamke ametobolewa jicho na mkono mmoja kukatwakatwa
Kwa hiyo jamaa katika watu wote alimlenga zaidi mkewe?? Halafu umetwambia jamaa alikuwa mpole sana
 
Itoshe kusema mwendazake alikuwa mjeuri na asiyeambilika, kwanza unaendaje kwenye mada ya kifamilia kama hiyo ukweni ukiwa peke yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…