Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ameshatafakari....Kwako ni ujinga lakini unatakiwa utafakari sana , ndio utajua namaanisha nini . Ukija kichwa kichwa huwezi pata kitu hapa
Kina machafuko gani aliyoyaleta mbowe? Mbowe amefanya press conference ngapi? Umeshasikia press ya machafuko au ni hadithi za ngoswe mnazo waza nyie?Kwa hiyo ukimjua wewe Basi wengine HATUMJUI ? [emoji44]
Kuna uhusiano mkubwa kwa CHOKOCHOKO za Mbowe kutaka KUITIA NCHI katika matatizo huku yeye AKIKIMBILIA ughaibuni katika vitega uchumi vyake....hakuwepo nchini kipindi cha kuulalamikia UTAWALA WA AWAMU YA 5....
(Thesis + Anti-Thesis=Synthesis).
Akienda UGHAIBUNI ,hatomuacha Tandale mwanaye YEYOTE....atabaki Sosopi na Sakala Mdude Nyagali....
Usiniletee uyezebeli wako na huyo yezebeli wenu.Matusi kawaida yenu....
Mlimtukana sana Hayati JPM...
Mh.Rais SSH amejiandaa nayo....
Aendelee tu kuushughulikia UJINGA WENU.....
Huwezi elewa mambo haya pasipo maarifa kichwani mwako, Mungu wa chadema na mbowe ni mkubwa sana . Hakuna asie jua , kama unataka mfahamu wait you shall see!Ameshatafakari....
Ila....
Hujamjibu.....
Je MUNGU yupi huyo anayempigania MBOWE?!!
Mungu yupi huyo?!!!
Mnamuingiza MUNGU katika siasa zenu KOKO NA ZA KISAKALA?!!!
CHADEMA si wastaarabu....Kina machafuko gani aliyoyaleta mbowe? Mbowe amefanya press conference ngapi? Umeshasikia press ya machafuko au ni hadithi za ngoswe mnazo waza nyie?
Sijasikia mchafuko yoyote after all chadema niwastaarabu sana na Wasomi pia.
Hii pumba hata nguruwe hawaitaki!Chadema watafute njia nyingine ya kukitangaza chama chao kupitia sera nzuri, na ilani yenye matumaini ya kweli kwa watanzania. Hii style ya kupimishana ubavu na serikali na baadae wao ndio wanaokimbilia mitandaoni kulalamika haitowasaidia kitu kama ilivyoshindwa kuwasaidia miaka zaidi ya mi5 iliyopita. Hakuna chama makini kinachovuna wanachama wapya kwa kupitia malalamiko na kelele za mitandaoni, watanzania wa sasa wako makini sana hawapumbazwi na malalamiko yasiokuwa na msingi, wao wanataka kuona maendeleo ya kweli kupitia vyama vya siasa, bunge na serikali.
Yezebeli mama yako mzazi.....Usiniletee uyezebeli wako na huyo yezebeli wenu.
Hata Jpm aliapa kuufikisha huo mzigo wenu pendwa lakini Akafika yeye kabla ya huo mzigo.Nitaendelea kuisifu na kuipamba CCM kwa kuwa hakuna MBADALA WA AMANI ,UTULIVU NA USALAMA...HAKUNA....
Hiyo siku USEMAYO wala haipo...ipo mawazoni mwako tu...haipo kwa kweli....
Ni bora PUNDA AFE ,MZIGO UFIKE....
Mh.Rais SSH ameapa KUUFIKISHA MZIGO wa kuilinda katiba yenye KIPAUMBELE cha amani KWANZA ,utulivu KWANZA ,Usalama KWANZA....
Hakuna kurudi nyuma....
#KaziIendelee
Kama umejitolea hivyo, wewe c mjinga. Ni mpumbavuKama kuunga mkono chadema hii hii nayoifahamu ni uelevu basi bora niwe mjinga isee!
Unaongea kama mtoto vile....Hata Jpm aliapa kuufikisha huo mzigo wenu pendwa lakini Akafika yeye kabla ya huo mzigo.
Mungu hakai wala hapendezwi na wanafiki .
Nyie MATAGA mna matatizo sana vichwani mwenu, huyo mnae mwita mama yenu sisi ndio mabosi zake ( wananchi wa jamri ya muungano wa Tanzania) huo umama ni nyumbani kwake.CHADEMA si wastaarabu....
Kupitia PLATFORM zao waliridhia TUNDU LISSU amtukane na kumkashifu sana hayati JPM...hatujasahau MANDWANYE ninyi.....
Kupitia PLATFORM zao ,waliridhia hobobo sakala Mdude Nyagali amshambulie mh.Rais SSH kwa kusema "atautumia WEMBE aliomnyolea hayati JPM....hatujasahau....alikwenda mbali kwa kutuambia kuwa sisi UVCCM tumuambie "mama yetu" kuwa HAMUOGOPI....hatujasahau MANDWANYE ninyi......
#KaziIendelee
Kapigane na Babako kwanza.Wazo langu hii nchi Bora tupigane tu
Huna kumbukumbu kwa alichosema Sakala MDUDE....Nyie MATAGA mna matatizo sana vichwani mwenu, huyo mnae mwita mama yenu sisi ndio mabosi zake ( wananchi wa jamri ya muungano wa Tanzania) huo umama ni nyumbani kwake.
Raisi lazima akosolewe kama anakosea , arekebishwe kama haendi sawah, raisi sio Mungu wa mbinguni kuwa hawezi kukosolewa.
Ndio maana ameamua kuwachagua wapinzani katika nyazifa za serikali Nyie Mataga mmeachwa kwassbabu hamna Akili simple yani. Hamjawahi kujiuliza hili?
Uvccm na Mataga wote ni bumbunda tu hata raisi wenu anajua hilo? Badilikeni?
Zwazwa hilo....Kapigane na Babako kwanza.
Tanzania kuna watu au mizoga?kama mtu anapandishiwa mafuta, sukari, tozo za simu, lakini yupo yupo tu anakwambia "hayo yana mwisho" tunamuachia Mungu" wala hata kupaza sauti hakuna, watanzania makini ni kama 20%tu watafanya nini?!!bunge lipi la kuleta maendeleo?Chadema watafute njia nyingine ya kukitangaza chama chao kupitia sera nzuri, na ilani yenye matumaini ya kweli kwa watanzania. Hii style ya kupimishana ubavu na serikali na baadae wao ndio wanaokimbilia mitandaoni kulalamika haitowasaidia kitu kama ilivyoshindwa kuwasaidia miaka zaidi ya mi5 iliyopita. Hakuna chama makini kinachovuna wanachama wapya kwa kupitia malalamiko na kelele za mitandaoni, watanzania wa sasa wako makini sana hawapumbazwi na malalamiko yasiokuwa na msingi, wao wanataka kuona maendeleo ya kweli kupitia vyama vya siasa, bunge na serikali.
MakubwaHii ndio Taarifa ya sasa tuliyopenyezewa na watu wazalendo kutoka ndani ya jeshi Polisi Tanzania .
Lakini tunaendelea kusisitiza kwamba Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu
View attachment 1862707
View attachment 1862761
Kwani huyo Jpm wenu alikuta nchi ipo kama somali au Ethiopia? Amekuta na ameiharibu simple and clear.Unaongea kama mtoto vile....
Kumbe huujui MZIGO eee?!!
Nakupeleka NURSERY....haya angalia mbele....angalia huku MBELE UBAONI....
MZIGO ni NCHI YA TANZANIA IKIWA NA USALAMA ,UTULIVU NA AMANI....
Hayati JPM hakutuachia Tanzania yenye kufanana na VURUGU ZA AFRIKA YA KUSINI wala ETHIOPIA....
Masikio "MASITO" ,macho YAKO nayo yana UKUNGU ?!!!
MUNGU hayupo mfukoni kwako ama kule UANI KWENU UFIPA kwenye kile kijisehemu kidogo chenye JOTO NA HEWA NZITO....
#KifoSiAdhabu
#HatuogopiKifoKuilindaTanzania
#AmaniKwanza
#UchumiKwanza
#KaziIendelee
Mpumbafu ni ww na wenzio mnaocheza ngoma msiyoijua!? Ni maboya flani hivi ambao hufuata nyuma kama koti kwa lolote pungu mwenzenu Mbowe akiibuka nalo!Kama umejitolea hivyo, wewe c mjinga. Ni mpumbavu
Yaani huna mfano unaoelekea hadi ukatafuta huo mbovvu wa Kenya?halafu kesho tunashangaa kwann kenya inatuzidi kila sekta kwny biashara na uchumi, huku sisi ni kukimbizana na wapinzani ambao wanatishia madaraka tu ya kundi fulani la jamii, na wapinzani hao wapo kikatiba.
kama hatutaki wapinzani, tubadili tu katiba tuwe chama kimoja, tuachane na siasa