Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

Huna kumbukumbu kwa alichosema Sakala MDUDE....

Narudia tena....alisema "huyo mama yenu"...hujui ,hukumbuki ama pang'ang'a tu ?!!!
Mama yenu nyie Mataga sio mama yangu . Mimi ni na mama yangu, sihitaji mama mwingine.

Mataga hamjawahi kuwa na Akili since the beginning tambueni kuwa Raisi ameshajua hilo. Hata nyie mnajijua kwanzia Mwenyekiti wenu mpaka ninyi wadogo wadogo.

Hamwezi kujeng hoja mkaisimamia , niambie katika uzoefu wako siasa Mataga gani ameshawahi kuteuliwa akawa na akili timamu. Mfano Bashite , sabaya, hapi, chalamila, nk wote hovyo kabisa.

Ndio maana Uvccm ni jumuiya ya wapumbavu ambao wanadhani watakuwa viongozi wa nchi hii.

Bora mkalime kuliko kufNya siasa chafu.
 
Sisi tumefamya kongamano Maria space la zaidi ya watu 6,000 lakini polisi wameshindwa kutuzuwia .
 
[emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Sisi tumefamya kongamano Maria space la zaidi ya watu 6,000 lakini polisi wameshindwa kutuzuwia .
Screenshot_20210721-223555_Twitter.jpg
 
Mama yenu nyie Mataga sio mama yangu . Mimi ni na mama yangu, sihitaji mama mwingine.

Mataga hamjawahi kuwa na Akili since the beginning tambueni kuwa Raisi ameshajua hilo. Hata nyie mnajijua kwanzia Mwenyekiti wenu mpaka ninyi wadogo wadogo...
CCM nao wataiga Maria space
 
Kwani huyo Jpm wenu alikuta nchi ipo kama somali au Ethiopia? Amekuta na ameiharibu simple and clear.

Sanasana ameiharibu nchi kuwa na raisi kama Jpm ni mzigo kwa Taifa. Tasisi ya uraisi haitaki vichwa panzi ni taasisi yenye uhitaji wa watu wenye weledi wa hali ya juu.
Kwa hiyo mwenye weledi huo ni TUNDU LISSU?!!

Yaani huyuhuyu Lissu anayeonekana mgonjwa wa akili? Kwa hiyo mwenye weledi ni MBOWE? 😲😲🤣🤣🤣

ENDELEA kujiotesha ndoto.

Magufuli AMETUONDOLEA ADHA wakazi milioni 7 pale TAZARA NA UBUNGO.


Magufuli ametujengea NPHEP kule RUFIJI...Ethiopia wanagombania MAJI NA MAJIRANI ZAKE.

Magufuli ametujengea SGR....haikuwepo....ya Kenya imekuwa ni gharama kubwa kuliko PROJECT yetu.

Magufuli ametushajiisha UJASIRI DHIDI YA CORONA....hatukupigwa LOCKDOWN.

Magufuli AMETULETEA NDEGE 8....tulikuwa na moja MKWECHE....subiri CORONA ipite uone "faida zake".

Magufuli alitupunguzia MAJAMBAZI NA WAUZA "ngada"....ulikuwa unawaona "wakisebenza"?

#KaziIendelee
#NchiKwanza
 
Mama yenu nyie Mataga sio mama yangu . Mimi ni na mama yangu, sihitaji mama mwingine.

Mataga hamjawahi kuwa na Akili since the beginning tambueni kuwa Raisi ameshajua hilo. Hata nyie mnajijua kwanzia Mwenyekiti wenu mpaka ninyi wadogo wadogo.

Hamwezi kujeng hoja mkaisimamia , niambie katika uzoefu wako siasa Mataga gani ameshawahi kuteuliwa akawa na akili timamu. Mfano Bashite , sabaya, hapi, chalamila, nk wote hovyo kabisa.

Ndio maana Uvccm ni jumuiya ya wapumbavu ambao wanadhani watakuwa viongozi wa nchi hii.

Bora mkalime kuliko kufNya siasa chafu.
Uchizi ni kung'ang'ania kitu potofu ilihali unakumbushwa mara "kibwena"....

Nimequote kauli ya sakala MDUDE NYAGALI kuhusu "mwambieni mama yenu".... bado tu UNANILAUMU mimi ?!!!😲🤣🤣

Mzee una OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDER(OCD)?!!! 🤣

#KaziIendelee
 
Kwa hiyo mwenye weledi huo ni TUNDU LISSU?!!

Yaani huyuhuyu Lissu anayeonekana mgonjwa wa akili? Kwa hiyo mwenye weledi ni MBOWE? [emoji44][emoji44][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ENDELEA kujiotesha ndoto.

Magufuli AMETUONDOLEA ADHA wakazi milioni 7 pale TAZARA NA UBUNGO.


Magufuli ametujengea NPHEP kule RUFIJI...Ethiopia wanagombania MAJI NA MAJIRANI ZAKE.

Magufuli ametujengea SGR....haikuwepo....ya Kenya imekuwa ni gharama kubwa kuliko PROJECT yetu.

Magufuli ametushajiisha UJASIRI DHIDI YA CORONA....hatukupigwa LOCKDOWN.

Magufuli AMETULETEA NDEGE 8....tulikuwa na moja MKWECHE....subiri CORONA ipite uone "faida zake".

Magufuli alitupunguzia MAJAMBAZI NA WAUZA "ngada"....ulikuwa unawaona "wakisebenza"?

#KaziIendelee
#NchiKwanza
Ndege zipi hizi zinazo. Ingiza hasara kila siku? Ndege hizi ambazo shirika lake linasaidiwa na serikali maana halina faida kwa Taifa hata siku moja?

Tundu lissue ni mtu muhimu sana kwa Taifa hili mpaka uwe na akili ndio utaweza kufahamu hilo ?

Mbowe huyu huwezi kujua umuhimu wake mpaka uhame kwenu ukajitegemee, bila hapo huwezi mfahamu mbowe.

Vitu alivyojenga Jpm hata Mobutu sesesenko nzamubanga wa nzabaka kuku ngebedu alijenga kule zaire hamna jipya zaidi ya kufilisi watu fedha zao.
 
Police wenyewe nawasikitikia wanaishi Maisha ya shida sana, wengine wanaishi kwenye Magofu. Wanasema nyumba.

Mfano Pale Msimbazi police ile ni nyumba ya police au gofu lile halafu wanatetea watu wajinga wanalipwa 12milions .na bado hawatisheki.
Sasa kuishi pale Msimbazi ni shida?!!!

Msimbazi karibu na klabu ya Simba na Yanga....

Msimbazi karibu na masoko ,K'koo ,Kisutu ,Machinga Complex....

Msimbazi karibu na UWANJA WA TAIFA temeke.....

Msimbazi karibu na Hospitali ya TAIFA YA MUHIMBILI....

Unaongea nini bwasheee?!!!

Hivi unamuitaje maskini mtumishi mwenye mshahara kila mwisho wa mwezi tarehe 21/22 na anayeweza KUDHAMINIKA MIKOPO benki zozote?!!!
Mtumishi ambaye ana sehemu ya kuweka ubavu wake ,mume/mke wanawe ?!!!

Umekunywa GONGO iliyotiwa spiriti eee?!!! Si ndio eee?

#KaziIendelee
 
Tunamwombea yule dikteta tuliyemzika aoze na mifupa kabisa...
Toka Mbowe aanze kumkashifu maiti ya hayati niliona hana utu na yeye acha avune fungu lake hakuna kumuonea utu, wafanye naye lolote tu asee.
 
Uchizi ni kung'ang'ania kitu potofu ilihali unakumbushwa mara "kibwena"....

Nimequote kauli ya sakala MDUDE NYAGALI kuhusu "mwambieni mama yenu".... bado tu UNANILAUMU mimi ?!!![emoji44][emoji1787][emoji1787]

Mzee una OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDER(OCD)?!!! [emoji1787]

#KaziIendelee
[emoji23][emoji23] huwezi kunielewa ndugu, siku ukinielewa utagundua serikali ya Ccm imekaa madarakani zaidi ya 50yrs still they done nothing to us , mpaka leo waziri wenu wa Phd uchwara anawatoza kodi akajenge vyoo na Maji vijijini[emoji23]
 
Sasa kuishi pale Msimbazi ni shida?!!!

Msimbazi karibu na klabu ya Simba na Yanga....

Msimbazi karibu na masoko ,K'koo ,Kisutu ,Machinga Complex....

Msimbazi karibu na UWANJA WA TAIFA temeke.....

Msimbazi karibu na Hospitali ya TAIFA YA MUHIMBILI....

Unaongea nini bwasheee?!!!

Hivi unamuitaje maskini mtumishi mwenye mshahara kila mwisho wa mwezi tarehe 21/22 na anayeweza KUDHAMINIKA MIKOPO benki zozote?!!!
Mtumishi ambaye ana sehemu ya kuweka ubavu wake ,mume/mke wanawe ?!!!

Umekunywa GONGO iliyotiwa spiriti eee?!!! Si ndio eee?

#KaziIendelee
Endeleeni kusifu na kuabudu, mtaishia kukaa kwenye Magofu mpaka akili ziwajie . Mtambue kuwa mnadhulumu Maisha ya watanzania pamoja na haki zao.
 
Ndege zipi hizi zinazo. Ingiza hasara kila siku? Ndege hizi ambazo shirika lake linasaidiwa na serikali maana halina faida kwa Taifa hata siku moja?

Tundu lissue ni mtu muhimu sana kwa Taifa hili mpaka uwe na akili ndio utaweza kufahamu hilo ?

Mbowe huyu huwezi kujua umuhimu wake mpaka uhame kwenu ukajitegemee, bila hapo huwezi mfahamu mbowe.

Vitu alivyojenga Jpm hata Mobutu sesesenko nzamubanga wa nzabaka kuku ngebedu alijenga kule zaire hamna jipya zaidi ya kufilisi watu fedha zao.
I have read your writings attentively, and I have came to conclusion that: you are simply hopelessly fool!
 
Ndege zipi hizi zinazo. Ingiza hasara kila siku? Ndege hizi ambazo shirika lake linasaidiwa na serikali maana halina faida kwa Taifa hata siku moja?

Tundu lissue ni mtu muhimu sana kwa Taifa hili mpaka uwe na akili ndio utaweza kufahamu hilo ?

Mbowe huyu huwezi kujua umuhimu wake mpaka uhame kwenu ukajitegemee, bila hapo huwezi mfahamu mbowe.

Vitu alivyojenga Jpm hata Mobutu sesesenko nzamubanga wa nzabaka kuku ngebedu alijenga kule zaire hamna jipya zaidi ya kufilisi watu fedha zao.
🤣🤣Yaani wewe kweli u mtoto...eti muhimu ni "baba yako tu" na si "baba yangu" na baba wa wengine......

Unasemaje nipo kwetu ilihali hunijui?!!! 😲🤣🤣

Anyway ,Mbowe huyuhuyu aliyekuwa halipi KODI ya pango pale BILLICANAS?!!!

Tundu Lissu huyuhuyu ambaye ana MANENO YA KEDI ,DHARAU ,MATUSI kwa yeyote ampingaye....huyuhuyu Lissu ambaye anapenda kujenga hoja kwa kutumia "ARGUMENTUM AD HOMINEM"?!!!

Duuuh hivi "baavichaa" Mirembe na Lutindi vitanda vimejaa "mmemwaika" MITAANI eee?!! Su ndio eee?!!!

Kumfananisha Hayati JPM na Mobutu ni mwendelezo wa matusi yenu.....

Mobutu aliwaambia Askari Jeshi "wasilalamikie kiduchu mishahara bali watumie SILAHA ZAO VYEMA..."kila wikiendi WAKAWA WANAZITUMIA KATIKA MADUKA YA WATU ...JPM alidhibiti MAJAMBAZI NA WAUZA "PODA"...

Una ng'oli nikupigie?!!

Eti una ng'oli nikugongee?!!!

We utakuwa "MSUKURE" uko chini ya meza ya MNYIKA ,ndwanye wewe 🤣🤣
 
I have read your writings attentively, and I have came to conclusion that: you are simply hopelessly fool!
It's none of your business dude! Mind your own business or else https://jamii.app/JFUserGuide yourself .
 
[emoji1787][emoji1787]Yaani wewe kweli u mtoto...eti muhimu ni "baba yako tu" na si "baba yangu" na baba wa wengine......

Unasemaje nipo kwetu ilihali hunijui?!!! [emoji44][emoji1787][emoji1787]

Anyway ,Mbowe huyuhuyu aliyekuwa halipi KODI ya pango pale BILLICANAS?!!!

Tundu Lissu huyuhuyu ambaye ana MANENO YA KEDI ,DHARAU ,MATUSI kwa yeyote ampingaye....huyuhuyu Lissu ambaye anapenda kujenga hoja kwa kutumia "ARGUMENTUM AD HOMINEM"?!!!

Duuuh hivi "baavichaa" Mirembe na Lutindi vitanda vimejaa "mmemwaika" MITAANI eee?!! Su ndio eee?!!!

Kumfananisha Hayati JPM na Mobutu ni mwendelezo wa matusi yenu.....

Mobutu aliwaambia Askari Jeshi "wasilalamikie kiduchu mishahara bali watumie SILAHA ZAO VYEMA..."kila wikiendi WAKAWA WANAZITUMIA KATIKA MADUKA YA WATU ...JPM alidhibiti MAJAMBAZI NA WAUZA "PODA"...

Una ng'oli nikupigie?!!

Eti una ng'oli nikugongee?!!!

Wewe utakuwa "MSUKURE" uko chini ya meza ya MNYIKA ,ndwanye wewe [emoji1787][emoji1787]
Wasukuma hamna Akili na mwaka huu mtaisoma namba ambayo iko ndani ya wimbo wenu pendwa.

Sasa JPm wenu anatofauti gani na Mobutu kwa nadharia uliyoandika hapa?

Alipowaambia police wachukue rushwa kwa madereva walapige kiwi viatu vyao sio mobutu huyo?

Alipo wabariki wauaji kama akina sabaya na wengine sio mobutu huyo?

Alipojenga uwanja wa ndege kule kwao ambao kimsingi hauna faida mpaka leo sio mobutu huyo?

Alipo toa task force kupora wafanyabiashara mali zao na fedha kinyume na sheria sio mboutu huyo?
 
Wasukuma hamna Akili na mwaka huu mtaisoma namba ambayo iko ndani ya wimbo wenu pendwa.

Sasa JPm wenu anatofauti gani na Mobutu kwa nadharia uliyoandika hapa?

Alipowaambia police wachukue rushwa kwa madereva walapige kiwi viatu vyao sio mobutu huyo?

Alipo wabariki wauaji kama akina sabaya na wengine sio mobutu huyo?

Alipojenga uwanja wa ndege kule kwao ambao kimsingi hauna faida mpaka leo sio mobutu huyo?

Alipo toa task force kupora wafanyabiashara mali zao na fedha kinyume na sheria sio mboutu huyo?
Mimi si MSUKUMA....

Yaani unaendelea tu Kudhihirisha UJINGA uliotopea.....

Mimi ni MTANZANIA zaidi ya KABILA langu....hobobo wewe🤣

Task Force iliundwa kwa ajili ya KUKUSANYA KODI iliyokuwa INAKWEPWA SANA....

Hivi watu hawalipi Kodi kwa kuendekeza janjajanja ,unatakaje ?!!!

Hwenda zilitumika NGUVU KUBWA zaidi ya LENGO....

Hata TOZO YA MIAMALA ya simu ilikuwa na lengo ZURI ,ila likakutana na UHALISIA wa UKUBWA wake na wananchi wakaguswa "mbavu changa".....

Kwani CHATO si Tanzania?!!

Kwani baada ya KUUJENGA uwanja wa ndege CHATO ,Serikali haitojenga UWANJA WA NDEGE MWINGINE hadi Masiha anarudi ?!!!

Nawaona mbu wengi ,jifunike shuka miguuni hapo chini ya meza ya MNYIKA ,ndwanye mmoja wewe 🤣🤣
 
Halafu uhalali wa hii serikali uko wapi?

Tujiulize waliingia madarakani kwa kupitia uchaguzi gani?

Tukipata majibu, basi tutakuwa pia tumepata majibu ya haya matendo.

Chadema wangekuwa wanarun serikali then CCM wafanye hayo ambayo chadema wanafanya now vipi wangewaacha Tu?
 
Back
Top Bottom