Polisi wakamata dhahabu ya Sh milioni 140 ikitoroshwa, mtuhumiwa atokomea, atelekeza gari

taratibu za sasa kwenye madini ngumu sana, bado hapo kuna mkanganyiko, uchunguzi ufanyike....ukiwa na master dealer licence uko huru kwenda kokote na mzigo ila tu uwe na documents za kodi toka hapo wilayani madini zinazoonyesha umelipa mrahaba na unatoka na madini nje ya wilaya au mkoa.... brokers licence inakuruhusu kufanya biashara ndani tu ya mkoa husika.... hii ni confusing story,..
 
Mnajua senema nyie?
 

Uwe unauliza kabla hujaandika huu utopolo.

FYI kuna leseni za utunzaji na usafirishaji dhahabu, ni lazima uwe nayo ili uweke kufanya hivyo. Huyu hakuwa na vibali it's a no brainer ndo maana kakimbia, jidanganye dhahabu ni yako bila vibali upigwe kesi ya uhujumu uchumi.
 
Kwani sheria inasemaje juu ya mahala mtu anaweza kuuza madini yake? Kuna masoko mangapi ya kuuza na kununua dhahabu nchini? Ukichimba dhahabu Chunya ,Je huwezi kwenda kuiuza Kwenye solo la Kahama?

Unaweza kama una leseni ya kusafirisha tu. Asiye na leseni hawezi.
 
Hawa Polisi siku hizi wasivyoaminika hasa likija swala la madini hata kama ni mimi ningekimbia.

Na hapo swali la msingi ni je, kweli idadi iliyotajwa ndiyo iliyokamatwa?
Hapo hakuna upigaji,kwa sababu taasisi mbili zimehusika, polisi+wizara ya madini,upigaji ungekuwepo kama wangekuwa watu wa wizara ya madini peke yao au polisi peke yao.
 
Ukishayapata unayalipia kodi kwanza vinginevyo we mwizi
 
Polisi hawa hawa awakimbie tu bila sababu😅😂
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kwamba hivyo vinavyotangazwa ndivyo vilivyotokea!
Jeshi hili hili au jeshi lipi??

Hapo kuna walakini, ama vipande vilikuwa vingi ama walikuwa na pesa ama yote mawili!

Mtuhumiwa wa kukwepa Kodi, njoo utueleze ukweli kama bado uko hai, popote ilipo!
 
Mh! Hivi alishindwa kutoa rushwa akaacha zigo la namna hiyo..?
Huyu ndo mtu alieukimbia utajiri alasivyo ipo namna imetendeka kwa maisha haya uache 140 million!!!! Ha ha ha!.
Aisee itakua haujawahi kuingia kwenye kumi 18 za watu wa serikali halafu hawana background yoyote ile ya biashara..unawesa kuta zigo lote hilo thamani ni 140m wao wanakwambia tupe milioni 300 tukuachie huu mzigo ni wa milioni 700 wakati mfukoni una 500,000 kama ya huyo jamaaa
 
Ndo maana watu huroga!
 
Huo uchimbaji wa kizamani siku hizi haupo.
 
Kwan dhahabu na fedha ukiziwekakwenye siti alafu kwenye radio unaweka nyimbo za kikatoliki na bibliatatu nne ndan watakujua kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…