Polisi wakamata dhahabu ya Sh milioni 140 ikitoroshwa, mtuhumiwa atokomea, atelekeza gari

Polisi wakamata dhahabu ya Sh milioni 140 ikitoroshwa, mtuhumiwa atokomea, atelekeza gari

Huenda hilo ndio tatizo hizo Tozo na Kodi sio rafiki..., hivi kuna mtu anaweza akanipa breakdown hapo Serikali inakula ngapi kwenye kila gram
Basically tozo alizipaswa kulipia (ukiondoa maswala ya kuingiza tamaa kwa askari wetu) ni 7% kama mrahaba na 0.3% ya halmashauri kingine labda kama aliitoa kwenye eneo lenye leseni kuna kiji asilimia ya mmiliki wa leseni....Otherwise hio thahabu ameikimbia bure tu...

Nijuavyo mimi kuna watu wako mjini (Dsm) wanatoa mitaji kwa hawa blockers kwa mashart ukipata dhahabu lazima uwapelekee wao sasa sheria za madini haziko hivo ukiwa blocker dhahabu lazima uuuzie kwenye soko la madini ndan ya mkoa husika tofauti na hivo unatafsrika unatorosha madini huenda ndugu yetu nae alikua katika mkondo huo huo (Nawaza kimoyo moyo).
 
Basically tozo alizipaswa kulipia (ukiondoa maswala ya kuingiza tamaa kwa askari wetu) ni 7% kama mrahaba na 0.3% ya halmashauri kingine labda kama aliitoa kwenye eneo lenye leseni kuna kiji asilimia ya mmiliki wa leseni....Otherwise hio thahabu ameikimbia bure tu...

Nijuavyo mimi kuna watu wako mjini (Dsm) wanatoa mitaji kwa hawa blockers kwa mashart ukipata dhahabu lazima uwapelekee wao sasa sheria za madini haziko hivo ukiwa blocker dhahabu lazima uuuzie kwenye soko la madini ndan ya mkoa husika tofauti na hivo unatafsrika unatorosha madini huenda ndugu yetu nae alikua katika mkondo huo huo (Nawaza kimoyo moyo).

What if alikuwa anaenda kuhifadhi nyumbani kwa matumizi ya baadae?, sheria inasemaje kuhusu hili?
 
Wanakula asilimia 7.3 ya mzigo wako.
Na ni hio tu hakuna makando kando mengine Stamp Duty; Labda Duties za hapa na Pale; n.k., n.k..., Tatizo hii nchi utitiri ni mwingi sana huchelewi kuambiwa na mdau hapo kuna na kuchangia percent kadhaa mwenge na madarasa yaani ni matozo na red tapes zisizoisha....
 
Basically tozo alizipaswa kulipia (ukiondoa maswala ya kuingiza tamaa kwa askari wetu) ni 7% kama mrahaba na 0.3% ya halmashauri kingine labda kama aliitoa kwenye eneo lenye leseni kuna kiji asilimia ya mmiliki wa leseni....Otherwise hio thahabu ameikimbia bure tu...

Nijuavyo mimi kuna watu wako mjini (Dsm) wanatoa mitaji kwa hawa blockers kwa mashart ukipata dhahabu lazima uwapelekee wao sasa sheria za madini haziko hivo ukiwa blocker dhahabu lazima uuuzie kwenye soko la madini ndan ya mkoa husika tofauti na hivo unatafsrika unatorosha madini huenda ndugu yetu nae alikua katika mkondo huo huo (Nawaza kimoyo moyo).
Kwahio Kisheria ni 7.3 Percent ya Value ya Mzigo vipi huenda pia valuation yao inakuwa ipo exaggerated au wanaangalia soko la dunia kw wakati huo ?
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Maafisa Madini Wilaya ya Chunya limefanikiwa kukamata madini aina ya dhahabu yenye thamani zaidi ya Tsh milioni mia arobaini (140).

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei, ameeleza kuwa Februari 9, 2022 majira ya saa 19:30 usiku katika kizuizi cha Polisi Chalangwa kilichopo Kata ya Chalangwa, Tarafa ya Kiwanja, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya, Askari Polisi kwa kushirikiana na Maafisa Madini Wilaya ya Chunya walikamata Gari T.948 DTM aina ya Toyota Crown iliyokuwa ikiendeshwa na mtu aliyefahamika kwa jina BARAKA SINGU @ NYODA, ambaye baada ya kusimamishwa kwenye kizuizi hicho alikimbia na kutelekeza gari hiyo.

Katika upekuzi uliofanywa kwenye gari hiyo vilikutwa vipande 36 vya madini aina ya dhahabu vyenye uzito wa gramu 1367.07 vyenye thamani ya Tshs. 147,694,961.83/= na fedha taslimu Tshs. 504,600/=, lengo ni kukwepa kodi na tozo za serikali.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na msako wa kumtafuta mtuhumiwa kwa hatua zaidi za kisheria.

Aidha, linatoa rai kwa wafanyabiashara kutambua kuwa mkono wa serikali ni mrefu hivyo ni vyema kufanya biashara halali kwa kufuata sheria na taratibu zilizopo ili kuepuka kukinzana na sheria.

View attachment 2114949
Kuna story zinaibuka kutaka ku-neutrize tuhuma lukuki za Polisi,
hivi inaingia akilini kweli mtu kushindwa kuficha hivyo vipande 36 maeneo mbalimbali ya Crown?
shida moja ya Polisi wanadhani wote wanaowadanganya wana uelewa sawa na wao! Sikubaliani na hii tungo!!!
 
Kwahio Kisheria ni 7.3 Percent ya Value ya Mzigo vipi huenda pia valuation yao inakuwa ipo exaggerated au wanaangalia soko la dunia kw wakati huo ?
Yan hio value ipo constant (7.3%) means kama soko la dunia siku hio gram 1= 100,000/= (mfano) na wewe una gram 10 means utauza 1 M kwenye hio 1M ni Tsh 73000/= tu ndo utapaswa kulipa zilizobaki ni za kwako...Vinginevyo ni ile hali askari keshaona ww una dhahabu yenye grams nying na ni mchumi sana hua hutoi posho basi wanaamua kukukomalia na ukiwa hujui sheria za madini bas utababaika mno.
 
Yan hio value ipo constant (7.3%) means kama soko la dunia siku hio gram 1= 100,000/= (mfano) na wewe una gram 10 means utauza 1 M kwenye hio 1M ni Tsh 73000/= tu ndo utapaswa kulipa zilizobaki ni za kwako...Vinginevyo ni ile hali askari keshaona ww una dhahabu yenye grams nying na ni mchumi sana hua hutoi posho basi wanaamua kukukomalia na ukiwa hujui sheria za madini bas utababaika mno.
Asante kwa ufafanuzi nimefekenyua kwenye mitandano nimekutana na hili ambalo huenda likawasaidia wengine (Copy & Paste)

KINACHO FATIA BAADA YA MWENYE LESENI YA UCHIMBAJI WA MADINI PML KUCHIMBA MADINI YAKE NA KUYAPATA.... NI HIKI HAPA CHINI.

UKIMILIKI LESENI YA KUCHIMBA MADINI PML, WEWE LESENI HII ITAKURUHUSU KUCHIMBA MADINI NA PIA KUYAUZA MADINI HAYO POPOTE, KIKUBWA NI KUFATA SHERIA ZILIZOPO ZA UUUZAJI WA MADINI NA HII NI BAADA YA WEWE KUPELEKA MADINI HAYO OFISI ZA MADINI WAYAKAGUE NA KUYATHAMINISHA THAMANI YA MADINI HAYO NA KISHA UTALIPIA ASILIMIA 7% YA THAMANI YA MADINI YAKO.

YAANI BAADA YA WATU WA MADINI KUKAGUA MADINI YAKO UBORA WAKE NA WAKASEMA MADINI YAKO YANA THAMANI YA TSH 10,000,000/= (MILIONI 10) BASI HAPO UTALIPIA KODI ASILIMIA 7% YA MILIONI 10 AMBAYO NI: 7/100 × 10,000,000 = 700,000/= , HAPA UTALIPIA LAKI 7 KAMA KODI YA MADINI YAKO.

UKISHALIPIA KODI HII OFISI ZA MADINI BASI WATAKUULIZA VP UNATAKA MADINI YAKO UKAUZIE SOKO LA MKOA UPI??? UKISEMA NAENDA SOKO LA MKOA WA ARUSHA BASI WAO WATAYAFUNGASHA MADINI YAKO NA KUYAFUNGA SEAL NA KISHA WATAKUPA BARUA ILIYO ADDRESIWA KWA AFISA MADINI WA MKOA WA ARUSHA INAYOSEMA MPOKEEE MTU FLANI AMBAE ANA MADINI YAKE YA AINA FLANI AMBAYO YANAUZITO WA KILO FLANI NA TAYALI HUKU OFISI ZA MADINI MKOA FLANI AMESHALIPIA KODI MADINI HAYO KIASI FLANI HIVYO TUNAOMBA MPOKEE MTU HUYU ILI AUZE MADINI YAKE KATIKA SOKO LA MKOA WAKO...

HII BARUA UTAMPELEKEA AFISA MADINI WA MKOA UNAKOENDA KUUZA MADINI YAKO, YEYE ATAISOMA NA BAADA YA KUISOMA ATAKUAMBIA NENDA CHUMBA FLANI WAKAKUFUNGULIA SEAL ZA MADINI YAKO, UKIENDA HIKO CHUMBA WATAFUNGUA MADINI YAKO NA KUYAPIMA TENA KUHAKIKI UZITO ULIOANDIKA KWENYE ILE BARUA KAMA NI HUO HUO AU KUNA JANJA JANJA WAKISHA PIMA NA KUHAKIKI UZITO WA MADINI YAKO NA UKAWA SAWA BASI WATU HAO WATAKUKABIZI MADINI YAKO WATAKUAMBIA SASA KAZI KWAKO MADINI SHIKA MADINI YAKO KAZUNGUUKE KATIKA MAOFISI YA HILI SOKO UYAUZE...

UNABEBA MADINI YAKO NA SASA NDIO UNAANZA KUINGIA KWENYE MAOFISI UKIMALIZA KAMA NI KUBEBA PESA KWENYE SANDARUSI HAYA KAMA NI BENK TO BANK HAYA, UKITOKA HAPO CJUI UNAENDA STENDI KUKATA TIKET/ AU UNAENDA KIA KUFLY AU UNAKULA BATA WIKI MOJA KWANZ ..

 
Mh! Hivi alishindwa kutoa rushwa akaacha zigo la namna hiyo..?
Huyu ndo mtu alieukimbia utajiri alasivyo ipo namna imetendeka kwa maisha haya uache 140 million!!!! Ha ha ha!.

Walikamatwa wote
 
Mimi nipo chunya lakini nashangaa hii story ipo tofauti.... jamaa hajakimbia na alikamatwa... kwenye crown walikua watu wawili na wote walikamatwa... na wengine watatu walikuja kukamatwa chunya mjini
 
Gari limesajiliwa....wapi?? ...Km anafanya biashara hizo manake ana hela...akimbie gari na hela zake ili iweje? Kwa lipi ambalo hakujua kufika salama au kukamatwa?.... Polisi wanatuona hatujasoma km wao....ujinga mwingi km jiwe....
.polisi gani mjinga asijue jumla ya wakaazi wake wa mbeya?...kila kinachofanyika ndani ya jiji la mbeya polisi.idara ya usalama wanajua wale..... Haiwezekani wakamate dhahabu bila mtonyo!...kawadanganye wajinga
 
Sasa he ukikamatwa ukiwa njiani kwenda kuprocesa kibali inakuwaje hivi hawaoni hii Sheria ipo unreasonable???

Kimsingi huwezi kutoka mgodini uache madini pale utakuta hayapo unless haujui mazingira ya migodini, jiwe likitoka huwa silaha nje nje ni hakuna mtu kutoka kwenye shimo Wala mtu kuingia.

Tajiri anashuka shimoni anahesabu mawe yake anayachimbia kibindoni then akitoka nje gari inawashwa Kama imeibiwa na hakuna kusimamia hata trafiki akikusimamisha Wala polisi yeyote.

Sasa Hawa polisi wa chunya taarifa yao Ina walakini, huyu jamaa lazima Kuna kitu maana kakimbia akiwa ndani ya wilaya na mara nyingi ukiona polisi wameamua kuripoti basi wameshindwana na jamaa na wanaona atawachomea.

Umeandika utopolo huo uchimbaji wa miaka ya 1800. Miaka ya Leo hata gram 5 za dhahabu hupati bila kufanya uchenjuaji wewe unaleta habari za tajiri kushuka mgodini kuchukua mawe mwenyewe hamna hicho kitu.
 
Hii ni biashara yangu sijawahi kwenda kuuza soko la serikali maana pana usumbufu mkubwa sana na siku zote hii biashara ina faida kubwa na hasara kubwa na sokoni ndo pakwenda kuzibia hasara sasa ukienda serikalini hurudi na kitu ile faida unagawana na serikali + usumbufu wa kutosha
 
Asante kwa ufafanuzi nimefekenyua kwenye mitandano nimekutana na hili ambalo huenda likawasaidia wengine (Copy & Paste)

KINACHO FATIA BAADA YA MWENYE LESENI YA UCHIMBAJI WA MADINI PML KUCHIMBA MADINI YAKE NA KUYAPATA.... NI HIKI HAPA CHINI.

UKIMILIKI LESENI YA KUCHIMBA MADINI PML, WEWE LESENI HII ITAKURUHUSU KUCHIMBA MADINI NA PIA KUYAUZA MADINI HAYO POPOTE, KIKUBWA NI KUFATA SHERIA ZILIZOPO ZA UUUZAJI WA MADINI NA HII NI BAADA YA WEWE KUPELEKA MADINI HAYO OFISI ZA MADINI WAYAKAGUE NA KUYATHAMINISHA THAMANI YA MADINI HAYO NA KISHA UTALIPIA ASILIMIA 7% YA THAMANI YA MADINI YAKO.

YAANI BAADA YA WATU WA MADINI KUKAGUA MADINI YAKO UBORA WAKE NA WAKASEMA MADINI YAKO YANA THAMANI YA TSH 10,000,000/= (MILIONI 10) BASI HAPO UTALIPIA KODI ASILIMIA 7% YA MILIONI 10 AMBAYO NI: 7/100 × 10,000,000 = 700,000/= , HAPA UTALIPIA LAKI 7 KAMA KODI YA MADINI YAKO.

UKISHALIPIA KODI HII OFISI ZA MADINI BASI WATAKUULIZA VP UNATAKA MADINI YAKO UKAUZIE SOKO LA MKOA UPI??? UKISEMA NAENDA SOKO LA MKOA WA ARUSHA BASI WAO WATAYAFUNGASHA MADINI YAKO NA KUYAFUNGA SEAL NA KISHA WATAKUPA BARUA ILIYO ADDRESIWA KWA AFISA MADINI WA MKOA WA ARUSHA INAYOSEMA MPOKEEE MTU FLANI AMBAE ANA MADINI YAKE YA AINA FLANI AMBAYO YANAUZITO WA KILO FLANI NA TAYALI HUKU OFISI ZA MADINI MKOA FLANI AMESHALIPIA KODI MADINI HAYO KIASI FLANI HIVYO TUNAOMBA MPOKEE MTU HUYU ILI AUZE MADINI YAKE KATIKA SOKO LA MKOA WAKO...

HII BARUA UTAMPELEKEA AFISA MADINI WA MKOA UNAKOENDA KUUZA MADINI YAKO, YEYE ATAISOMA NA BAADA YA KUISOMA ATAKUAMBIA NENDA CHUMBA FLANI WAKAKUFUNGULIA SEAL ZA MADINI YAKO, UKIENDA HIKO CHUMBA WATAFUNGUA MADINI YAKO NA KUYAPIMA TENA KUHAKIKI UZITO ULIOANDIKA KWENYE ILE BARUA KAMA NI HUO HUO AU KUNA JANJA JANJA WAKISHA PIMA NA KUHAKIKI UZITO WA MADINI YAKO NA UKAWA SAWA BASI WATU HAO WATAKUKABIZI MADINI YAKO WATAKUAMBIA SASA KAZI KWAKO MADINI SHIKA MADINI YAKO KAZUNGUUKE KATIKA MAOFISI YA HILI SOKO UYAUZE...

UNABEBA MADINI YAKO NA SASA NDIO UNAANZA KUINGIA KWENYE MAOFISI UKIMALIZA KAMA NI KUBEBA PESA KWENYE SANDARUSI HAYA KAMA NI BENK TO BANK HAYA, UKITOKA HAPO CJUI UNAENDA STENDI KUKATA TIKET/ AU UNAENDA KIA KUFLY AU UNAKULA BATA WIKI MOJA KWANZ ..

umepiga kwenye mshono....Uko sahihi kabisa

Upo sahihi kabisa ndugu...Stay blessed,hii ndio raha ya JF ku share ideas
 
Upo sahihi kabisa ndugu...Stay blessed,hii ndio raha ya JF ku share ideas
Kwahio Madini hayana cha kina stamp duty n.k. na je huyu mchimbaji akiuza na mnunuzi kununua na kuuza na kununua..., Je hapo kila mnunuzi anatoa kodi zipi (sababu sio kila muuzaji ni mchimbaji)
 
Back
Top Bottom