Hatawezekana kuwekwa mahabusu kwani tunavyo ongea Sasa hv yupo wap? Na asiwezekane yeye ninani,Mbowe hamtamuweza kumuweka mahabusu hamjaanza leo sana sana mnampaisha homa kali ya katiba mpya ndio inawafanya mshikwe na matumbo ya kuharisha katiba mpya mpya ndio suluhisho la haya yote.
Sawa......Ni wawekezaji gani wa maana waliopo Rwanda? Ni wawekezaji gani wa maana wapya waliokuja Tanzania wakati wa utawala wa Magufuli?
Wawekezaji wa maana, ni wale wawekezaji makini na wanaowekeza angalao kuanzia dola milioni 500. Wa mwisho natambua kuwa alikuwa Dangote, wakati wa utawala wa Kikwete.
Are you serious, na ulinzi wote wa Rais kweli Mdude anaweza hata kugusa kamba za viatu vya Madam?
Hivi toka Tundu Lissu atume huo ujumbe /jumbe kupitia MAKONGAMANO ,WARSHA ,MIKUTANO huko London Brussels ,Berlin ,Chicago , Washington huku nyuma yake akiwa Robert Amsterdam Kuna KILICHOBADILIKA kwa Tanzania?!!Wawekezaji hawatakuja Tanzania siyo kwa sababu Mbowe amebambikiwa kesi ya ugaidi na Samia, bali ujumbe utakaotumwa Duniani, ni kuwa Tanzania siyo mahali salama maana unaweza kubambikiwa kesi yoyote na watawala wakati wowote, alimradi wakiamua kufanya hivyo.
Kwani vyombo hivyo vya kimataifa vilimuongelea vema Mwendazake? Na kwa kumuongelea vibaya ilisaidia nini?Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa Jeshi la Polisi nchini limeamua "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama vile mashirika ya habari ya CNN na Aljazeera, yamejitokeza na kuipa "headline" hiyo taarifa ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kupata tuhuma hiyo nzito ya ugaidi.
Madhara ya serikali hii kumbambikia Freeman Mbowe Makosa hayo ya ugaidi ni makubwa Sana kuliko tunavyofikiria.
Lazima ifahamike wazi kuwa wawekezaji ambao walikuwa wanafikiria kuleta mitaji yao hapa nchini, baada ya kuona mabadiliko ya uongozi wa juu, baada ya kufariki Rais Magufuli, watasita kufanya hivyo, kutokana na kuogopa kuleta mitaji yao kwenye nchi ambayo uongozi wa nchi umeutangazia dunia kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani cha Chadema, anatuhuma za ugaidi!
Lakini ukiangalia mwenendo wa viongozi wakuu wa nchi hii, wanatumia mwanya wa wanaodai Katiba yetu ya nchi, kuwabambikia viongozi wa upinzani kwa Makosa yasiyokuwa na dhamana ya ugaidi, kwa lengo tu la kuwakomoa, kutokana na kupigania haki za watanzania, ambapo wao viongozi wa serikali hawapendi watanzania waipate haki hiyo!
Kwa hiyo tutarajie wawekezaji kutoka nchi za nje kupungua Sana kuja hapa nchini kutokana na hofu hii, waliyoianzisha wao viongozi wa serikali, kuwa nchi yetu ina magaidi!
Hakika dadangu....Mdude anaweza kuwa sio mtekelezaji ila anaujua wembe na process sawasawa
Sasa kama jitu ni gaidi unataka atuhumiwe kwa lipi? A spade is a spade....Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa Jeshi la Polisi nchini limeamua "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama vile mashirika ya habari ya CNN na Aljazeera, yamejitokeza na kuipa "headline" hiyo taarifa ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kupata tuhuma hiyo nzito ya ugaidi.
Madhara ya serikali hii kumbambikia Freeman Mbowe Makosa hayo ya ugaidi ni makubwa Sana kuliko tunavyofikiria.
Lazima ifahamike wazi kuwa wawekezaji ambao walikuwa wanafikiria kuleta mitaji yao hapa nchini, baada ya kuona mabadiliko ya uongozi wa juu, baada ya kufariki Rais Magufuli, watasita kufanya hivyo, kutokana na kuogopa kuleta mitaji yao kwenye nchi ambayo uongozi wa nchi umeutangazia dunia kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani cha Chadema, anatuhuma za ugaidi!
Lakini ukiangalia mwenendo wa viongozi wakuu wa nchi hii, wanatumia mwanya wa wanaodai Katiba yetu ya nchi, kuwabambikia viongozi wa upinzani kwa Makosa yasiyokuwa na dhamana ya ugaidi, kwa lengo tu la kuwakomoa, kutokana na kupigania haki za watanzania, ambapo wao viongozi wa serikali hawapendi watanzania waipate haki hiyo!
Kwa hiyo tutarajie wawekezaji kutoka nchi za nje kupungua Sana kuja hapa nchini kutokana na hofu hii, waliyoianzisha wao viongozi wa serikali, kuwa nchi yetu ina magaidi!
Kumbe ukidai kwa uzito wa kipekee katiba mpya unatafuta matatizo? Hivi kudai katiba mpya kuna ubaya gani? Katiba ya sasa viraka kibao.Nani kafanya vurugu we kinda..katiba mpya kwenu ni tishio na vurugu!
Mwenyekiti wa saccos Mr. Faru John ni zaidi ya Gaidi.Sehemu salama ya Gaidi ni jela, Mbowe yupo sehemu anayostahili, anapiga story na kunguni tu, hakuna mwekezaji serious anayeona Mbowe ni mtu muhimu, hizi story zenu za vijiweni zibaki huko huko kwa nyumbxxx wenzio.
Hao wasio na akili ndio wanakuongoza toka 1961 mpaka leo bado wanakunyoosha na kizazi chako chote, sasa jiulize nani hana akili wewe 'mwenye akili' kuongozwa muda wote huo na asiye na akili au asiye na akii...Tunavyosemaga kuwa CCM hayana akili na ni hayafai kuongoza nchi hii huwa tunamaanisha.
Ni wazi CCM wamejipiga nyundo kichwani na sasa wanaimba kuchina!Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa Jeshi la Polisi nchini limeamua "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama vile mashirika ya habari ya CNN na Aljazeera, yamejitokeza na kuipa "headline" hiyo taarifa ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kupata tuhuma hiyo nzito ya ugaidi.
Madhara ya serikali hii kumbambikia Freeman Mbowe Makosa hayo ya ugaidi ni makubwa Sana kuliko tunavyofikiria.
Lazima ifahamike wazi kuwa wawekezaji ambao walikuwa wanafikiria kuleta mitaji yao hapa nchini, baada ya kuona mabadiliko ya uongozi wa juu, baada ya kufariki Rais Magufuli, watasita kufanya hivyo, kutokana na kuogopa kuleta mitaji yao kwenye nchi ambayo uongozi wa nchi umeutangazia dunia kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani cha Chadema, anatuhuma za ugaidi!
Lakini ukiangalia mwenendo wa viongozi wakuu wa nchi hii, wanatumia mwanya wa wanaodai Katiba yetu ya nchi, kuwabambikia viongozi wa upinzani kwa Makosa yasiyokuwa na dhamana ya ugaidi, kwa lengo tu la kuwakomoa, kutokana na kupigania haki za watanzania, ambapo wao viongozi wa serikali hawapendi watanzania waipate haki hiyo!
Kwa hiyo tutarajie wawekezaji kutoka nchi za nje kupungua Sana kuja hapa nchini kutokana na hofu hii, waliyoianzisha wao viongozi wa serikali, kuwa nchi yetu ina magaidi!
Kupigwa mabomu ubalozi Marekani je ?Hivi Tanzania hakujawahi kutokea Magaidi ?!!!
Misaada ya USAID ,GTZ JICA,DANIDA ilisitishwa/kupunguza walipotokea Magaidi kule KIBITI ,AMBONI TANGA na MTWARA?!!!
Je nao wawekezaji hawakujitokeza kipindi hicho ?!!!
Je UAMSHO walipotuhumiwa kwa ugaidi na kukaa ndani miaka 8 WAWEKEZAJI HAWAKUJITOKEZA ?!!!
KWA NINI Hofu ya kukosa WAWEKEZAJI IJE kipindi hiki cha KUTUHUMIWA mh.Mbowe ?!!!
TUHUMA huthibitishwa mahakamani tu .....
#KaziIendelee
Swadakta πKwani vyombo hivyo vya kimataifa vilimuongelea vema Mwendazake? Na kwa kumuongelea vibaya ilisaidia nini?
Msijipe matumaini hewa kuhusu wawekezaji kupungua. Labda mngeingia mtaani ndipo wangeweza kuhofia usalama wa mali zao.
Mnakwepa ukweli kwamba viongozi wenu hawakuwa na plan B. Kujimwambafai kisha kutegemea kelele za mabeberu isnβt smart. Unajua kwanini Blair was in Dar?
View attachment 1865470
Umeuongea ukweli mtupu, hivi sasa Doto amemrithi Kulwa, na ametamka hadharani kuwa yeye na mwendazake ni kitu kimoja!Kulwa na Dotto ni vigumu sana kuwatenganisha. Kulwa amelala Usingizi wa Milele, Dotto yupo pale kwa kuwa amevaa viatu vya Kulwa na anaongoza jahazi kuelekea Nchi ya maziwa na asali ππ
Tabia za watu hawa zinafanana, sasa tusubili maiti za kwenye viloba ili maandiko yatimie kwa maana wengi walijiuliza ni Yeye au tusubili mwingine.
Mama Mulamula atakuwa na kazi kubwa ya kufanya kuiaminisha Dunia kuwa Tanzania hakuna Ugaidi wakati ambao Investors wataacha kuja kuwekeza na wenye mitaji wakianza kuiondoa na kuipeleka Nchi salama zisizo na Ugaidi na Magaidi.
Uzuri wake hata Nchi isipokusanya mapato na Kufirisika, Viongozi wa Juu wote wana Uhakika wa Kula na Kunywa hadi watakapoiaga Dunia. Tutakaopata tabu ni Sisi wapiga kura pamoja na hao Mapolisi waliotumwa kuiambia Dunia Mbowe ni Gaidi na Tanzania kuna Ugaidi.
sidhani kama kosa ni kuandaa kongamano la kudai katiba.kwa sababu hata ndani ya CCM yawezekana kuna wanaotaka katiba mpya akiwemo Jaji Warioba.Ukiacha kelele zinazopigwa kwa nguvu Sana hapa nchini Tanzania za kutakiwa, Freeman Mbowe aachiwe huru, kutokana na makosa yanayoonekana wazi kuwa Jeshi la Polisi nchini limeamua "kubambika" ya ugaidi, lakini vyombo mbalimbali vya dunia navyo vimeungana na wapigania haki wa hapa nchini, kama vile mashirika ya habari ya CNN na Aljazeera, yamejitokeza na kuipa "headline" hiyo taarifa ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kupata tuhuma hiyo nzito ya ugaidi.
Madhara ya serikali hii kumbambikia Freeman Mbowe Makosa hayo ya ugaidi ni makubwa Sana kuliko tunavyofikiria.
Lazima ifahamike wazi kuwa wawekezaji ambao walikuwa wanafikiria kuleta mitaji yao hapa nchini, baada ya kuona mabadiliko ya uongozi wa juu, baada ya kufariki Rais Magufuli, watasita kufanya hivyo, kutokana na kuogopa kuleta mitaji yao kwenye nchi ambayo uongozi wa nchi umeutangazia dunia kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani cha Chadema, anatuhuma za ugaidi!
Lakini ukiangalia mwenendo wa viongozi wakuu wa nchi hii, wanatumia mwanya wa wanaodai Katiba yetu ya nchi, kuwabambikia viongozi wa upinzani kwa Makosa yasiyokuwa na dhamana ya ugaidi, kwa lengo tu la kuwakomoa, kutokana na kupigania haki za watanzania, ambapo wao viongozi wa serikali hawapendi watanzania waipate haki hiyo!
Kwa hiyo tutarajie wawekezaji kutoka nchi za nje kupungua Sana kuja hapa nchini kutokana na hofu hii, waliyoianzisha wao viongozi wa serikali, kuwa nchi yetu ina magaidi!
Usalama upi wa nchi unaousema wewe??sidhani kama kosa ni kuandaa kongamano la kudai katiba.kwa sababu hata ndani ya CCM yawezekana kuna wanaotaka katiba mpya akiwemo Jaji Warioba.
hayo wawekezaji waje au wasije lakini haiwezi kubadiri msimamo wa nchi kwa swala la usalama wa nchi
Hataki kujifunza na kubadirika. Mwendazake alivuruga Uchumi na maisha ya kila mtu kwa kuendekeza visasi na siasa za hovyo zilizoitumbukiza Nchi shimoni.Umeuongea ukweli mtupu, hivi sasa Doto amemrithi Kulwa, na ametamka hadharani kuwa yeye na mwendazake ni kitu kimoja!
Wenye akili tulimuelewa
Ni ajabu na kweli.Hataki kujifunza na kubadirika. Mwendazake alivuruga Uchumi na maisha ya kila mtu kwa kuendekeza visasi na siasa za hovyo zilizoitumbukiza Nchi shimoni.
Athari za kutamka ugaidi na magaidi Nchini ni kubwa kuliko Political mileage wanayoitafuta.
Sijui huo Ugaidi wa Mbowe ameanza kuufanya Uzeeni au lini.
Nchi inataka kuwa ya hovyo hii