Tena huyo kesho anaweza kuja humu na akatuambia kua kaokota nyumba!! Vijana wa siku akili zao wanazijua wenyewe!!Kalipe vitu vya watu...yaani Dunia hii unaokota simu Tena smart unaanza tu kutumia .... Kudadeki .......kalipe Mzee.
Na kitambulisho cha Nida tupa! Akili zako zinachekesha sana!!Simu naitupa kabisa,natumia simu yenye imei nyingine na laini nyingine kabisa,hapo vipi mkuu?
Umekosea mwaka au? 1987Kumikumi mpya zikipangwa kwa kunyooka zinapangika na hushindiliwa kwa kuzikalia.
Memore yashilagha gukhu.Umekosea mwaka au? 1987
SawaNa kitambulisho cha Nida tupa! Akili zako zinachekesha sana!!
Ameiba huyoMdogo mdogo utasema tu ukweli ulikoitoa.......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda kawaambie polisi kuwa CHA KUOKOTA SIO CHA KUIBA.[emoji41]
Zima simu hiyo kisha sepa ukienda police wakakupiga sana ukute hao walio iba vitu vya jamaaa .....hasa ukiwa una muonekano wa kiteja teja watakuua kabisaMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
ππππππMdogo mdogo utasema tu ukweli ulikoitoa.......
Kama hizi line zake anazitegemea kwenye buashara,itakuwa Imekula kwake.zima simu itupilie chini ya uvungu ata miaka alaf tupa line
Siku yakikukuta Usisahau hiliMiaka 5 jela inakusubiri.
Hakuna mwizi anayeiba simu kisha akaidondosha. Umenunua mali ya wizi na sasa kimewaka
Watakapokuminya kende lako moja, utasema ukweli wako wote! Bila shaka simu yenyewe ndiyo hii unayochat nayo humu JF?!Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Safisha mstari maringo vizur kabla hujaenda kuripotMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa