Ukiokota simu peleka polisi au tangaza gazetini.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Simu zote zinaripuka, usiwe mjinga.Ukiokota simu peleka polisi au tangaza gazetini.
Kwanza hata usitangaze, unaweza kuokota kitu kinachoonekana simu kumbe ni bomu la kujilipua lenyewe kama huko Lebanon.
Kesi za simu nyingi sana...mahakamani na vituoni..sijui kwanini...ifike mahali simu nunua ya dukani, ukiona ipo barabarani achana nayo..bora ikanyagwe na gari na watu..U.SI.O.KO.TE pls,Sure. Kimasihara sana jamaa anaenda jela.
Hii ni sehemu ya kula ya polisi.
Bro ukikutwa na Mali ya wizi, ni kosa, uwe umeokota, au kununua, ilibidi uiwasilishe polisi baada ya kuiokota.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Faida za kitonga ndiyo hizo - komaa ukizubaa unakula ndoo.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Ila sio simu..mimi juzi bodaboda kanipita vuuuu vumbi kama lote mara nikasikia tii kumbe ameangusha bahasha chap kwa haraka cheki ndani samaki watatu wakubwa home maharage kama yote , namwona jamaa anapunguza mwendo, niliingia chochi moja mitaa siifahamu, hadi home, chakuokota si cha kuiba.
Huyo mamako alikudanganya. Alienda kudanga akahongwa hiyo simu na mwizi au jambazi, muulize vizuri.
Babako unamjuwa? Mnaishi nae?
chakuokota si cha kuibaIla sio simu..
huyo haelewi hata alichoandikaLoss repot ya nini? We nae usichichanganye
Mkalia nyongoAu sio....akakuletea wewe, mwanae kipenzi. 😹
Kuna mtu wangu wa karibu kuna siku alishawahi kuokota simu,alipoiokota akanipigia kunijulisha nikamuambia aitupe fasta,maana nishaona kuna jamaa kibamba huko aliuziwa simu baada ya kuitumia miaka 2 siku hiyo wazee wa obey wakamnyakua kama mwewe,simu ya laki na nusu ilimtoka milioni na kadhaaWewe ndio mtu wa kwanza nimesikia ameokota simu.
Ukishaweka line hata ukizima unakamatwa tu mkuu wanawasiliana na wale ambao ulikua unawasiliana nao mara kwa mara..hata ukiweka line na kutoa kwenye hiyo simu inasoma tu kuwa pana line iliwekwa hapa.Zima simu potea. Waachane na wewe.