Ukiokota kitu unatakiwa ukipeleke police! Hapo auna ushaidi kama uliokota au uliuziwa🤣. So unaesabika kama mwizi. Pole sanaMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Lakini si kaokota?Ukiokota kitu unatakiwa ukipeleke police! Hapo auna ushaidi kama uliokota au uliuziwa🤣. So unaesabika kama mwizi. Pole sana
It's not fea lakiniHapo lazima tukulaze ndani
Mkuu vip kuhusu familia yangu?Kisanga mkuu change tuu sim card poteleaa kusiko julikana,maana hapo itakutoka pesa nyingi mmno ila hautafungwa
Simu yenyewe ndio uliyotumia kuandikia post yako hapa? Kama ndio basi unaendelea kutenda kosa jingine kwa kuanzisha uzi ukitumia simu ya wiziMsaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Mfungwa mtarajiwa mbabe huyo😀😀Loss repot ya nini? We nae usichichanganye
Kwanini wanifinye?Pole kwa huo msala, hapo watakufinya utaongea hadi vitu ambavyo hata wewe mwenyewe huvijui
Nina smat mbiliSimu yenyewe ndio uliyotumia kuandikia post yako hapa? Kama ndio basi unaendelea kutenda kosa jingine kwa kuanzisha uzi ukitumia simu ya wizi
Loweka simu nalaini kwenye ndoo ya maji biashara itaishia hapo.Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,
Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.
Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Mkuu mimi sijaibaNaona watu wengi mna mbishia mwanba kuhusu kuokota simu..
.
Wew kama huna bahati ya kuokota sim usisem haiwezekani kuokota simu
.
M mara mbili nishaokota simu
Mara ya kwanza naingia dukani kwa mangi nakuta kwa nje kuna sim imedondoshwa na namuliza muuzaji anasema hajui sema nikamua tu kumpa muuzaji kama mwenye sim akitokea ampe lkn sjh kama kwel alimpa au alibaki nayo mwenye.
.
Sim ya pili nashuka kwenye bajaji na na m ndo abilia wa mwisho. Ile kushuka tu naangalia kwenye kiti kama kuna sarafu nimeangusha naona samsung moja imenyooka sana. Nikasema hii nikimpa bajaji sizan kama mwenye sim anaweza mpkata bajaji so hii nikamuoa kutoa lain nikakaa nayo kama wiki hivi nikaona niuze.
Lkn pia nishaokota sim ofcn kwangu. Hii ilikuwa samsung fold mpyaa tena enzi zile zintoka sema hii sikuzima wala nn nikaweka kwenye droo baada ya mda kupita akaja mzee mmoja nilimuhudumiaga akauliza kama alidondosha nikamwambi nilikutunzia hii hapa.
.
Kuokota sim kupo ila kama hujawah kuokota usimseme jamaa cha msingi hapo mshaulini tu namna gani anatoboa kama hakuiba kweli...
Umekutwa na mali ya wizi ueleze mali nyingine zipo wapi?Kwanini wanifinye?
Hapana nishachelewa mkuuLoweka simu nalaini kwenye ndoo ya maji biashara itaishia hapo.
Ukweli niliotoa katika uzi wangu ndo huo tu sina jingineUmekutwa na mali ya wizi ueleze mali nyingine zipo wapi?
We kajisalimishe, tii sheria bila shuruti wakitaka wanakuja na pila ulipo wanakudaka kama kuku mwenye mdondo.Ukweli niliotoa katika uzi wangu ndo huo tu sina jingine
Vip mwana sheria Hawezi nisevu?Huchomoki.
Kama kwenye huo wizi alikufa mtu unalo.
Hasara na gharama zote zilizotokana na kupotea simu ni zako.
Huchomoki.
Aisee,Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini
Ni kweli walikuja maskan sijui nani kanichomesha ila sawa tu nawaza natokaje yani. Jamaa wako seriousWe kajisalimishe, tii sheria bila shuruti wakitaka wanakuja na pila ulipo wanakudaka kama kuku mwenye mdondo.