Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

Umeokota msala mzee. Watakwambia mmiliki wa simu aliuwawa. 😁
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Sheria inakutaka ukiokota mali ya kuokota kuipeleka polisi au kuikabidhi ofisi za serikali ya mtaa ambao wataikabidhi polisi, ww umekaa nayo na kuimiliki kama yako kinyume cha sheria, kutokujua sheria sio excuse, utawajibika
 
Razima urisaidie rijeshi ra porisi 😄
Usawa huu unaokota tu smart phone unatumia tuuuu

Kama unachievable ni kweli basi lazima upate mbilinge kidogo
Polisi hawana jambo dogo

Ova
Kaka hamna namna naweza wapoza jamaa?
 
Lakini si kaokota?
Anatakiwa athibitishe beyond doubt kama kweli ameiokota na pia aseme Bastola na pesa milioni 5 nazo aliziokota au ameziweka wapi🤣 Usiombe Uchaguliwe Kuisaidia Police🤣🤣
 
Sheria inakutaka ukiokota mali ya kuokota kuipeleka polisi au kuikabidhi ofisi za serikali ya mtaa ambao wataikabidhi polisi, ww umekaa nayo na kuimiliki kama yako kinyume cha sheria, kutokujua sheria sio excuse, utawajibika
Ila sio fea sheria ilibidi zitungwe upya sisi hatujui utaratibu ni uonevu huu
 
Anatakiwa athibitishe beyond doubt kama kweli ameiokota na pia aseme Bastola na pesa milioni 5 nazo aliziokota au ameziweka wapi🤣 Usiombe Uchaguliwe Kuisaidia Police🤣🤣
Hapana hana bastola
 
Mwambie Mama yako na bakikisha unaenda nae, mkaseme ukweli. Kama alianza kukataa basi fahamu kuna lingine ila wewe ni mwanae basi anabidi aende nawe akawaelezee.
 
Kwanza hyo simu ilipookotwa haikuwa na laini?? Kama ilikuwa na laini wewe automatically na huyo bi mkubwa ni wezi

Kama simu haikuwa na laini tena smartphone hyo pia ingekuwa ni moja ya jambo la kustua na kuachana nayo simu nzima inakuwaje haina laini

Wadau sasa hvi polisi wanafanya uchunguzi wa mambo mengi vipi ikategeshwa simu mtaani ya either mmoja kati ya watu waliopotea kama kina soka ukaiokota wewe alafu ukatumika kama kichaka cha kuanzia uchunguzi??? Tuwe makini unaokotaje simu
Kaka cha kuokota sio cha kuiba
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Michongo hiyo babu. Mtafute mkubwa awapigie mlimalize nje ya uwanja japo zikutoke kidogo.
 
Naona watu wengi mna mbishia mwanba kuhusu kuokota simu..
.
Wew kama huna bahati ya kuokota sim usisem haiwezekani kuokota simu
.
M mara mbili nishaokota simu
Mara ya kwanza naingia dukani kwa mangi nakuta kwa nje kuna sim imedondoshwa na namuliza muuzaji anasema hajui sema nikamua tu kumpa muuzaji kama mwenye sim akitokea ampe lkn sjh kama kwel alimpa au alibaki nayo mwenye.
.
Sim ya pili nashuka kwenye bajaji na na m ndo abilia wa mwisho. Ile kushuka tu naangalia kwenye kiti kama kuna sarafu nimeangusha naona samsung moja imenyooka sana. Nikasema hii nikimpa bajaji sizan kama mwenye sim anaweza mpkata bajaji so hii nikamuoa kutoa lain nikakaa nayo kama wiki hivi nikaona niuze.

Lkn pia nishaokota sim ofcn kwangu. Hii ilikuwa samsung fold mpyaa tena enzi zile zintoka sema hii sikuzima wala nn nikaweka kwenye droo baada ya mda kupita akaja mzee mmoja nilimuhudumiaga akauliza kama alidondosha nikamwambi nilikutunzia hii hapa.
.
Kuokota sim kupo ila kama hujawah kuokota usimseme jamaa cha msingi hapo mshaulini tu namna gani anatoboa kama hakuiba kweli...
Ukiokota kitu unakisalimisha polisi au kwa mwenyewe akitokea. Kinyume na hapo umeiba. Sasa ukitaka ujue umeiba subiri polisi wakukamate nacho uwaambie uliokota. Mleta mada mpaka dakika hii ana kesi ya wizi wa simu.
 
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa,

Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili.

Je, machomokaje katika hili tatizo?
Mkiona kimya mjue nawasiliana na polisi maana wanasumbua balaa
Nauli ya kwenda Burundi ni franga ngapi?
 
Back
Top Bottom