yaani kati ya watu wanaotakiwa kuangaliwa kwa jicho la huruma hapa nchini ni waaalimu. wanatia huruma sana, wanafanya kazi mazingira magumu sana na hakuna tumaini la ukombozi wa maisha yao. ndio maana muda wote wamejaa hofu na mashaka ya kufukuzwa kazi. icho icho kidogo walichopata kama kibarua wanakilinda mno,na ni wachache sana wana ujasiri kuacha kazi wakajitegemee mtaani,ni kama wamelogwa na serikali, wanapenda kuajiriwa mno hata kama ni kwa kipato kidogo, as long as ana uhakika wa mshahara kila mwezi na anajua kuna mafao mwishoni ambayo hayafiki hata 200m.