tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #61
Kumbe utapeli ni kansa isiyotibika nchini Tanganyika? Basi tumekwiaha!Utapeli ni biashara kubwa na HALALI kabisa Tanzania.
Hata serikali inatapeli watumishi.
Vyama vya wafanyakazi vinasaidiana na serikali kutapeli watumishi.
Serikali inatapeliwa kila siku