Polisi wameshindwa kumkamata huyu tapeli anayewapiga Walimu kila siku?

Polisi wameshindwa kumkamata huyu tapeli anayewapiga Walimu kila siku?

Unajuaje polisi wamemshindwa kama taarifa yenyewe umeileta leo humu saa 11:08? Umechukua hatua gani juu ya hizo namba? Una uhakika gani kwamba labda polisi hawana taarifa za huyo tapeli kama hata wewe umeshindwa kuchukua hatua yoyote ile ikiwemo kutoa taarifa kwa hao polisi? Una uhakika gani hao waliotapeliwa hawakuwa kama wewe?

Usalama wa raia ni usalama wa mmoja mmoja sababu huyo tapeli hawezi dhurumu watu hata 5000 kwa wakati mmoja acha raia million 60,000,000. Na ukilinganisha huyo tapeli ahatarishi maisha ya watu kwa kifo. Hivyo hiyo hatari yake haikizi hata vigezo vya jambazi wala hata mwizi mkabaji.
Na usalama wa taifa ni mzito zaidi sababu unahusidha raia wengi kwa maelfu, malaki na mamilion au wote kwa pamoja nchi nzima na matokeo ni vifo vya kikatili visivyohesabika. Na pia unahusisha usalama wa serikali na Rais wake kitu ambaco ni muhimu zaidi kwa nchi kuitwa mchi.

Explain kivipi utapeli wa pesa unaweza hatarisha usalama wa taifa? Hivi unatambua ni kiasi gani mafisadi wanaiba pesa serikalini? Au unamaanisha kitu usichokijua sio hatari?

Sio sitaki TISS waingilie, bali kama nilivyosema; majukumu ya vyombo kamwe hayawezi kuingiliana, na kama ikitokea basi ina maana chombo kimoja lazima kiwe labeled incompetent means kitakuwa ni useless na hakuna umuhimu wa hiko chombo kuwepo.
What is the base of your argument?

1. Ili TISS waingilie kati lazima jambo lihusishe vifo vya watu wengi? Upo sawa kweli mkuu?

2. Kwamba ufisadi wa mamilioni ya fedha unaodhoofisha uchumi wa nchi na kusababisha kukosekana kwa huduma za jamii.....na hata kupelekea vifo vya raia sio suala la kiusalama kwa nchi? Kivipi?

3. Hivi akitokea mjinga mmoja akaiba vyuma vya reli akauza chuma chakavu na kupelekea ajali kwa mamilioni ya watanzania wanaosafiri kwa treni sio ishu kwa sababu limesababishwa na njaa za mjinga mmoja tu?

What the hell do you understand by the term "national security"?

Unachekesha sana🤣🤣🤣🤣
 
lawama zote kwa polisi.
sasa hata yale ya kimahakama ni ya polisi hata yale ya idara husika ni ya polisi.

Dah polisi wetu bana wanakazi sana.

ushauri
kilamtu ajiongeze sana na atake kujiridhisha mara mbilimbili linapofika swala la fedha
 
Kipindi cha magufuli alikamatwa na waliomkamata hakuwajua na hakujua alikuwa wapi mpaka siku anatoka. Rushwa aliyotoa ilikua ni kubwa mpka ilipelekea kuyumba kiuchumi jamaa akawa ni mtu wa vijiweni na kugongea, sasa ivi mambo mazuri tumshukuru mama jamaa ana kausha damu zake nadhani Tanzania nzima ni mwendo wa kuamka baa na kulala baa pembeni ma slay queen.
Bila kusahau kafara zake za binadamu wa kutosha
 
Wana kinga .....wakua hawaulìzwi hawashitakiwi ....wana ruhusiwa carry gun na ku enforce kama police....
Sasa kwanini wasiingilie kati hawa wamatapeli wanaotusumbua kila kukicha?
 
Hakijafanyiwa marekebisho,
 

Attachments

  • Screenshot_20240101-142119.png
    Screenshot_20240101-142119.png
    78.3 KB · Views: 3
Wana kinga .....wakua hawaulìzwi hawashitakiwi ....wana ruhusiwa carry gun na ku enforce kama police....
Hawaruhusiwi, napinga marekebisho ya hiyo Sheria ya TISS ya mwaka 2023, hayajagusa kifungu Cha 5(2)(a)(b) cha TISS act,
 
Kipindi cha magufuli alikamatwa na waliomkamata hakuwajua na hakujua alikuwa wapi mpaka siku anatoka. Rushwa aliyotoa ilikua ni kubwa mpka ilipelekea kuyumba kiuchumi jamaa akawa ni mtu wa vijiweni na kugongea, sasa ivi mambo mazuri tumshukuru mama jamaa ana kausha damu zake nadhani Tanzania nzima ni mwendo wa kuamka baa na kulala baa pembeni ma slay queen.
Bila kusahau kafara zake za binadamu wa kutosha
Du! Kama ni hivyo basi jamaa kaitia serikali nzima mfukoni mwake na kuna uwezekano atakuwa anashirikiana na wakubwa kutapeli raia. Kwanza majina ya watumishi wote Tanzania nzima anayapata wapi kama sio matapeli wenzake kutoka serikalini ndio wanampa?
 
Du! Kama ni hivyo basi jamaa kaitia serikali nzima mfukoni mwake na kuna uwezekano atakuwa anashirikiana na wakubwa kutapeli raia. Kwanza majina ya watumishi wote Tanzania nzima anayapata wapi kama sio matapeli wenzake kutoka serikalini ndio wanampa?
Jamaa si kama unavyomfikiria historia yake unaijua? Alikua ni mkurugenzi, meneja wa taasisi kubwa tu hapa code tunanzingatia. Wewe usimfatilie bali angalia na pambana jinsi ya kumuepuka
 
Jamaa si kama unavyomfikiria historia yake unaijua? Alikua ni mkurugenzi, meneja wa taasisi kubwa tu hapa code tunanzingatia. Wewe usimfatilie bali angalia na pambana jinsi ya kumuepuka
Heee! Kumbe hakamatiki na wala hadhibitiki? Basi ngoja watanganyika waendelee kuibiwa mpaka akili ziwakae sawa.
 
Heri ya mwaka mpya watu wangu wa nguvu. Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi. Naomba niseme kuwa huu ndio uzi wangu wa kwanza kwa mwaka huu wa 2024. Sikuwa nimepanga kuweka uzi hapa JF mapema hivi ila imenibidi nifanye hivyo baada ya kupokea ujumbe huu wa onyo kwa njia ya WhatsApp unaolenga kuwatapeli walimu.
1704095634241-png.2859091


Ujumbe huu umeambatana na audio ya tapeli maarufu wa mtandao ambaye amekuwa akiwasumbua sio tu walimu bali watanzania wengi, hasa watumishi wa umma. Sauti ya mtu huyu sio ngeni. Amekuwa akiwatapeli watanzania kwa muda mrefu sasa. Huenda hata wewe mwanaJF unayepitia uzi huu ulishawahi kukumbwa na dhoruba ya huyu bwana, ama akakutapeli au ukaponea chupuchupu. Sikiliza audio yake kwenye attachment hapo chini.

Kinachonisikitisha ni kuwa huyu jamaa amekuwa akiwatapeli watanzania kwa miaka mingi sasa bila kukamatwa na vyombo vya serikali. Hata TISS nao eti wameshindwa kumtia nguvuni pamoja na vifaa vyote vya kiintelejensia walivyo navyo. Ikiwa tapeli mdogo kama huyu amewashinda, je tuwaamini kulinda usalama wa nchi?

Tunaweza kusema labda polisi wa kawaida wanaodili na cybercrime hawana vifaa vya kumtafuta na kumpata. Hata TISS nao wameshindwa kweli kumtia mikononi huyu mshenzi na kumchukulia hatua za kisheria?

MAONI YANGU
Visa vingi vya utapeli wa rejareja mara nyingi vinalengwa kwa walimu. Hivi walimu wana uwezo mdogo wa kufikiri kiasi hiki hadi kila siku walengwe wao tu? Ikiwa sisi tunawategemea walimu kutufundishia watoto wetu halafu wao wanakuwa na akili ndogo ya kutapeliwa kirahisi tutarajie nini?

Ndio maana ubora wa elimu unazidi kushuka mwaka hadi mwaka kumbe ni kwa sababu elimu inatolewa na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri. Mkuu Mpwayungu Village hawa walimu wenzako wanatuangusha sana. Nadhani baada ya kazi ya upolisi, kazi ambayo inasomba watu wasiokuwa na wito ni kazi ya ualimu. Tuna safari ndefu sana ya kufikia maendeleo ya kweli ikiwa think-tank yenyewe tunayotegemea ni ya aina hii ya walimu. Inasikitisha sana.
Utapeli ni biashara kubwa na HALALI kabisa Tanzania.

Hata serikali inatapeli watumishi.

Vyama vya wafanyakazi vinasaidiana na serikali kutapeli watumishi.

Serikali inatapeliwa kila siku
 
Back
Top Bottom