Kumbe utapeli ni kansa isiyotibika nchini Tanganyika? Basi tumekwiaha!Utapeli ni biashara kubwa na HALALI kabisa Tanzania.
Hata serikali inatapeli watumishi.
Vyama vya wafanyakazi vinasaidiana na serikali kutapeli watumishi.
Serikali inatapeliwa kila siku
Ila kuteka na kuuwa wanaruhusiwa!TISS hawaruhusiwi kukamata mtu i.e they don't have enforcement measures, kasome Sheria ya Tanzania intelligence and security service Act
Ukitaka kujua nchi hii imekufa👇👇Kumbe utapeli ni kansa isiyotibika nchini Tanganyika? Basi tumekwiaha!
Du hili ni tatizo kubwa sana mkuu.Ukitaka kujua nchi hii imekufa👇👇
View: https://twitter.com/Kazimotoinc/status/1668572561158950917?t=KIj3gsucWA-3hSC8zbuLDw&s=19
Duhh!Hadi police na wanajeshi.
Waboreshewe mishahara wana maisha magumu sana wenye mafanikio ni wale wanaojiongeza.Wanafunzi wanafaulu kwa kudra za Mungu na kwa kurahisishiwa mitihani na serikali ya CCM; sio kwa juhudi za walimu.
Nao wanatapeliwaje na mtu usiyemjua anayekupigia simu. Hii imekuwa kama JF waliotapaliwa na Jamaa yule wa Kuvuna Pesa ONTARIOInawezekanaka kabisa. Huyu jamaa katapeli watu wengi sana lakini hakamatwi. Shida iko wapi? Kuna tatizo mahali.
Kwani haujui sifa mojawapo ya kuwa mwalimu ni kufeli?Kuitwa mwalimu halafu unakuwa wa kwanza kutapeliwa kizembe, inaonesha tayari walimu wetu ndio wajinga zaidi ya makundi mengine, hawastahili kuitwa walimu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Inasikitisha sana...Duhh!
Wewe ni NDUKUM kama unaamini walimu hawana msaada wowote kwa ufaulu wa mwanafunzi.Wanafunzi wanafaulu kwa kudra za Mungu na kwa kurahisishiwa mitihani na serikali ya CCM; sio kwa juhudi za walimu.
Wanawapiga mandezi, huko ndo wako wengi zaidiDu! Hatuko salama hata kidogo aisee!
Au ni wewe Tindo! Ahahahahaha!!Usishangae kukuta huyo tapeli ni Tiss pia.
Nawe kuwa na akili usikurupuke tu kama panya aliyekurupushwa kutoka kwenye kibuyu. Hivi umesoma na kuelewa nilichoandika wewe ndezi? Hebu soma upya komenti yangu kwanza.Wewe ni NDUKUM kama unaamini walimu hawana msaada wowote kwa ufaulu wa mwanafunzi.